< Isaya 59 >

1 Tazama, mkono wa Yahwe sio mfupi ambao hautweza kukuokoa wewe; wala sikio lake sio zito, ambalo haliwezi kusikia.
ای مردم فکر نکنید که خداوند ضعیف شده و دیگر نمی‌تواند شما را نجات دهد. گوش او سنگین نیست؛ او دعاهای شما را می‌شنود.
2 Matendo yako ya dhambi, hata hivyo, zimekutenga wewe na Mungu, na dhambi zenu zimemfanya aufiche uso wake msimuone wala kumsikia yeye.
اما گناهان شما باعث شده او با شما قطع رابطه کند و دعاهای شما را جواب ندهد.
3 Maana mikono yenu ina madoa ya damu na vidole vyenu vimejaa dhambi. Midomo yenu inazungumza uongo na ulimi wenu unazungumza kwa nia mbaya.
دستهای شما به خون آلوده است و انگشتهایتان به گناه. لبهای شما سخنان دروغ می‌گوید و از زبانتان حرفهای زشت شنیده می‌شود.
4 Hakuna hata mmoja aitae haki, na hakuna anayewasihi kesi yake katika haki. Wanayamini maneno yasiyo ya haki, maneno ya uongo; wanashika matatizo na kuzaa dhambi.
کسی در دادگاه عدالت را اجرا نمی‌کند و مردم با دروغهای خود رأی دادگاه را به نفع خود تغییر می‌دهند. به شرارت آبستن می‌شوند و گناه می‌زایند.
5 Wanetotoa mayai ya nyoka wenye sumu na hufuma mtandao wa buibui. Yeyote alaye mayai yake atakufa, na ikiwa yai litavunjika, litatotoa nyoka mwenye sumu.
نقشهٔ شومشان مانند تخم افعی است که وقتی شکسته می‌شود افعی از آن بیرون می‌آید و مردم را به هلاکت می‌رساند! اما نقشه‌هایشان عملی نخواهند شد و هیچ فایده‌ای به ایشان نخواهند رسانید. آنها مانند لباسی هستند که از تار عنکبوت بافته شده باشند.
6 Mitando yao haitatumika kama mavazi, wala hawawezi kujifukia wenyewe kwa kazi yao. Kazi zao ni kazi za dhambi, na matendo ya vurugu yako mikononi mwao.
7 Miguu yao inakimbilia uovu, na wanakimbilia kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo ya dhambi; vurugu na uharibifu ndio njia yao.
پاهایشان برای شرارت می‌دوند و برای ریختن خون بی‌گناهان می‌شتابند! هر جا می‌روند ویرانی و خرابی برجای می‌گذارند.
8 Njia ya amani hawaijuyui, na hakuna haki katika njia zao. Wametengeneza njia njia zlizopotoka; yeyote atakaye safiri kupitia njia hizi njia hizi hazijui amani.
آنها عاری از صلح و آرامش‌اند. تمام کارهایشان از روی بی‌انصافی است. راههایشان کج هستند، و هر که در آنها قدم بگذارد از آسایش برخوردار نخواهد شد.
9 Hivyo basi haki iko mbali a sisi, wala haki haijatufikia sisi. Tunasubiri mwanga tunaona giza; tunatafuta mwangaza, lakini tunatembea gizani. Tunapapasa kwenywe ukuta kama kipofu, kama wale wasiona,
مردم می‌گویند: «الان فهمیدیم چرا خدا ما را از دست دشمنانمان نجات نمی‌دهد و چرا هنگامی که در انتظار نور بودیم، تاریکی به سراغمان آمد!
10 Tuna mashaka mchana kweupe kama kwenye mwanga unaofifia; miongoni mwa wenye nguvu tuko kama watu waliokufa.
مانند اشخاص نابینا، کورمال کورمال راه می‌رویم و در روز روشن جایی را نمی‌بینیم و به زمین می‌افتیم؛ گویی در دنیای مردگان زندگی می‌کنیم!
11 Sisi tunaunguruma kama dubu na kuomboleza kama njiwa; tunasubiria haki, lakini hakuna kitu; kwa ukombozi, lakini uko mbali na sisi.
