< Isaya 51 >

1 Nisikilizeni mimi, enyi mtendao haki, enyi mtafutaye Yahwe: Tazama katika mwamba uliouchonga nakuchimba kutoka pale ulipopakata.
Pour vous, écoutez-moi, vous qui suivez la justice et qui cherchez le Seigneur. Regardez la roche solide que vous avez taillée, et le fond de la source que vous avez creusée.
2 Mtazameni Ibrahimu, baba yenu, na Sara, aliyewazaa ninyi; maan alipokuwa na upweke yeye mwenyewe, Nilimuita yeye. Nikambariki yeye na kumfanya yeye kuwa wengi.
Regardez Abraham votre père, et Sara qui vous a enfantés dans la douleur; car il était unique, et je l'ai appelé, je l'ai béni, je l'ai chéri et multiplié.
3 Ndio, Yahwe ataifariji Sayuni; Ataifariji miji yake yote iliyo na ukiwa; jangwa lake atalifanya kama Edeni, na jangwa lililo wazi pembeni ya bonde la mto Yordani kama bustani ya Yahwe; Furaha na shangwe vitakuwa kwake, shukrani, na sauti ya kuimba.
De même, je vais maintenant te consoler, ô Sion; j'ai déjà consolé toutes ses solitudes, je changerai ses déserts en jardins, et ceux qui s'étendent au couchant seront comme le paradis du Seigneur; en elle on trouvera joie et allégresse, actions de grâces et paroles de louanges.
4 ''Kuwa makini kwangu, watu wangu; na nisikilizeni mimi, watu wangu! Maana nitatoa amri, na nitaifanya haki yangu kuwa sheria ya mataifa.
Écoutez-moi, mon peuple, écoutez-moi, et vous, rois, prêtez-moi une oreille attentive; car la loi sortira de moi, et ma justice sera la lumière des nations.
5 Haki yangu ipo karibu; wokovu wangu utaenda nje, na mikono yangu itahihukumu mataifa; Pwani itanisubiri mimi; maana wanashauku ya kuhusubiria mkono wangu.
Elle est proche ma justice, et mon salut va se lever comme une lumière; et les Gentils espèreront en mon bras; les îles m'attendront et elles espèreront aussi en mon bras.
6 Nyanyueni macho yanu juu angani, na tazama nchi chini, maana mbingu zitatoweka mbali kama moshi, na nchi itachakaa kama vazi, na wenyeji wake watakufa kama inzi. Lakini wokovu wangu utaendelea daima, na haki yangu haitaacha kutenda kazi.
Levez les yeux au ciel, et regardez au-dessous la terre; le ciel n'est pas plus solide que la fumée, la terre vieillira comme un manteau, et comme eux mourront ceux qui l'habitent; mais mon salut subsistera durant tous les siècles, et ma justice ne défaillira point.
7 Nisikizeni mimi, enyi mnaotambua ukweli, enyi watu wangu mliobeba sheria yangu katika mioyo yenu: Msiogope matusi ya watu, wala kukatishwa tamaa na unyanyasaji wao.
Écoutez-moi, vous qui connaissez le jugement, et vous, mon peuple, qui conservez ma loi dans votre cœur. Ne craignez pas les outrages des hommes; ne soyez pas abattus par leur mépris;
8 Maana Nonda watawala wao kama vazi, na minyoo itawala wao kama sufu; lakini haki yangu itakwa daima, na wokovu wangu katika vizazi vyote.''
Car ils seront consumés comme un manteau par l'effet du temps; ils seront rongés des vers comme de la laine; mais ma justice subsistera dans tous les siècles, et mon salut durant les générations des générations.
9 Amka, amka, jivishe wewe mwenyewe kwa nguvu, mkono wa Yahwe. Amka kama siku za zamani, kizazi cha nyaktii za kale, Je sio wewe uliyeangamiza mnyama wa baharini, na uliyemchoma joka?
Réveille-toi, réveille-toi, Jérusalem, arme de force ton bras; réveille- toi comme au commencement des jours, comme les antiques générations. N'es-tu pas
10 Je haukukausha bahari, maji ya kina kirefu, na kufanya kina cha bahari kuwa nija ya ukombozi kupita?
Celle qui a desséché la mer et la plénitude des eaux de l'abîme? N'as-tu pas fait du fond de la mer une voie pour le passage de mon peuple délivré
11 Fidia ya Yahwe itarudi na kwenda Sayuni kwa kilio cha furaha na furaha ya milele itakuwa katika vichwa vyao, na huzuni na kuomboleza vitatoweka mbali.
Et racheté? Car tes enfants seront ramenés par le Seigneur, et ils reviendront dans Sion pleins d'une joie et d'une allégresse éternelle; ils seront couronnés de louanges et transportés de joie; les douleurs, la tristesse, les gémissements se sont enfuis.
