< Isaya 53 >

1 Ni nani angeweza kuamini tuliyasikia? Na mkono wa Yahwe, kwake uliojidhihirisha?
¿Quién ha creído en nuestro mensaje? ¿A quién se le ha revelado el brazo de Yahvé?
2 Maana amekuwa mbele za Yahwe kama sampuli, na kama chipukizikatika aridhi kavu; hakuna maajabu yalionekana au mapambo; tulipo muona yeye, hapakuwa na uzuri kutuvutia sisi.
Porque creció ante él como una planta tierna, y como una raíz de la tierra seca. No tiene buen aspecto ni majestuosidad. Cuando lo vemos, no hay belleza que nos haga desearlo.
3 Alidharauliwa na kukataliwa na watu; mtu wa huzuni, na mwenye maumivu. Kama mmoja aliyetoka kwa watu wafichao nyuso zao, alidharauliwa; na kujfikiria kuwa asiye na faida.
Fue despreciado y rechazada por los hombres, un hombre que sufre y familiarizado con la enfermedad. Fue despreciado como alguien de quien los hombres ocultan su rostro; y no lo respetamos.
4 Lakini hakika amezaliwa ugonjwa wetu na kubeba huzuni yetu; tulidhani aliadhibiwa na Mungu, amepigwa na Mungu, na kutaabishwa.
Ciertamente ha soportado nuestra enfermedad y llevó nuestro sufrimiento; sin embargo, lo consideramos plagado, golpeado por Dios, y afligido.
5 Lakini alichomwa kwa sababu ya uaasi wa matendo yetu; aliangamizwa kwa sababu ya dhambi zetu. Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona.
Pero fue traspasado por nuestras transgresiones. Fue aplastado por nuestras iniquidades. El castigo que trajo nuestra paz estuvo en él; y por sus heridas quedamos curados.
6 Sisi ni kama kondoo tumepotoka; kila mmoja amejeuka katika njia yake, na Yahwe amemueka juu yake maovu kwetu sisi sote.
Todos nosotros, como ovejas, nos hemos extraviado. Cada uno se ha vuelto a su manera; y Yahvé ha hecho recaer sobre él la iniquidad de todos nosotros.
7 Aliteswa; lakini alinyenyekea mwenyewe, hakufungua mdomo wake; kama kondooendae kuchinjwa, na kama kondoo mbele ya mtu anayemkata mnyoa yake taratibu, hivyo hakufungua mdomo wake.
Estaba oprimido, sin embargo, cuando fue afligido no abrió la boca. Como un cordero que es llevado al matadero, y como una oveja que ante sus esquiladores calla, así que no abrió la boca.
8 Kwa kutumia nguvu na hukumu yeye aliyelaaniwa; ni katika kizazi hicho atafikiria zaidi kuhusu yeye? Lakini aliondolewa katika aridhi ya walio hai; kwa sababu ya makosa ya watu wangu na adhabu ilikuwa juu yake.
Fue llevado por la opresión y el juicio. En cuanto a su generación, que consideraba que había sido eliminado de la tierra de los vivos y golpeado por la desobediencia de mi pueblo?
9 Wameliweka kaburi lake pamoja nawahalifu, kwa utajiri wa mtu katika kifo chake ingawa hakuwa na vurugu wala udanganyifu wowote katika mdomo wake.
Hicieron su tumba con los malvados, y con un hombre rico en su muerte, aunque no había ejercido ninguna violencia, ni hubo engaño en su boca.
10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Yahwe kumponda yeye na kumfanya yeye apone. Alipoyafanya maisha yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi, ataona watoto wake, ataongeza siku zao, na mapenzi ya Yahwe yatatimizwa kupitia yeye.
Sin embargo, a Yahvé le agradó herirlo. Le ha hecho sufrir. Cuando haces de su alma una ofrenda por el pecado, verá a su descendencia. Prolongará sus días y la voluntad de Yahvé prosperará en su mano.
11 Baada ya mateso ya maisha yake, ataona mwanga na ataridhika kwa maarifa yake.
Tras el sufrimiento de su alma, verá la luz y estará satisfecho. Mi siervo justo justificará a muchos por el conocimiento de sí mismo; y cargará con sus iniquidades.
12 Hivyo basi Je ninaweza kumpa yeye sehemu yake miongoni mwa wengi, naye atatawnya mateka kwa wengi, kwa sabubu amejionyesha yeye mwenye kwenye kifo na amehesabiwa na wahalifu. Amezaa dhambi za wengi na kufanya maombolezo kwa wahalifu.
Por eso le daré una parte con los grandes. Repartirá el botín con los fuertes, porque derramó su alma hasta la muerte y fue contado con los transgresores; pero llevó los pecados de muchos e intercedió por los transgresores.

< Isaya 53 >