< Isaya 58 >

1 ''Lia kwa sauti; usinyamaze. Paza sauti yako juu kama mbiu. Kabiliana na watu wangu wenye uasi, na nyumba ya Yakobo na dhambi zao.
to call: call out in/on/with throat not to withhold like/as trumpet to exalt voice your and to tell to/for people my transgression their and to/for house: household Jacob sin their
2 Bali wananitafuta mimi kila siku na kufurahia katika maarifa ya njia zangu, kama taifa linalotenda haki na hawakuiacha sheria ya Mungu wao. Wananiuliza mimi kuhusu hukumu ya haki; wamepata furaha katika mawazo yao ya kwa kumkaribia Mungu
and [obj] me day: daily day: daily to seek [emph?] and knowledge way: conduct my to delight in [emph?] like/as nation which righteousness to make: do and justice: judgement God his not to leave: forsake to ask me justice righteousness nearness God to delight in [emph?]
3 Kwa niini tulifunga; walisema, 'Lakini hamkuona hilo? Kwa nini tulijinyenyekeza wenywe, lakini hakutambua?' Tazama, siku ya kufunda kwanu utatafuta furaha yanu mwenyewe na kuwanyanyasa wafanyakazi wenu wote.
to/for what? to fast and not to see: see to afflict soul: myself our and not to know look! in/on/with day fast your to find pleasure and all worker your to oppress
4 Tazama, ninyi mnafunga ili muwe wepesi wa kugombana na kupigana, na kupiga kwa ngumi ya uovu wako; haujafunga leo kuifanya sauti yako isikike juu.
look! to/for strife and strife to fast and to/for to smite in/on/with fist wickedness not to fast like/as day to/for to hear: hear in/on/with height voice your
5 Kwa uhalisi aina ya mfungo huu ndio ambao ninauhitaji: Siku ambayo kila mtu hunyenyekea mwenyewe, huinamisha kichwa chake chini kama mwanzi, na hutawanya mavazi ya magunia na majivu chini yake? Je kweli unauita huu ni mfungo, siku ya kumfurahisha Yahwe?
like/as this to be fast to choose him day to afflict man soul: myself his to/for to bend like/as bulrush head his and sackcloth and ashes to lay to/for this to call: call by fast and day acceptance to/for LORD
6 Hii sio mfungo ambao niliuchagua mimi: kufungua vifungo vya waovu, kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioangamizwa, na kuharibu kila nira?
not this fast to choose him to open bond wickedness to free band yoke and to send: let go to crush free and all yoke to tear
7 Sio kwamba kula mkate na wenye njaa na kuwaleta masikini na kuwaleta wasio na makazi katika nyuma yako?'' Unapomuana mtu yuko uchi, unatakiwa vumvishe mavazi; na usijifiche mwenyewe na ndugu zako.
not to divide to/for hungry food: bread your and afflicted wandering to come (in): bring house: home for to see: see naked and to cover him and from flesh your not to conceal
8 Halafu mwanga wako utafunguliwa kama jua, na uponyaji wako utachipukia juu kwa haraka; haki yako itaenda mbele zake, na na utukufu wa Yahwe utakuwa nyuma kukulinda.
then to break up/open like/as dawn light your and health your haste to spring and to go: went to/for face: before your righteousness your glory LORD to gather you
9 Halafu utamuita, na Yahwe atakuitikia; utalia ukihitaji msaada, na atasema, ''Nipo hapa.'' Ikiwa utaitoa nira isiwepo miongoni mwako, kidole kinachoshataki, maongezi ya waovu,
then to call: call to and LORD to answer to cry and to say look! I if to turn aside: turn aside from midst your yoke to send: depart finger and to speak: speak evil: wickedness
10 Ikiwa wewe mwenyewe utawapa wenye njaa na kuwaridhisha wahitaji katika shida, na giza lako litakuwa kama mchana.
and to promote to/for hungry soul: myself your and soul: appetite to afflict to satisfy and to rise in/on/with darkness light your and darkness your like/as midday
11 Halafu Yahwe ataendelea kuwaongoza ninyi na kuwa ridhisha ninyi katika mikoa ambayo hakuna maji, Ataimarisha mifupa yenu. Mtakuwa kama bustani iliyonyeshewa maji, na kama mkondo wa maji, ambaopo maji yake hayapungui.
and to lead you LORD continually and to satisfy in/on/with scorched soul: appetite your and bone your to arm and to be like/as garden watered and like/as exit water which not to lie water his
12 Baadhi yenu mtajenga tena sehumu za kale zilizoharibiwa; mtatengeneza sehemu zilizoharibiwana vizazi vingi; na mtaitwa ''Mrekebishaji wa ukuta,'' kuwarejesha katika mtaa ya kuishi.''
and to build from you desolation forever: antiquity foundation generation and generation to arise: establish and to call: call by to/for you to wall up/off breach to return: rescue path to/for to dwell
13 Tuseme kwamba ukigeuza nyuma miguu yenu kutoka safarini katika siku ya sabato, kufanya anasa siku yangu takatifu, Tuseme kwamba umeiita sabato siku ya furaha, na umeiita siku ya Bwana Yahwe mtakatifu na yenye kuheshimiwa. Tuseme kwamba unahieshimu sabato kwa kuacha biashara zako, na hautafuti anasa zako mwenyewe na uzungumzi maneno yako mwenyewe.
if to return: repent from Sabbath foot your to make: do pleasure your in/on/with day holiness my and to call: call by to/for Sabbath delight to/for holy LORD to honor: honour and to honor: honour him from to make: do way: conduct your from to find pleasure your and to speak: speak word: thing
14 ''Halafu utapata furaha kwa Yahwe; na nitaifanya safari yako juu ya urefu wa nchi; Nitakulisha wewe kwenye urithi wa Yakobo baba yenu- maana mdomo wa Yahwe umezungumza.''
then to delight upon LORD and to ride you upon (high place *Q(k)*) land: country/planet and to eat you inheritance Jacob father your for lip LORD to speak: speak

< Isaya 58 >