< Isaya 59 >
1 Tazama, mkono wa Yahwe sio mfupi ambao hautweza kukuokoa wewe; wala sikio lake sio zito, ambalo haliwezi kusikia.
Assurément, la main de l’Eternel n’est pas trop courte pour sauver, ni son oreille trop dure pour entendre.
2 Matendo yako ya dhambi, hata hivyo, zimekutenga wewe na Mungu, na dhambi zenu zimemfanya aufiche uso wake msimuone wala kumsikia yeye.
Mais vos méfaits ont mis une barrière entre vous et votre Dieu; vos péchés sont cause qu’il a détourné sa face de vous et cessé de vous écouter.
3 Maana mikono yenu ina madoa ya damu na vidole vyenu vimejaa dhambi. Midomo yenu inazungumza uongo na ulimi wenu unazungumza kwa nia mbaya.
Car vos mains sont souillées de sang, et vos doigts de crimes; vos lèvres débitent le mensonge, votre langue profère l’injustice.
4 Hakuna hata mmoja aitae haki, na hakuna anayewasihi kesi yake katika haki. Wanayamini maneno yasiyo ya haki, maneno ya uongo; wanashika matatizo na kuzaa dhambi.
Personne n’invoque le bon droit, personne ne plaide avec, loyauté; on se fie à l’imposture, on avance des faussetés, on conçoit le mal et on engendre l’iniquité.
5 Wanetotoa mayai ya nyoka wenye sumu na hufuma mtandao wa buibui. Yeyote alaye mayai yake atakufa, na ikiwa yai litavunjika, litatotoa nyoka mwenye sumu.
Ils font éclore des œufs de basilic et tissent des toiles d’araignées: quiconque mange de leurs œufs meurt; que l’un d’eux se brise, il en sort une vipère.
6 Mitando yao haitatumika kama mavazi, wala hawawezi kujifukia wenyewe kwa kazi yao. Kazi zao ni kazi za dhambi, na matendo ya vurugu yako mikononi mwao.
Leurs tissus ne peuvent fournir de vêtements et leurs ouvrages sont impropres à les couvrir: leurs actes sont des actes d’iniquité, la besogne que font leurs mains est toute de violence.
7 Miguu yao inakimbilia uovu, na wanakimbilia kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo ya dhambi; vurugu na uharibifu ndio njia yao.
Leurs pieds courent au mal, et ils ont hâte de verser le sang innocent; leurs pensées sont des pensées de crime, la destruction et la ruine marquent leur route.
8 Njia ya amani hawaijuyui, na hakuna haki katika njia zao. Wametengeneza njia njia zlizopotoka; yeyote atakaye safiri kupitia njia hizi njia hizi hazijui amani.
La voie de la paix leur est inconnue, point de justice dans leurs sentiers: ils rendent sinueuses leurs allées, tous ceux qui `les foulent ignorent la paix.
9 Hivyo basi haki iko mbali a sisi, wala haki haijatufikia sisi. Tunasubiri mwanga tunaona giza; tunatafuta mwangaza, lakini tunatembea gizani. Tunapapasa kwenywe ukuta kama kipofu, kama wale wasiona,
C’Est pourquoi le droit est loin de nous, et le salut ne nous arrive point; nous attendons la lumière et ce n’est que ténèbres; la clarté, et nous marchons dans une brume épaisse.
10 Tuna mashaka mchana kweupe kama kwenye mwanga unaofifia; miongoni mwa wenye nguvu tuko kama watu waliokufa.
Nous errons comme des aveugles le long d’un mur, comme des gens privés de leurs yeux nous marchons à tâtons; nous trébuchons en plein midi comme au crépuscule; dans des régions plantureuses, nous sommes pareils à des morts.
11 Sisi tunaunguruma kama dubu na kuomboleza kama njiwa; tunasubiria haki, lakini hakuna kitu; kwa ukombozi, lakini uko mbali na sisi.
Nous grondons tous comme des ours, et tels que des colombes nous ne cessons de gémir. Nous attendons le droit: il est absent; le salut: il est loin de nous.
