< Isaya 53 >

1 Ni nani angeweza kuamini tuliyasikia? Na mkono wa Yahwe, kwake uliojidhihirisha?
Who? has he believed report our and [the] arm of Yahweh to whom? has it been revealed.
2 Maana amekuwa mbele za Yahwe kama sampuli, na kama chipukizikatika aridhi kavu; hakuna maajabu yalionekana au mapambo; tulipo muona yeye, hapakuwa na uzuri kutuvutia sisi.
And he grew up like shoot before him and like root from ground dry not form [belonged] to him and not splendor and we will look at him and not appearance and we will desire him.
3 Alidharauliwa na kukataliwa na watu; mtu wa huzuni, na mwenye maumivu. Kama mmoja aliyetoka kwa watu wafichao nyuso zao, alidharauliwa; na kujfikiria kuwa asiye na faida.
[he was] despised And rejected of people a man of pains and a [man] acquainted of sickness and like a hiding of face from him [he was] despised and not we valued him.
4 Lakini hakika amezaliwa ugonjwa wetu na kubeba huzuni yetu; tulidhani aliadhibiwa na Mungu, amepigwa na Mungu, na kutaabishwa.
Nevertheless sicknesses our he he bore and pains our he carried them and we we considered him stricken struck of God and afflicted.
5 Lakini alichomwa kwa sababu ya uaasi wa matendo yetu; aliangamizwa kwa sababu ya dhambi zetu. Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona.
And he [was] pierced from transgressions our [was] crushed from iniquities our [the] chastening of peace our [was] on him and by wound[s] his it was healed to us.
6 Sisi ni kama kondoo tumepotoka; kila mmoja amejeuka katika njia yake, na Yahwe amemueka juu yake maovu kwetu sisi sote.
All of us like sheep we have gone astray each to own way his we have turned and Yahweh he has caused to touch him [the] iniquity of all of us.
7 Aliteswa; lakini alinyenyekea mwenyewe, hakufungua mdomo wake; kama kondooendae kuchinjwa, na kama kondoo mbele ya mtu anayemkata mnyoa yake taratibu, hivyo hakufungua mdomo wake.
He was oppressed and he [was] afflicted and not he opened mouth his like sheep [which] to the slaughter it is brought and like a ewe [which] before shearers its it is dumb and not he opened mouth his.
8 Kwa kutumia nguvu na hukumu yeye aliyelaaniwa; ni katika kizazi hicho atafikiria zaidi kuhusu yeye? Lakini aliondolewa katika aridhi ya walio hai; kwa sababu ya makosa ya watu wangu na adhabu ilikuwa juu yake.
From oppression and from judgment he was taken away and generation his who? will he consider for he was cut off from [the] land of living [people] from [the] transgression of people my a wound [belonged] to him.
9 Wameliweka kaburi lake pamoja nawahalifu, kwa utajiri wa mtu katika kifo chake ingawa hakuwa na vurugu wala udanganyifu wowote katika mdomo wake.
And someone assigned with wicked [people] grave his and with a rich [person] in death his on not violence he had done and not deceit [was] in mouth his.
10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Yahwe kumponda yeye na kumfanya yeye apone. Alipoyafanya maisha yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi, ataona watoto wake, ataongeza siku zao, na mapenzi ya Yahwe yatatimizwa kupitia yeye.
And Yahweh he desired to crush him he made [him] sick if it will make a guilt offering self his he will see offspring he will prolong days and [the] pleasure of Yahweh in hand his it will prosper.
11 Baada ya mateso ya maisha yake, ataona mwanga na ataridhika kwa maarifa yake.
From [the] labor of self his he will see he will be satisfied by knowledge his he will justify [the] righteous [one] servant my to many [people] and iniquities their he he will bear.
12 Hivyo basi Je ninaweza kumpa yeye sehemu yake miongoni mwa wengi, naye atatawnya mateka kwa wengi, kwa sabubu amejionyesha yeye mwenye kwenye kifo na amehesabiwa na wahalifu. Amezaa dhambi za wengi na kufanya maombolezo kwa wahalifu.
Therefore I will allot a portion to him among the many [people] and with mighty [people] he will apportion [the] plunder because that he poured out to death life his and with transgressors he was numbered and he [the] sin of many [people] he bore and for the transgressors he will make entreaty.

< Isaya 53 >