< Isaya 60 >
1 Nyanyuka, uangaze; maana mwanga wako umekuja, na utukufu wa Yahwe umekuja kwako.
Resplendis, Jérusalem, resplendis de lumière; car ta lumière est venue, et la gloire du Seigneur s'est levée sur toi.
2 Japokuwa giza litatanda katika nchi, na giza nene katika mataifa; Lakini Yahwe atakuja juu yenu, na utukufu wake utaonekana kwenu.
Voilà que les ténèbres enveloppent la terre, et que les Gentils sont dans l'obscurité; mais le Seigneur apparaîtra sur toi, et sa gloire va se montrer en toi.
3 Mataifa yatakuja kwenye mwanga wako, na wafalme katika mwanga wako mkali uliokuja
Et les rois viendront à ta lumière, et les nations à ta splendeur.
4 Tazama na angalia pande zote. Wamekusanyika wao wenyewe kwa pamoja na wanakuja kwako. Watoto wako watatoka mbali, na binti zao watabebwa katika mikono yenu.
Lève les yeux autour de toi, et vois tes enfants rassemblés; tous tes fils sont venus de loin, et tes filles seront transportées sur les épaules des hommes.
5 Halafu wataangalia na kuwa furaha, na moyo wako utafurahia na kufurika, maana wingi wa maji utamwagwa juu yenu, utajiri wa mataifa utakuja kwenu.
Tu verras alors, et tu seras dans l'admiration, et tu seras extasiée en ton cœur; car les richesses de la mer, des nations et des peuples seront transportées chez toi.
6 Msafara wa ngamia utawafunika ninyi, na ngamia wa Midiani na Efa; wote watakuja kutoka Sheba; wataleta dhahabu na ubani, wataimba sifa kwa Yahwe.
Et il te viendra des troupeaux de chamelles, et des chameaux de Madian et de Gépha couvriront tes chemins. Tous les hommes de Saba viendront chargés d'or, et t'offriront de l'encens, et publieront la bonne nouvelle du salut de Dieu.
7 Makundi yote ya Kedari yatakusanika kwa pamoja kwako, kondoo wa Nebaioti watabeba mahitaji yako; watakubalika kutolewa sadaka katika madhebau yangu; na nitaitukuza nyumba yangu takatifu.
Et toutes les brebis de Cédar seront rassemblées, et les béliers de Nabajoth viendront à toi; et sur mon autel on fera des offrandes qui me seront agréables, et ma maison de prière sera glorifiée.
8 Ni nani hawa wanopaa wenyewe kama mawingu, na kama njiwa kwenye makazi yao?
Qui sont ceux-là qui volent vers moi comme des nuages, ou comme des colombes avec leurs petits?
9 Pwani itanitafuta mimi, na meli ya Tarshishi huwaongoza, huwaleta watoto wenu kutoka mbali, pamoja na fedha zao na dhahabu zao, maana jina la Yahwe Mungu wenu, na Mtakatifu wa Israeli, maana amekuheshimu wewe.
Les îles m'ont attendu, et les navires de Tarsis sont les premiers à ramener de loin tes enfants, et avec eux leur argent et leur or, pour sanctifier le nom du Seigneur saint, et glorifier le Saint d'Israël.
10 Watoto wa wageni watajenga tena kuta zenu, n awafalme wao watawatumikia ninyi; japo katika laana yangu nimewaadhibu ninyi, lakini kwa neema yangu nitawahurumia ninyi.
Et les étrangers réédifieront tes remparts, et leurs rois s'empresseront autour, de toi; car je t'ai frappée dans ma colère, et je t'ai aimée dans ma miséricorde.
11 Milango yenu itaendelea kuwa wazi; haitafungwa mchana au usiku, hivyo utajiri wa mataifa ili uweze kuletwa, pamoja na viongozi wanowaongoza.
Et tes portes seront toujours ouvertes; on ne les fermera ni jour ni nuit pour introduire chez toi les richesses des Gentils et leurs rois qu'on t'amènera.
