< Isaya 51 >

1 Nisikilizeni mimi, enyi mtendao haki, enyi mtafutaye Yahwe: Tazama katika mwamba uliouchonga nakuchimba kutoka pale ulipopakata.
Послушайте Мене, гонящии правду и взыскающии Господа, воззрите на твердый камень, егоже изсекосте, и в юдоль потока, юже ископасте.
2 Mtazameni Ibrahimu, baba yenu, na Sara, aliyewazaa ninyi; maan alipokuwa na upweke yeye mwenyewe, Nilimuita yeye. Nikambariki yeye na kumfanya yeye kuwa wengi.
Воззрите на Авраама отца вашего и на Сарру породившую вы: яко един бе, и призвах его, и благослових его, и возлюбих его, и умножих его.
3 Ndio, Yahwe ataifariji Sayuni; Ataifariji miji yake yote iliyo na ukiwa; jangwa lake atalifanya kama Edeni, na jangwa lililo wazi pembeni ya bonde la mto Yordani kama bustani ya Yahwe; Furaha na shangwe vitakuwa kwake, shukrani, na sauti ya kuimba.
И тебе ныне утешу, Сионе, и утеших вся пустыни его, и поставлю пустыню его яко рай, и яже ко западом его аки рай Господень: радость и веселие обрящут в нем, исповедание и глас хваления.
4 ''Kuwa makini kwangu, watu wangu; na nisikilizeni mimi, watu wangu! Maana nitatoa amri, na nitaifanya haki yangu kuwa sheria ya mataifa.
Послушайте Мене, людие Мои, послушайте, и царие, ко Мне внушите: яко закон от Мене изыдет, и суд Мой во свет языком.
5 Haki yangu ipo karibu; wokovu wangu utaenda nje, na mikono yangu itahihukumu mataifa; Pwani itanisubiri mimi; maana wanashauku ya kuhusubiria mkono wangu.
Приближается скоро правда Моя, и изыдет яко свет спасение Мое, и на мышцу Мою языцы надеятися будут: Мене острови ожидати и на мышцу Мою уповати будут.
6 Nyanyueni macho yanu juu angani, na tazama nchi chini, maana mbingu zitatoweka mbali kama moshi, na nchi itachakaa kama vazi, na wenyeji wake watakufa kama inzi. Lakini wokovu wangu utaendelea daima, na haki yangu haitaacha kutenda kazi.
Воздвигните на небо очи ваши и воззрите на землю долу, понеже небо яко дым утвердися, и земля яко риза обетшает, живущии же на земли якоже сия изомрут, спасение же Мое во век будет, и правда Моя не оскудеет.
7 Nisikizeni mimi, enyi mnaotambua ukweli, enyi watu wangu mliobeba sheria yangu katika mioyo yenu: Msiogope matusi ya watu, wala kukatishwa tamaa na unyanyasaji wao.
Послушайте Мене, ведящии суд, людие Мои, имже закон Мой в сердцы вашем, не бойтеся укорения человеча и похулению их не покаряйтеся.
8 Maana Nonda watawala wao kama vazi, na minyoo itawala wao kama sufu; lakini haki yangu itakwa daima, na wokovu wangu katika vizazi vyote.''
Якоже бо риза снедена будет временем, и яко сукно изястся мольми, правда же Моя во веки будет и спасение Мое в роды родов.
9 Amka, amka, jivishe wewe mwenyewe kwa nguvu, mkono wa Yahwe. Amka kama siku za zamani, kizazi cha nyaktii za kale, Je sio wewe uliyeangamiza mnyama wa baharini, na uliyemchoma joka?
Востани, востани, Иерусалиме, и облецыся во крепость мышцы твоея, востани яко в начале дне, яко род века: не ты ли еси победил гордаго и расторгнул змиа?
10 Je haukukausha bahari, maji ya kina kirefu, na kufanya kina cha bahari kuwa nija ya ukombozi kupita?
Не ты ли еси опустошаяй море, воду бездны многу? Положивый глубины морския путь прохода изятым и избавленым?
11 Fidia ya Yahwe itarudi na kwenda Sayuni kwa kilio cha furaha na furaha ya milele itakuwa katika vichwa vyao, na huzuni na kuomboleza vitatoweka mbali.
