< Isaya 53 >

1 Ni nani angeweza kuamini tuliyasikia? Na mkono wa Yahwe, kwake uliojidhihirisha?
Qui a cru à notre message? A qui le bras de Yahvé a-t-il été révélé?
2 Maana amekuwa mbele za Yahwe kama sampuli, na kama chipukizikatika aridhi kavu; hakuna maajabu yalionekana au mapambo; tulipo muona yeye, hapakuwa na uzuri kutuvutia sisi.
Car il a grandi devant lui comme une plante tendre, et comme une racine qui sort d'une terre aride. Il n'a pas d'allure ni de majesté. Quand nous le voyons, il n'y a pas de beauté que nous devrions désirer.
3 Alidharauliwa na kukataliwa na watu; mtu wa huzuni, na mwenye maumivu. Kama mmoja aliyetoka kwa watu wafichao nyuso zao, alidharauliwa; na kujfikiria kuwa asiye na faida.
Il était méprisé et rejeté par les hommes, un homme de la souffrance et connaissant la maladie. Il était méprisé comme celui dont les hommes se cachent le visage; et nous ne l'avons pas respecté.
4 Lakini hakika amezaliwa ugonjwa wetu na kubeba huzuni yetu; tulidhani aliadhibiwa na Mungu, amepigwa na Mungu, na kutaabishwa.
Il a porté notre maladie et a porté notre souffrance; et pourtant nous le considérions comme un pestiféré, frappé par Dieu, et affligé.
5 Lakini alichomwa kwa sababu ya uaasi wa matendo yetu; aliangamizwa kwa sababu ya dhambi zetu. Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona.
Mais il a été transpercé pour nos transgressions. Il a été écrasé pour nos iniquités. La punition qui a apporté notre paix était sur lui; et par ses blessures nous sommes guéris.
6 Sisi ni kama kondoo tumepotoka; kila mmoja amejeuka katika njia yake, na Yahwe amemueka juu yake maovu kwetu sisi sote.
Nous tous, comme des moutons, nous nous sommes égarés. Chacun s'est tourné vers sa propre voie; et Yahvé a fait retomber sur lui l'iniquité de nous tous.
7 Aliteswa; lakini alinyenyekea mwenyewe, hakufungua mdomo wake; kama kondooendae kuchinjwa, na kama kondoo mbele ya mtu anayemkata mnyoa yake taratibu, hivyo hakufungua mdomo wake.
Il était opprimé, pourtant, quand il était affligé, il n'a pas ouvert la bouche. Comme un agneau qu'on mène à l'abattoir, et comme une brebis qui se tait devant ses tondeurs, donc il n'a pas ouvert sa bouche.
8 Kwa kutumia nguvu na hukumu yeye aliyelaaniwa; ni katika kizazi hicho atafikiria zaidi kuhusu yeye? Lakini aliondolewa katika aridhi ya walio hai; kwa sababu ya makosa ya watu wangu na adhabu ilikuwa juu yake.
Il a été enlevé par l'oppression et le jugement. Quant à sa génération, qui considérait qu'il était retranché de la terre des vivants et frappé pour la désobéissance de mon peuple?
9 Wameliweka kaburi lake pamoja nawahalifu, kwa utajiri wa mtu katika kifo chake ingawa hakuwa na vurugu wala udanganyifu wowote katika mdomo wake.
Ils ont fait sa tombe avec les méchants, et avec un homme riche dans sa mort, bien qu'il n'ait commis aucune violence, et il n'y avait aucune tromperie dans sa bouche.
10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Yahwe kumponda yeye na kumfanya yeye apone. Alipoyafanya maisha yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi, ataona watoto wake, ataongeza siku zao, na mapenzi ya Yahwe yatatimizwa kupitia yeye.
Mais il a plu à Yahvé de le meurtrir. Il l'a fait souffrir. Quand vous faites de son âme une offrande pour le péché, il verra sa progéniture. Il prolongera ses jours et la volonté de Yahvé prospérera dans sa main.
11 Baada ya mateso ya maisha yake, ataona mwanga na ataridhika kwa maarifa yake.
Après la souffrance de son âme, il verra la lumière et sera satisfait. Mon serviteur juste justifiera beaucoup de gens par la connaissance de lui-même; et il portera leurs iniquités.
12 Hivyo basi Je ninaweza kumpa yeye sehemu yake miongoni mwa wengi, naye atatawnya mateka kwa wengi, kwa sabubu amejionyesha yeye mwenye kwenye kifo na amehesabiwa na wahalifu. Amezaa dhambi za wengi na kufanya maombolezo kwa wahalifu.
C'est pourquoi je lui donnerai une part avec les grands. Il partagera le butin avec les forts, parce qu'il a versé son âme dans la mort et a été compté parmi les transgresseurs; mais il a porté les péchés de beaucoup de gens et a fait l'intercession pour les transgresseurs.

< Isaya 53 >