< Isaya 60 >
1 Nyanyuka, uangaze; maana mwanga wako umekuja, na utukufu wa Yahwe umekuja kwako.
兴起,发光!因为你的光已经来到! 耶和华的荣耀发现照耀你。
2 Japokuwa giza litatanda katika nchi, na giza nene katika mataifa; Lakini Yahwe atakuja juu yenu, na utukufu wake utaonekana kwenu.
看哪,黑暗遮盖大地, 幽暗遮盖万民, 耶和华却要显现照耀你; 他的荣耀要现在你身上。
3 Mataifa yatakuja kwenye mwanga wako, na wafalme katika mwanga wako mkali uliokuja
万国要来就你的光; 君王要来就你发现的光辉。
4 Tazama na angalia pande zote. Wamekusanyika wao wenyewe kwa pamoja na wanakuja kwako. Watoto wako watatoka mbali, na binti zao watabebwa katika mikono yenu.
你举目向四方观看; 众人都聚集来到你这里。 你的众子从远方而来; 你的众女也被怀抱而来。
5 Halafu wataangalia na kuwa furaha, na moyo wako utafurahia na kufurika, maana wingi wa maji utamwagwa juu yenu, utajiri wa mataifa utakuja kwenu.
那时,你看见就有光荣; 你心又跳动又宽畅; 因为大海丰盛的货物必转来归你; 列国的财宝也必来归你。
6 Msafara wa ngamia utawafunika ninyi, na ngamia wa Midiani na Efa; wote watakuja kutoka Sheba; wataleta dhahabu na ubani, wataimba sifa kwa Yahwe.
成群的骆驼, 并米甸和以法的独峰驼必遮满你; 示巴的众人都必来到; 要奉上黄金乳香, 又要传说耶和华的赞美。
7 Makundi yote ya Kedari yatakusanika kwa pamoja kwako, kondoo wa Nebaioti watabeba mahitaji yako; watakubalika kutolewa sadaka katika madhebau yangu; na nitaitukuza nyumba yangu takatifu.
基达的羊群都必聚集到你这里, 尼拜约的公羊要供你使用, 在我坛上必蒙悦纳; 我必荣耀我荣耀的殿。
8 Ni nani hawa wanopaa wenyewe kama mawingu, na kama njiwa kwenye makazi yao?
那些飞来如云、 又如鸽子向窗户飞回的是谁呢?
9 Pwani itanitafuta mimi, na meli ya Tarshishi huwaongoza, huwaleta watoto wenu kutoka mbali, pamoja na fedha zao na dhahabu zao, maana jina la Yahwe Mungu wenu, na Mtakatifu wa Israeli, maana amekuheshimu wewe.
众海岛必等候我, 首先是他施的船只, 将你的众子连他们的金银从远方一同带来, 都为耶和华—你 神的名, 又为以色列的圣者, 因为他已经荣耀了你。
10 Watoto wa wageni watajenga tena kuta zenu, n awafalme wao watawatumikia ninyi; japo katika laana yangu nimewaadhibu ninyi, lakini kwa neema yangu nitawahurumia ninyi.
外邦人必建筑你的城墙; 他们的王必服事你。 我曾发怒击打你, 现今却施恩怜恤你。
11 Milango yenu itaendelea kuwa wazi; haitafungwa mchana au usiku, hivyo utajiri wa mataifa ili uweze kuletwa, pamoja na viongozi wanowaongoza.
你的城门必时常开放, 昼夜不关; 使人把列国的财物带来归你, 并将他们的君王牵引而来。
12 Kweli, mataifa na falme ambayo hayatakutumikia wewe yatatoweka; mataifa hayo yataangamizwa kabisa.
哪一邦哪一国不事奉你,就必灭亡, 也必全然荒废。
13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako, mti wa msonobari, mtidhari, pamoja na msonobari ili kupamba madhebau yangu; na Nitalitukuza eneo la miguu yangu.
黎巴嫩的荣耀, 就是松树、杉树、黄杨树, 都必一同归你, 为要修饰我圣所之地; 我也要使我脚踏之处得荣耀。
14 Watakuja kwako kukusujudia wewe, watoto wa wale wanaokunyenyekea wewe; wataisujudia miguu yako; watakuita wewe mji wa Yahwe, sayani ya Mtakatifu wa Israeli.
素来苦待你的,他的子孙都必屈身来就你; 藐视你的,都要在你脚下跪拜。 他们要称你为“耶和华的城”, 为“以色列圣者的锡安”。
15 Badala yake uwepo wenu umetelekezwa na kuchukiwa, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayepita ndani yenu, nitawafanya kuwa kitu cha kiburi milele, furaha kutoka kizazi hata kizazi.
你虽然被撇弃被厌恶, 甚至无人经过, 我却使你变为永远的荣华, 成为累代的喜乐。
16 Pia utakunywa maziwa ya mataifa, utatunzwa katika kifua cha wafalme; utajua kwamba Mimi Yahwe, Mimi ni mwokozi na mkombozi wenu, aliye Mkuu wa Israeli.
你也必吃万国的奶, 又吃君王的奶。 你便知道我—耶和华是你的救主, 是你的救赎主,雅各的大能者。
17 Badala ya shaba Nitaleta dhahabu, badaia ya chuma nitaleta fedha; badala ya mbao, shabana badala ya jiwe, chuma. Nitachagua amani kwa kiongozi wenu, na haki kiongozi wenu.
我要拿金子代替铜, 拿银子代替铁, 拿铜代替木头, 拿铁代替石头; 并要以和平为你的官长, 以公义为你的监督。
18 Vurugu hazitasikika katika aridhi yenu, uharibifu wala uvunjaji katika mipaka yenu; lakini mtaita kuta zenu wokovu, na malngo yenu mtayaita sifa.
你地上不再听见强暴的事, 境内不再听见荒凉毁灭的事。 你必称你的墙为“拯救”, 称你的门为“赞美”。
19 Jua halitakuwa mwanga wenu wakati wa mchana, wala mwanga wa mwenzi wakati wa usiku hautawawakia ninyi; Lakini Yahwe atakuwa mwanga wenu wa milele, na Mungu wenu na utukufu wenu.
日头不再作你白昼的光; 月亮也不再发光照耀你。 耶和华却要作你永远的光; 你 神要为你的荣耀。
20 Jua lenu halitakuewepo wala mweni utaondoshwa na kutoweka; maana Yahwe atakuwa mwanga wenu daima, na siku za maombolezo zitakwisha.
你的日头不再下落; 你的月亮也不退缩; 因为耶和华必作你永远的光。 你悲哀的日子也完毕了。
21 Watu wako wote watakuwa wenye haki; watachukuwa urithi wa nchi kwa mda wote, tawi la mazao yangu, kazi ya mikono yangu, ili niweze kuitukuza.
你的居民都成为义人, 永远得地为业; 是我种的栽子,我手的工作, 使我得荣耀。
22 Mtoto atakuwa maelfu, na mdogo atakuwa taifa la wenye nguvu; Mimi Yahwe Nitayatimiza hayo mda utakapowadia.
至小的族要加增千倍; 微弱的国必成为强盛。 我—耶和华要按定期速成这事。