12 ''Mimi, mimi ndiye niwapae faraja. Kwa nini uwaogope watu, ambao wanakufa, watatoto wa wanadamu, waliofanywa kama majani?
C'est moi, c'est moi ton consolateur; sache qui tu es, et si tu devais craindre un homme mortel, un fils de l'homme, qui sèchera comme l'herbe des champs.
13 Kwa nini umemsahau Yahwe Muumba, yeye azinyooshayembingu na kuweka misingi ya nchi? Nyie ambao mna hofu za mara kwa mara kila siku kwa sababu ya hasira ya moto ya wanyanyasaji anapo fanya maamuzi ya kuangamiza. Iko wapi hasira ya wanyanyasaji?
Et tu avais oublié Dieu ton créateur, le créateur du ciel et de la terre; et tous les jours tu avais peur en voyant en face la furie de ton persécuteur! Il a péri comme il avait résolu de te faire périr; et la furie de ton persécuteur, où est-elle à présent?
14 Yeye aliyeinama chini, Yahwe atafanya haraka kumuachia; hatakufa wala kwenda chini katika shimo, wala hatakosa mkate.
Le Seigneur ne s'arrêtera point, il ne mettra point de lenteur à te sauver.
15 Maana Yahwe Mungu wenu, anaye ifanya bahari itembee, hivyo mawimbi yake yavume kwa kishindo- Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
Car je suis ton Dieu; c'est moi qui trouble la mer, et qui fais retentir ses flots. Mon nom est le Seigneur des armées.
16 Niweka maneno yangu mdomoni mwako, na nimekufunika wewe kwa kivuli cha mkono wangu, ili niweze kupanda mbingu, kuweka misingi ya nchi, na kutamkia Sayuni, 'ninyi ni watu wangu.''
Je mettrai mes paroles en ta bouche; je t'abriterai à l'ombre de ma main, qui a fixé le ciel et affermi la terre, et je dirai à Sion: Tu es mon peuple.
17 Amka, amka, simama juu, Yerusalemu, ewe unyweae katika kikombe cha hasira ya Yahwe kutoka mkononi mwako; umekunjwa katika kikombe, kikombe cha mateso, na umekunjwa na kumaliza.
Réveille-toi, réveille-toi, lève-toi, Jérusalem, qui as bu de la main du Seigneur le calice de sa colère. Car tu as bu, tu as épuisé le calice de la ruine, la grande coupe de la fureur.
18 Hakuna hata mmoja miongoni mwa watoto aliyewazaa wa kumuongoza yeye; hakuna hata mmoja miongoni mwa wote aliyewalea wa kumshika mkono wake.
Et de tous les enfants que tu as mis au jour, nul ne t'a consolée; et de tous les fils que tu as élevés, nul ne t'a prise par la main.
19 Shida hizi mbili ziliwatokea ninyi- ni nani atahuzunika pamja nanyi? - ukiwa na uharibifu, na njaa na upanga. Ni nani atakayekufariji wewe?
Quand ces choses fondront sur toi, qui partagera ta tristesse? Quand il y aura ruine et désolation, famine et coups de glaive, qui te consolera?
20 Watoto wako walizimia; walilala kila kona ya mtaa, kama swala kwenye mtego; Wamejawa na hasira ya Yahwe, Laana ya Mungu wako.
Tes fils ont été pressés par la détresse, couchés au bout de chaque rue, comme une blette à demi cuite, pleins de la colère du Seigneur, énervés par le Seigneur Dieu.
21 Lakini sasa sikiliza hili, ewe uliodhulumiwa na kulewa, lakini sio kwa mvinyo:
C'est pourquoi, écoute, ô toi qui es humiliée et enivrée, mais non de vin:
22 Bwana wenu Yahwe Mungu, anayewasihi watu wake, asema hivi, ''Tazama, Nimechukua kikombe cha ukubwa mkononi mwako- ukubwa wa kikombe cha hasira yangu - ili usiweze kunjwa tena.
Ainsi dit le Seigneur Dieu, juge de son peuple: Voilà que j'ai ôté de tes mains le calice de la ruine, la grande coupe de ma fureur; tu ne continueras plus d'y boire à l'avenir.
23 Nitakuweka kwenye mikono ya watesaji, wale waliokuambia wewe, Lala chini, ili tutembee juu yako'; wameufanya mgongo wako kama uwanjwa na kama wao wa.''
Je la mettrai dans les mains de ceux qui t'ont nui injustement, de ceux qui t'ont abaissée, de ceux qui disaient à ton âme: Couche-toi, afin que nous passions; et tu faisais de ton corps un chemin pour ceux qui passaient.

< Isaya 51 >