< Isaya 55 >

1 ''Njooni, kila aliye na kiu, njooni kwenye maji! na ewe usio na pesa, njoo, ununua na ule! Njoo, nunua mvinyo na maziwa pasipo pesa na pasipo gharama.
Hina Gode da amane sia: sa, “Nowa da hano hanai galea, misa! Hano na misa! Amola, dilia muni hame gagui dunu! Gagoma bidi lamusa: , misa! Waini hano amola bulamagau dodo maga: me bidi lamusa: , misa! Amo lama: ne, dilia da muni hame imunu.
2 Kwa nini tunapima fedha kwa kitu ambacho sio mkate? na kufanya kazi isiyoridhisha? Nisikilizeni mimi kwa makini na ule kilicho kizuri, na kujifurahisha mwenyewe kwa unono.
Dilia da abuliba: le, hame sadisu liligi, amo lamusa: , dilia muni udigili ha: digisala: ? Dilia abuliba: le dilia hawa: hamosu muni bidi lai amo udigili ha: digili, bu ha: i bagade ba: ma: bela: ? Na sia: nabima amola nabawane hamoma! Amasea, dilia da ha: i manu baligili noga: idafa amo manu.
3 Jeuzeni masikio yenu, na mje kwangu! Sikiliza, iliuweze kuishi! Nitafanya agano ya milele na ninyi; pendo langu la kuaminika nililomuhaidi Daudi.
Na fi dunu! Nabima! Amola Nama esalusudafa lama: ne misa. Na da eso huluane dialalalumu gousa: su dilima hamomu. Amola hahawane iasu hou, Na musa: Da: ibidima imunu ilegei, Na da amo dilima imunu.
4 Tazama, nimwemuweka yeye kama shahidi kwa mataifa, kama kiiongozi na kamanda wa watu.
Na hamobeba: le, e da fifi asi gala fi ilima hina bagade amola ouligisu dunu ba: i. Amola e da Na gasa amoga hawa: hamobeba: le, Na da Na gasa amo fifi asi gala, ilima olelei.
5 Tazama, utaliita taifa ambalo haulijui; na taifa ambalo halikujui wewe litakukimbilia wewe kwa sababu wewe ni Yahwe Mungu wao, Mtakatifu wa Israeli, yeye aliyekutukuza wewe.
Wali dilia da ga fifi asi gala ilima, dilima misa: ne sia: mu. Musa: dilia da amo fi hame dawa: i galu, be wali ilia da dilima gilisima: ne, hehenane misunu. Na, Hina Gode, Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, Na da amo hou huluane ba: ma: ne, hamomu. Na da dilima nodosu amola hadigi imunu.”
6 Mtafuteni Yahwe maana anapatikana; muiteni yeye maana yu karibu.
Hina Gode da gadeneiba: le, Ema sinidigili, sia: ne gadoma.
7 Tuwaache waovu waziache njia zao, na mtu mwenye dhambi mawazo yake. Muache yeye arudi kwa Yahwe, na atamuhurumia yeye, na kwa Mungu wetu, yeye ambaye atamsamehe huyo kwa wingi.
Wadela: i hamosu dunu da ilia wadela: i hou fisili, ilia wadela: i asigi dawa: su afadenema: mu. Ilia da ninia Gode, amo Hina Godedafa, Ema sinidigimu da defea. Bai Gode da asigisa, amola E da hedolo gogolema: ne olofosu dawa:
8 Maana mawazo yangu sio mawazo yenu, wala njia zangu sio njia zenu- Hili ni tamko la Yahwe-
Hina Gode da amane sia: sa, “Na asigi dawa: su da dilia asigi dawa: su defele hame gala. Amola Na hou da dilia hou amoma hisu agoane gala.
9 maana kama vile mbingu zilivyo juu kuliko nchi, hivyo ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
Muagado da osobo bagadega gadodafa gala. Amo defele, Na asigi dawa: su da dilia asigi dawa: su amoga baligili gadodafa gala.
10 Maana kama mvua na theluji zishukavyo chini kutoka mbinguni na hazirudi tena pale isipokuwa kueneza nchi na kufanya uzalishaji na chipukizi na kutoa mbegu kwa wakulima waliopanda na mkate kwa walaji,
Na sia: da anegagi mugene amola gibu agoai gala. Ilia da muagado misini, osobo bagadega hano iaha. Ilia dabeba: le, ha: i manu da heda: sa, ninia hawa: bugima: ne amola ha: i manu moma: ne ba: sa.
11 hivyo neno langu litakuwa linalotoka kwenye mdomo wangu: halitanirudia tena mimi bure, Lakini itatimiza lilie nililokusudia, na litatimiza lile nililolituma.
Na sia: amola da agoaiwane gala. Na sia: sia: i, da Nama udigili sinidigimu da hamedei. Be Na sia: da Na ilegei huluane didili hamoi dagoi ba: mu.
12 Maana utakwenda nje katika furaha na utaongozwa kwa amani; Milima na vilima vitapaza sauti kwa furaha mbele yako, na miti yote shambani itapiga makofi.
Dilia da Ba: bilone yolesili, hahawane gadili masunu. Na da amo moilai bai bagadega dili gadili oule masunu. Fedege agoane, goumi amola agolo ilia da gesami hea: mu, amola ifa huluane da hahawaneba: le, ilia lobo famu.
13 Badala ya miiba ya porini, misonobari itakuwa; na badala ya mbigiri, mihadasi inaota, na itakuwa kwa Yahwe, maana jina lake, ni kama alama ya milele ambayo haiwezi kuondolewa.''
Sogebi amoga wali gagaloba: fawane dialebe ba: sa, amoga ‘saibalase’ ifa heda: lebe ba: mu. Amola, aya: gaga: nomei sogebi amoga ‘medele’ ifa da heda: lebe ba: mu. Amo da eso huluane dialalalumu dawa: digisu olelesu agoane ba: mu. Na, Hina Gode, Na hamosu dawa: ma: ne, amo dawa: digisu olelesu da lelumu.”

< Isaya 55 >