12 Kweli, mataifa na falme ambayo hayatakutumikia wewe yatatoweka; mataifa hayo yataangamizwa kabisa.
Car les nations et les rois qui ne te seront pas assujettis périront, et ces nations seront complètement dévastées.
13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako, mti wa msonobari, mtidhari, pamoja na msonobari ili kupamba madhebau yangu; na Nitalitukuza eneo la miguu yangu.
La gloire du Liban viendra à toi, avec le cyprès, et le cèdre, pour glorifier mon lieu saint.
14 Watakuja kwako kukusujudia wewe, watoto wa wale wanaokunyenyekea wewe; wataisujudia miguu yako; watakuita wewe mji wa Yahwe, sayani ya Mtakatifu wa Israeli.
Et les fils de ceux qui t'ont humiliée et irritée viendront à toi, tout tremblants, et tu seras appelée Sion, la ville du Saint d'Israël,
15 Badala yake uwepo wenu umetelekezwa na kuchukiwa, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayepita ndani yenu, nitawafanya kuwa kitu cha kiburi milele, furaha kutoka kizazi hata kizazi.
Parce que tu auras été abandonnée et haïe, sans que personne te secourût. Et je te donnerai une allégresse éternelle, une joie qui passera de générations en générations.
16 Pia utakunywa maziwa ya mataifa, utatunzwa katika kifua cha wafalme; utajua kwamba Mimi Yahwe, Mimi ni mwokozi na mkombozi wenu, aliye Mkuu wa Israeli.
Et tu seras allaitée du lait des nations, et tu seras nourrie des richesses des rois. Et tu sauras que je suis le Seigneur qui te sauve, le Dieu d'Israël qui te rachète.
17 Badala ya shaba Nitaleta dhahabu, badaia ya chuma nitaleta fedha; badala ya mbao, shabana badala ya jiwe, chuma. Nitachagua amani kwa kiongozi wenu, na haki kiongozi wenu.
Et au lieu d'airain je t'apporterai de l'or; au lieu de fer, je t'apporterai de l'argent; au lieu de bois, je t'apporterai de l'airain, et au lieu de pierre, je t'apporterai du fer. Et je te donnerai des princes dans la paix, et des surveillants dans la justice.
18 Vurugu hazitasikika katika aridhi yenu, uharibifu wala uvunjaji katika mipaka yenu; lakini mtaita kuta zenu wokovu, na malngo yenu mtayaita sifa.
Et l'on n'entendra plus parler d'iniquité sur ta terre, de misère ni d'oppression sur ton territoire; mais tes remparts seront appelés Salut, et tes portes, Louanges.
19 Jua halitakuwa mwanga wenu wakati wa mchana, wala mwanga wa mwenzi wakati wa usiku hautawawakia ninyi; Lakini Yahwe atakuwa mwanga wenu wa milele, na Mungu wenu na utukufu wenu.
Et ce ne sera plus le soleil qui éclairera tes jours, ni la lune tes nuits; mais le Seigneur sera ta lumière éternelle, et Dieu ta gloire.
20 Jua lenu halitakuewepo wala mweni utaondoshwa na kutoweka; maana Yahwe atakuwa mwanga wenu daima, na siku za maombolezo zitakwisha.
Et pour toi le soleil ne se couchera point, la lune ne sera point éclipsée; car le Seigneur sera ta lumière éternelle, et tes jours de deuil seront accomplis.
21 Watu wako wote watakuwa wenye haki; watachukuwa urithi wa nchi kwa mda wote, tawi la mazao yangu, kazi ya mikono yangu, ili niweze kuitukuza.
Et ton peuple entier sera juste, et il héritera de la terre pour toujours; et il conservera ses rejetons et les œuvres de ses mains pour ma gloire.
22 Mtoto atakuwa maelfu, na mdogo atakuwa taifa la wenye nguvu; Mimi Yahwe Nitayatimiza hayo mda utakapowadia.
Du plus petit il en sortira des milliers, et du plus faible, une grande nation. Et moi le Seigneur, au temps marqué, je les réunirai tous.