همهٔ ما همچون خرسهای گرسنه خرناس می‌کشیم و مانند فاخته‌ها می‌نالیم. به خداوند روی می‌آوریم تا ما را نجات دهد، اما بی‌فایده است؛ زیرا او از ما روگردان شده است.
12 Maana makosa yetu mengi yako mbele zako, na dhambi zetu zinatushuhudia sisi; maana makosa yako pamoja na sisi.
گناهانی که نسبت به خداوند مرتکب شده‌ایم در حضور او روی هم انباشته شده و علیه ما شهادت می‌دهند. «ای خداوند، می‌دانیم که گناهکاریم.
13 Tumeaasi, kumkana Yahwe na kuacha kumfuata Mungu. Tulizungumzia ulafi kujeuka nyuma, na kuanza kulalamika kutoka moyoni na maneno ya uongo.
ما تو را ترک گفته و رد کرده‌ایم و از پیروی تو دست برداشته‌ایم. ما ظالم و یاغی هستیم. فکرهای ما کج است و حرفهای ما پر از دروغ.
14 Haki imerudishwa nyuma, wenye haki wamesimama mbali sana; maana ukweli uko mashakani katika mraba wa umma, haki haiwezi kuja.
انصاف را زیر پا گذاشته‌ایم؛ عدالت را از خود رانده‌ایم؛ حقیقت را در کوچه‌ها انداخته‌ایم و صداقت را به بوتهٔ فراموشی سپرده‌ایم.
15 Waaminifu wamenda zao, na yeyote anayegeuka mbali na maovu anajiathiri mwenyewe. Yahwe aliliona hilo na hakupendezwa maana hakuna haki.
راستی از بین رفته است؛ و هر که بخواهد از ناراستی دوری کند، مورد سرزنش واقع می‌شود.» خداوند تمام این بدیها را دیده و غمگین است.
16 Aliona kwamba hakuna mtu, na akastaajabu kwamba hakuna mtu wa kuoma. Hivyo basi mkono wake uliletao wakovu kwake, na haki yake unamtosheleza yeye.
او تعجب می‌کند که چرا کسی نیست به داد مظلومان برسد. پس او خود آماده می‌شود تا ایشان را نجات دهد، زیرا او خدای عادلی است.
17 Huivaa haki kama ngao kifuani na kofia ya chuma ya wokovu kichwani mwake. Anajivika mwenyewe kwa mavazi ya kisasi na kuvaa vazi la bidii.
خداوند عدالت را مانند زره می‌پوشد و کلاهخود نجات را بر سر می‌گذارد. سراسر وجود او آکنده از حس عدالت‌خواهی است؛ او از ظالمان انتقام خواهد کشید.
18 Analipa tena kwa kilichotokea, hukumu ya hasira kwa adui zake na kwa adui atairidisha adhabu ya kisiwa kama zawadi yao.
دشمنان خود را به سزای اعمالشان خواهد رسانید و مخالفان خود را حتی اگر در سرزمینهای دور دست نیز باشند، جزا خواهد داد.
19 Hivyo wataliogopa jina la Yahwe kutoka magharibi na utukufu wake kutoka mashariki; maana atakuja kama mkondo wa mto, inaendeshwa na pumzi ya Yahwe.
همهٔ مردم، از شرق تا غرب، از قدرت او خواهند ترسید و به او احترام خواهند گذاشت. او مانند سیلابی عظیم و طوفانی شدید خواهد آمد.
20 Mkombozi atakuja Sayuni na wale watkaojeuka kutoka matendo yao ya uasi katika nyumba ya Yakobo- Hili ni tamko la Yahwe.
خداوند به قوم خود می‌گوید: «نجات دهنده‌ای به اورشلیم خواهد آمد تا کسانی را که در اسرائیل از گناهانشان دست می‌کشند، نجات بخشد.
21 Na kama mimi, hili ni agano langu pamoja nao- asema Yahwe- Roho yangu iliyo juu yenu, na maneno yangu niliyoyaweka kinywani mwenu, hayataondoka midomo mwenu au kuodoka mbali na midomo wajukuu wenu, au kwenda mbali asema Yahwe- kuanziia sasa na hata milele.''
و اما من با شما این عهد را می‌بندم: روح من که بر شماست و کلام من که در دهان شماست، هرگز از شما دور نخواهند شد. این است عهد من با شما و با نسلهای شما تا ابد.»

< Isaya 59 >