Господем бо возвратятся и приидут в Сион с радостию и со веселием вечным: на главе бо их веселие и хвала, и радость приимет я: отбеже болезнь и печаль и воздыхание.
12 ''Mimi, mimi ndiye niwapae faraja. Kwa nini uwaogope watu, ambao wanakufa, watatoto wa wanadamu, waliofanywa kama majani?
Аз есмь, Аз есмь Утешаяй тя: разумей, кто сый убоялся еси человека смертна и сына человеча, иже яко трава изсхоша,
13 Kwa nini umemsahau Yahwe Muumba, yeye azinyooshayembingu na kuweka misingi ya nchi? Nyie ambao mna hofu za mara kwa mara kila siku kwa sababu ya hasira ya moto ya wanyanyasaji anapo fanya maamuzi ya kuangamiza. Iko wapi hasira ya wanyanyasaji?
и забыл еси Бога Создавшаго тя, Сотворшаго небо и основавшаго землю: и боялся еси присно во вся дни лица ярости стужающаго тебе: како бо восхоте взяти тя, и ныне где ярость стужающаго тебе?
14 Yeye aliyeinama chini, Yahwe atafanya haraka kumuachia; hatakufa wala kwenda chini katika shimo, wala hatakosa mkate.
Внегда бо спастися тебе, не станет, ниже умедлит:
15 Maana Yahwe Mungu wenu, anaye ifanya bahari itembee, hivyo mawimbi yake yavume kwa kishindo- Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
яко Аз Бог твой, возмущаяй море и творяй шум волнам его: Господь Саваоф имя Мне.
16 Niweka maneno yangu mdomoni mwako, na nimekufunika wewe kwa kivuli cha mkono wangu, ili niweze kupanda mbingu, kuweka misingi ya nchi, na kutamkia Sayuni, 'ninyi ni watu wangu.''
Положу словеса Моя во уста твоя и под сению руки Моея покрыю тя, еюже поставих небо и основах землю: и речет Сиону: людие Мои есте вы.
17 Amka, amka, simama juu, Yerusalemu, ewe unyweae katika kikombe cha hasira ya Yahwe kutoka mkononi mwako; umekunjwa katika kikombe, kikombe cha mateso, na umekunjwa na kumaliza.
Востани, востани, воскресени, Иерусалиме, испивый чашу ярости от руки Господни: чашу бо падения, фиал ярости испил и истощил еси,
18 Hakuna hata mmoja miongoni mwa watoto aliyewazaa wa kumuongoza yeye; hakuna hata mmoja miongoni mwa wote aliyewalea wa kumshika mkono wake.
и не бысть утешаяй тебе от всех чад твоих, яже родил еси, и не бысть подемлющаго руки твоея, ниже от всех сынов твоих, ихже вознесл еси.
19 Shida hizi mbili ziliwatokea ninyi- ni nani atahuzunika pamja nanyi? - ukiwa na uharibifu, na njaa na upanga. Ni nani atakayekufariji wewe?
Два сия противна тебе, кто сожалеет тебе? Падение и сокрушение, глад и мечь, кто утешит тя?
20 Watoto wako walizimia; walilala kila kona ya mtaa, kama swala kwenye mtego; Wamejawa na hasira ya Yahwe, Laana ya Mungu wako.
Сынове твои обнищавшии, седяще на краи всякаго исхода, яко свекла недовареная, исполнени ярости Господни, разслаблени Господем Богом.
21 Lakini sasa sikiliza hili, ewe uliodhulumiwa na kulewa, lakini sio kwa mvinyo:
Сего ради слыши, смиренный и упивыйся не вином:
22 Bwana wenu Yahwe Mungu, anayewasihi watu wake, asema hivi, ''Tazama, Nimechukua kikombe cha ukubwa mkononi mwako- ukubwa wa kikombe cha hasira yangu - ili usiweze kunjwa tena.
тако глаголет Господь Бог судяй людем Своим: се, взях от руки твоея чашу падения, фиал ярости Моея, и не приложиши ксему пити ея:
23 Nitakuweka kwenye mikono ya watesaji, wale waliokuambia wewe, Lala chini, ili tutembee juu yako'; wameufanya mgongo wako kama uwanjwa na kama wao wa.''
и вложу ю в руце преобидевших тя и смиривших тя, иже рекоша души твоей: преклонися, да минем: и положил еси равно земли плещы твоя отвне мимоходящым.

< Isaya 51 >