< Isaya 57 >
1 Wenye waki watatoweka, lakini hakuna mtu atakayelitia maanani, na watu wa agano la kuaminika wamekusanyika mbali, lakini hakuna mtu anayefahamu kuwa wenye haki wamekusanyika mbali na maovu,
Les justes périssent, et personne ne le prend à cœur. Les hommes miséricordieux sont emmenés, et personne ne considère que le juste est enlevé au mal.
2 Wameingia katika amani; wamepumzika katika vitanda vyao, wale wanotembea katika haki.
Il entre dans la paix. Ils se reposent dans leur lit, chacun qui marche dans sa droiture.
3 Lakini njooni hapa, enyi watoto wa wachawi, watoto wa wazinifu na mwanamke anayefanya ukahaba.
« Mais approchez d'ici, fils de sorcière, vous, rejetons d'adultères et de prostituées.
4 Ni nani mnayemfanyia mzaha? dhidi ya wale wanofungua midomo yao na kutoa nje ndimi zao? Je ninyi sio watoto wa uaasi, watoto wa uongo?
De qui vous moquez-vous? Contre qui faites-vous une grande gueule et tirer la langue? N'êtes-vous pas des enfants de la désobéissance? et la progéniture du mensonge,
5 Enyi unaowasha wenywe kwa kulala pamoja chini ya mualoni, kila chini ya mti mbichi, ewe unaeua watoto wako katika mabonde yaliyokauka, chini ya miamba inayoning'inia.
vous qui vous enflammez parmi les chênes, sous chaque arbre vert; qui tuent les enfants dans les vallées, sous les fentes des rochers?
6 Miongoni mwa vitu vilaini katika bonde la mto ni mambo uliyopewa uyafanyie kazi. Ni vitu vya ibada yako. Umemwaga nje kinywaji chako kwao na kutoa sadaka ya mazao. Katika haya mambo Je ninaweza kuwa radhi na mambo haya?
Parmi les pierres lisses de la vallée est ta part. Ils, ils sont votre lot. Vous leur avez même versé une libation. Vous avez fait une offrande. Dois-je être apaisé pour ces choses?
7 Umeandaa kitanda chako juu ya mlima mrefu; pia umeeda pale juu kutoa sadaka.
Sur une montagne haute et élevée, tu as dressé ton lit. Vous êtes aussi monté là-haut pour offrir des sacrifices.
8 Nyuma ya mlango na mihimili ya milango umeweka ishara zako; umeniweka mimi furagha, umejifunua wewe mwenywe, na kwenda juu; umekifanya kitanda changu kuwa kikubwa. Umefanya agano na wao; ulipenda vitanda vyao; uliona sehemu zao za siri.
Tu as dressé ton mémorial derrière les portes et les poteaux, car tu t'es exposé à quelqu'un d'autre que moi, et sont montés. Vous avez agrandi votre lit et t'a fait une alliance avec eux. Vous avez aimé ce que vous avez vu sur leur lit.
9 Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol )
Tu es allé chez le roi avec de l'huile, a augmenté vos parfums, envoyé vos ambassadeurs au loin, et tu t'es dégradé jusqu'au séjour des morts. (Sheol )
10 Ulichoka kwa safari yako ndefu, lakini haukusema, ''Haina matumaini.'' Umeyatafuta maisha katika mkono wako; Hivyo basi haukudhoofika.
Tu t'es fatigué de la longueur de tes chemins; mais vous n'avez pas dit: « C'est en vain ». Vous avez trouvé un regain de force; donc vous n'étiez pas évanoui.
11 Ni uliyemuogopa? Ni nani uliye muhofia zaidi ambaye aliyekufanya wewe kutenda udanganyifu, kwa wingi namna hiyo ambapo hauwezi kunikumbuka mimi au kufikiria kuhusu mimi? Maana nilikuwa kimya kwa mda mrefu, hauniogopi mimi tena.
« Qui avez-vous redouté et craint, pour que tu mentes, et tu ne t'es pas souvenu de moi, et tu ne l'as pas mis dans ton cœur? Je n'ai pas gardé le silence pendant longtemps, et vous ne me craignez pas?
12 Nitatangaza matendo haki yako na nitawaambia kila kitu ulichokifanya, lakini hawatakusaidia.
Je proclamerai ta justice; et quant à tes œuvres, elles ne te profiteront pas.
13 Utakapolia nje, wacha sanamu ulizozikusnya zikusaidie wewe. Badala yake upepo utavipeperusha vyote, punzi itavipeperusha mbali. Lakini yeye anayenikimbilia mimi atairithi aridhi na atachukua umiliki katika mlima wangu mtakatifu.
Quand tu pleures, que ceux que tu as rassemblés te délivrent, mais le vent les emportera. Un souffle les emportera tous, mais celui qui se réfugie en moi possédera le pays, et hériteront de ma montagne sainte. »
14 Atasema, 'Jenga, jenga! safisha njia! ondoeni vizuizi vyote katika njia ya watu wangu!''
Il dira: « Construisez, construisez, préparez le chemin! Enlève la pierre d'achoppement du chemin de mon peuple. »
15 Maana yeye allye juu palipoinuka, anayeishi katika uzima wa milele, ambaye jina lake ni mtakatifu, asema hivi, ''Ninaishi mahali pa juu na mahali patakatifu pamoja na yeye pia aliyemnyenyekevu na moyo uliopondeka, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu na kufufua mioyo ya wanaojutia.
Pour celui qui est haut et élevé, qui habite l'éternité, dont le nom est Saint, dit: « J'habite dans le lieu haut et saint, avec celui qui a l'esprit contrit et humble, pour raviver l'esprit des humbles, et de ranimer le cœur des contrits.
16 Maana sitawahukumu milele, wala sitakuwa na hasira milele, Kisha roho ya mtu itazimia mbele yangu, maisha niliyowafanyia.
Car je ne contesterai pas à jamais, et je ne serai pas toujours en colère; car l'esprit s'évanouirait devant moi, et les âmes que j'ai créées.
17 Kwa sababu ya dhambi ya mapato ya vurugu zake, Nilipatwa na hasira, na nikamuadhibu yeye; niliuficha uso wangu, nilikuwa na hasira, lakini alirudi nyuma katika njia za moyo wake mwenyewe.
Je me suis mis en colère à cause de l'iniquité de sa convoitise et je l'ai frappé. Je me suis caché et j'étais en colère; et il a continué à s'égarer dans la voie de son cœur.
18 Nimeziona njia zake, lakini nitamoponya yeye. Nitamuongoza yeye na kumfariji na kuwashauri wale wanomliliia yeye,
J'ai vu ses voies, et je le guérirai. Je le conduirai aussi, et lui redonner du réconfort, ainsi qu'à ceux qui le pleurent.
19 na natengeneza tunda la midomo. Amani, amani, kwa wale walio mbali sana na wale walio karibu-asema Yahwe nitawaponya ninyi.
Je crée le fruit des lèvres: Paix, paix, à celui qui est loin et à celui qui est proche, » dit Yahvé, « et je les guérirai ».
20 Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, haiwezi kutulia, na maji yake yametanda juu ya matope.
Mais les méchants sont comme la mer agitée; car il ne peut se reposer et ses eaux rejettent de la boue et de la vase.
21 Hakuna amani kwa wakosaji asema Mungu.''
« Il n'y a pas de paix », dit mon Dieu, « pour les méchants ».