< Isaya 58 >

1 ''Lia kwa sauti; usinyamaze. Paza sauti yako juu kama mbiu. Kabiliana na watu wangu wenye uasi, na nyumba ya Yakobo na dhambi zao.
Sumkon kimut awgin tobang'in Sam’in. Samphongin! Kichase hih in. Kami Israel te achonset’u seipeh in.
2 Bali wananitafuta mimi kila siku na kufurahia katika maarifa ya njia zangu, kama taifa linalotenda haki na hawakuiacha sheria ya Mungu wao. Wananiuliza mimi kuhusu hukumu ya haki; wamepata furaha katika mawazo yao ya kwa kumkaribia Mungu
Hijeng jongleh amaho pathen-ngaisah toh akilou’uve! Niseh in hou’In’a ahunguvin chule kathu aboncha het nomna nei hileu akilouve. Amaho chonphat bol nam, Pathen dan thuho nungsun khaloudi tobang'in achonuve. Amahon thutah chondan ho angeh jiuvin, Pathen hinnai ding jong athanomun ahi.
3 Kwa niini tulifunga; walisema, 'Lakini hamkuona hilo? Kwa nini tulijinyenyekeza wenywe, lakini hakutambua?' Tazama, siku ya kufunda kwanu utatafuta furaha yanu mwenyewe na kuwanyanyasa wafanyakazi wenu wote.
Amaho’n, “Na’masanga an kangol’uvin, Idia ima’agel louva naum ham? Keiho tah kaki ham bol lheh’uvin, nangman neihet peh hih’uve!” “Ajeh ipi ahi kaseipeh ding nahiuve; “Nangho kilunglhaina bep dinga an ngol’a nahi uve. Na an ngol pet uvin jong nanatong teu chu nabol hesoh jom nalai’uve,” tin keiman kaseipehtai.
4 Tazama, ninyi mnafunga ili muwe wepesi wa kugombana na kupigana, na kupiga kwa ngumi ya uovu wako; haujafunga leo kuifanya sauti yako isikike juu.
Nanghon kinah le kinelna nanei’uleh, an ngol ipi phachom ding hitam? Hitia nanghon an nangol’uleh keima toh ipia phatchomna namu dingu ham?
5 Kwa uhalisi aina ya mfungo huu ndio ambao ninauhitaji: Siku ambayo kila mtu hunyenyekea mwenyewe, huinamisha kichwa chake chini kama mwanzi, na hutawanya mavazi ya magunia na majivu chini yake? Je kweli unauita huu ni mfungo, siku ya kumfurahisha Yahwe?
Nanghon longlau-phung huijin amut on tobang'in, na lungthim’uva kiseh gimna naneijun, kineosah tah in nalu’u nakunsah’uvin ahi. Nanghon khaodip pon naki’ah uvin, chule nalu’uva vutvai nakithe’uve. Hiche hi anngol natiu chu hija ham? Nangho lunggel’a hiche hohin Pakai lunglhai inte nati mong mong’u ham?
6 Hii sio mfungo ambao niliuchagua mimi: kufungua vifungo vya waovu, kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioangamizwa, na kuharibu kila nira?
Ahipoi, Keiman kadeilhen anngol chu: Alam louva songkul’a kikhum ho chu lhadohna ding, nangho natonga pang ho chu apoh gih’u ngai-jang peh’a, akibol gim ho chamlhat sah ding, akihen ho chu akihen nau thihkhao sutlhap peh ding chu ahije.
7 Sio kwamba kula mkate na wenye njaa na kuwaleta masikini na kuwaleta wasio na makazi katika nyuma yako?'' Unapomuana mtu yuko uchi, unatakiwa vumvishe mavazi; na usijifiche mwenyewe na ndugu zako.
Na anneh’u chu agilkel din kheh’unlang, innei lou chu nalima kicholdo hen. Ponsil ngaicha ho napon hou peuvin lang chule napanpi ngaicha nasopite ho’a konin kihei mang hih in.
8 Halafu mwanga wako utafunguliwa kama jua, na uponyaji wako utachipukia juu kwa haraka; haki yako itaenda mbele zake, na na utukufu wa Yahwe utakuwa nyuma kukulinda.
Chutengleh huhhing nachanna chu khovah bangin hung vahdoh intin, chule nakisuh khahna maha chu dampai jeng ding ahi. Pathen na ngaisahna chun na masot nintin, chuteng Pakai loupina chun nanung lam hongbit nante.
9 Halafu utamuita, na Yahwe atakuitikia; utalia ukihitaji msaada, na atasema, ''Nipo hapa.'' Ikiwa utaitoa nira isiwepo miongoni mwako, kidole kinachoshataki, maongezi ya waovu,
Chuteng leh, nangman nakou phat phatleh Pakaiyin nadonbut ding, nangman samin natin, Aman hikoma kaume tia ahin houpai jeng ding ahi. Akibol hesoh te namkol pohgih tah chu lalhan. Mi oimona khut junga nako ji le thangthipma na-thusei ho ngan.
10 Ikiwa wewe mwenyewe utawapa wenye njaa na kuwaridhisha wahitaji katika shida, na giza lako litakuwa kama mchana.
Agilkel nehding pen, chule hahsatna toh ho panpin. Chutah le navah chu muthim lah’a hung vahdoh intin, chule na kimvella muthim chu sunlai banga hung vahdoh ding ahi.
11 Halafu Yahwe ataendelea kuwaongoza ninyi na kuwa ridhisha ninyi katika mikoa ambayo hakuna maji, Ataimarisha mifupa yenu. Mtakuwa kama bustani iliyonyeshewa maji, na kama mkondo wa maji, ambaopo maji yake hayapungui.
Pakaiyin na pui jom jing ding, na dang got tengleh donding twi na pentin chule natha akiledohsah kit ding ahi. Nangma twi kichap jing honlei tobang nahi ding, twinah kanglou tobang nahi ding ahije.
12 Baadhi yenu mtajenga tena sehumu za kale zilizoharibiwa; mtatengeneza sehemu zilizoharibiwana vizazi vingi; na mtaitwa ''Mrekebishaji wa ukuta,'' kuwarejesha katika mtaa ya kuishi.''
Na lah’uva mi phabep chun na khopiu agemsa ho chu athah sahphat kit dingu ahi. Chuteng leh nangma chu khopi bangho sapha’a le inchen ho kiledohsahpa’a nakihe ding ahitai.
13 Tuseme kwamba ukigeuza nyuma miguu yenu kutoka safarini katika siku ya sabato, kufanya anasa siku yangu takatifu, Tuseme kwamba umeiita sabato siku ya furaha, na umeiita siku ya Bwana Yahwe mtakatifu na yenye kuheshimiwa. Tuseme kwamba unahieshimu sabato kwa kuacha biashara zako, na hautafuti anasa zako mwenyewe na uzungumzi maneno yako mwenyewe.
Sabbath nikho chu thengsellin nitnin. Hiche Sabbath nikhoa nabol jousea anikho chu jabollin lang, chuche nia chun na deilam lam’in chon hih in.
14 ''Halafu utapata furaha kwa Yahwe; na nitaifanya safari yako juu ya urefu wa nchi; Nitakulisha wewe kwenye urithi wa Yakobo baba yenu- maana mdomo wa Yahwe umezungumza.''
Chutengleh Pakai chu na lunglhaina hung hiding ahitai. Keiman sangtah’a nangma kajabol’a, chule na pului’u Jacob gamlo ding kateppeh chu nalungna kimding ahije, tia Keima Pakaiyin kaseidoh ahitai.

< Isaya 58 >