12 Maana makosa yetu mengi yako mbele zako, na dhambi zetu zinatushuhudia sisi; maana makosa yako pamoja na sisi.
C’Est que nombreux sont nos méfaits, et nos péchés témoignent contre nous. Oui, nous avons conscience de nos méfaits, et nos fautes, nous les connaissons.
13 Tumeaasi, kumkana Yahwe na kuacha kumfuata Mungu. Tulizungumzia ulafi kujeuka nyuma, na kuanza kulalamika kutoka moyoni na maneno ya uongo.
C’Est de s’insurger et renier l’Eternel, de fuir loin de notre Dieu, de ne parler que de violence et de révolte, de concevoir dans le cœur et mettre au jour des propos mensongers.
14 Haki imerudishwa nyuma, wenye haki wamesimama mbali sana; maana ukweli uko mashakani katika mraba wa umma, haki haiwezi kuja.
Le droit est forcé de reculer, la justice se tient à distance, car la vérité a trébuché sur la place publique et la droiture ne peut trouver d’accès.
15 Waaminifu wamenda zao, na yeyote anayegeuka mbali na maovu anajiathiri mwenyewe. Yahwe aliliona hilo na hakupendezwa maana hakuna haki.
Oui, la vérité a cédé la place, et quiconque s’écarte du mal passe pour dément; et l’Eternel a vu, à sa grande indignation, que c’en était fait du droit.
16 Aliona kwamba hakuna mtu, na akastaajabu kwamba hakuna mtu wa kuoma. Hivyo basi mkono wake uliletao wakovu kwake, na haki yake unamtosheleza yeye.
Et il s’est aperçu qu’il n’y avait pas un homme, il a constaté avec stupeur que nul n’intervenait; alors c’est son bras qui lui prêta assistance, et c’est sa justice qui le soutint.
17 Huivaa haki kama ngao kifuani na kofia ya chuma ya wokovu kichwani mwake. Anajivika mwenyewe kwa mavazi ya kisasi na kuvaa vazi la bidii.
Il s’arma de justice comme d’une cuirasse et posa le casque de la victoire sur sa tête; il endossa comme une draperie de vengeance et s’enveloppa, en guise de manteau, d’un zèle jaloux.
18 Analipa tena kwa kilichotokea, hukumu ya hasira kwa adui zake na kwa adui atairidisha adhabu ya kisiwa kama zawadi yao.
Selon le mérite, il rétribue: sa colère est pour ses adversaires, une juste rémunération pour ses ennemis; il paie les plages lointaines d’après leurs œuvres.
19 Hivyo wataliogopa jina la Yahwe kutoka magharibi na utukufu wake kutoka mashariki; maana atakuja kama mkondo wa mto, inaendeshwa na pumzi ya Yahwe.
Aussi craindra-t-on le nom du Seigneur dans les régions où le soleil se couche, la majesté divine là où il se lève, car elle se présentera comme un fleuve encaissé, que précipite le souffle de l’Eternel.
20 Mkombozi atakuja Sayuni na wale watkaojeuka kutoka matendo yao ya uasi katika nyumba ya Yakobo- Hili ni tamko la Yahwe.
Mais il viendra en rédempteur pour Sion et pour les pécheurs repentants de Jacob; telle est la promesse de l’Eternel.
21 Na kama mimi, hili ni agano langu pamoja nao- asema Yahwe- Roho yangu iliyo juu yenu, na maneno yangu niliyoyaweka kinywani mwenu, hayataondoka midomo mwenu au kuodoka mbali na midomo wajukuu wenu, au kwenda mbali asema Yahwe- kuanziia sasa na hata milele.''
Quant à moi, dit l’Eternel, voici quel est mon pacte avec eux: mon inspiration qui repose sur toi et les paroles que j’ai mises en ta bouche, elles ne doivent point s’écarter de ta bouche, ni de la bouche de tes enfants, ni de celle des enfants de tes enfants, soit à présent, soit dans les temps futurs.