< Isaya 58 >

1 ''Lia kwa sauti; usinyamaze. Paza sauti yako juu kama mbiu. Kabiliana na watu wangu wenye uasi, na nyumba ya Yakobo na dhambi zao.
[Yahweh said to me], “Shout loudly! Shout like [SIM] a loud trumpet! Shout to warn my Israeli people about their sins [DOU]!
2 Bali wananitafuta mimi kila siku na kufurahia katika maarifa ya njia zangu, kama taifa linalotenda haki na hawakuiacha sheria ya Mungu wao. Wananiuliza mimi kuhusu hukumu ya haki; wamepata furaha katika mawazo yao ya kwa kumkaribia Mungu
They worship me every day; [they come to my temple because they say that] they are eager to know what I want them to do. They act as though they are a nation that does things that are righteous, who would never abandon their God. They request me to decide matters justly, and they delight to come to worship me.
3 Kwa niini tulifunga; walisema, 'Lakini hamkuona hilo? Kwa nini tulijinyenyekeza wenywe, lakini hakutambua?' Tazama, siku ya kufunda kwanu utatafuta furaha yanu mwenyewe na kuwanyanyasa wafanyakazi wenu wote.
[They say], ‘We have (fasted/abstained from eating food) to please you, but you did not [RHQ] notice our doing that. We humbled ourselves, but you did not [RHQ] pay any attention!’ I will tell you why I did not pay attention. It is because when you fast, you do it only to please yourselves, and you act cruelly toward all your workers.
4 Tazama, ninyi mnafunga ili muwe wepesi wa kugombana na kupigana, na kupiga kwa ngumi ya uovu wako; haujafunga leo kuifanya sauti yako isikike juu.
You fast, but you also quarrel and fight [with each other] with your fists. [Doing things like that while] you fast will [certainly] not cause [me] to hear your prayers [where I am], high in heaven.
5 Kwa uhalisi aina ya mfungo huu ndio ambao ninauhitaji: Siku ambayo kila mtu hunyenyekea mwenyewe, huinamisha kichwa chake chini kama mwanzi, na hutawanya mavazi ya magunia na majivu chini yake? Je kweli unauita huu ni mfungo, siku ya kumfurahisha Yahwe?
You [act as though] [IRO] you humble yourselves [RHQ] by bowing your heads like [SIM] [the tops of] reeds bend [when the wind blows], and you wear [RHQ] rough clothes and cover your heads with ashes [like people do when they are grieving]. That is what you do when you are fasting, but do you really think [RHQ] that will please me?
6 Hii sio mfungo ambao niliuchagua mimi: kufungua vifungo vya waovu, kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioangamizwa, na kuharibu kila nira?
No, that is not the kind of fasting that I desire. What I really want [RHQ] is for you to free those who have been unjustly put in prison [DOU], and to encourage those who are (treated cruelly/oppressed); I want you to free those who have been oppressed in any way.
7 Sio kwamba kula mkate na wenye njaa na kuwaleta masikini na kuwaleta wasio na makazi katika nyuma yako?'' Unapomuana mtu yuko uchi, unatakiwa vumvishe mavazi; na usijifiche mwenyewe na ndugu zako.
I want you to [RHQ] share your food with those who are hungry and to allow those who have no houses to stay in your houses. Give clothes to those who do not have clothes, and do not hide from your relatives who need help from you.
8 Halafu mwanga wako utafunguliwa kama jua, na uponyaji wako utachipukia juu kwa haraka; haki yako itaenda mbele zake, na na utukufu wa Yahwe utakuwa nyuma kukulinda.
If you do those things, [what you do for others will be like] [SIM] a light that shines when it dawns. The troubles [that have been caused by your sins] will end quickly. Others will know about your righteous behavior, and with my glorious presence I will protect you from behind [like I protected the Israeli people when they left Egypt].
9 Halafu utamuita, na Yahwe atakuitikia; utalia ukihitaji msaada, na atasema, ''Nipo hapa.'' Ikiwa utaitoa nira isiwepo miongoni mwako, kidole kinachoshataki, maongezi ya waovu,
Then you will call out to me, and I will [quickly] answer [and say that I will help you].’ Stop (oppressing people/treating people cruelly); stop falsely accusing people; and stop saying evil [things about people].
10 Ikiwa wewe mwenyewe utawapa wenye njaa na kuwaridhisha wahitaji katika shida, na giza lako litakuwa kama mchana.
Give food to those who are hungry, and give to people who are afflicted/suffering the things that they need. [Your doing that will be like] [MET] a light that shines in the darkness; instead of doing evil to people [MET], [the good things that you do for them will be like] [SIM] sunshine at noontime.
11 Halafu Yahwe ataendelea kuwaongoza ninyi na kuwa ridhisha ninyi katika mikoa ambayo hakuna maji, Ataimarisha mifupa yenu. Mtakuwa kama bustani iliyonyeshewa maji, na kama mkondo wa maji, ambaopo maji yake hayapungui.
[I], Yahweh, will guide you continually, and I will give you good things to satisfy you. I will enable you to remain strong and healthy. You will be like [SIM] a garden that is well watered, like [SIM] a spring that never dries up.
12 Baadhi yenu mtajenga tena sehumu za kale zilizoharibiwa; mtatengeneza sehemu zilizoharibiwana vizazi vingi; na mtaitwa ''Mrekebishaji wa ukuta,'' kuwarejesha katika mtaa ya kuishi.''
[Your people] will rebuild the cities that were destroyed long ago; they will build [houses] on top of the old foundations. People will say that you are the ones who are repairing the holes [in the city walls], and who are repairing the streets where people live.
13 Tuseme kwamba ukigeuza nyuma miguu yenu kutoka safarini katika siku ya sabato, kufanya anasa siku yangu takatifu, Tuseme kwamba umeiita sabato siku ya furaha, na umeiita siku ya Bwana Yahwe mtakatifu na yenye kuheshimiwa. Tuseme kwamba unahieshimu sabato kwa kuacha biashara zako, na hautafuti anasa zako mwenyewe na uzungumzi maneno yako mwenyewe.
Do not travel [MTY] long distances on Sabbath/rest days, and on Sabbath days do not do only the things that you delight to do. Enjoy the Sabbath days, and consider them to be delightful. The Sabbath days are my holy days. Honor me, Yahweh, in everything that you do [on the Sabbath days]. Do not talk about and do things [only] to please yourselves. If you do all the things that I have just now told you to do,
14 ''Halafu utapata furaha kwa Yahwe; na nitaifanya safari yako juu ya urefu wa nchi; Nitakulisha wewe kwenye urithi wa Yakobo baba yenu- maana mdomo wa Yahwe umezungumza.''
I will enable you to be joyful. I will greatly honor you; [I will honor you everywhere!] I will give to you the [blessings] that I gave to your ancestor Jacob. [Those things will surely happen because I], Yahweh, have said it.”

< Isaya 58 >