< Isaya 5 >
1 Acha niimbe kwa mpendwa wangu mzuri, wimbo wa mpendwa wangu kuhusu shamba la mzabibu. Mpendwa wangu ana shamba kwenye mlima wenye rutuba.
Воспою ныне Возлюбленному песнь Возлюбленнаго моего винограду моему: виноград бысть Возлюбленному в розе, на месте тучне:
2 Analilima, anaondoa mawe, na anaotesha aina ya mizabibu iliyo bora. Na hujenga mnara katikati ya shamba akichimba shinkizo ndani yake. Anasubiria mzabibu uzae matunda lakini unazaa zabibu mwitu.
и ограждением оградих и окопах, и насадих лозу избранну, и создах столп посреде его, и предточилие ископах в нем, и ждах, да сотворит гроздие, и сотвори терние.
3 Kwa hiyo sasa, wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda, toa hukumu kati yangu na shamba la mzabibu.
И ныне, живущии во Иерусалиме и человече Иудин, судите между Мною и виноградом Моим.
4 Je ni kitu gani cha ziada unaweza ukakifanya kwenye shamba langu la mizabibu, ambacho sijakifanya? ninapotamzamia izae matunda, kwa nini inazaa matunda mwitu?
Что сотворю еще винограду Моему, и не сотворих ему? Занеже ждах, да сотворит гроздие, сотвори же терние.
5 Sasa nitawambia kitu nitakacho kifanya kwenye shamba langu la mzabibu: nitaondoa uzio, nitaligeuza kuwa malisho, Nitavunja ukuta wake chini. Na itakanyagwa chini.
Ныне убо возвещу вам, что Аз сотворю винограду Моему: отиму ограждение его, и будет в разграбление: и разорю стену его, и будет в попрание.
6 Nami nitaliharibu wala halitapaliliwa wala kuilmwa, bali litatoa mbigiri na miba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshee mvua juu yake.
И оставлю виноград Мой, и ктому не обрежется, ниже покопается, и взыдет на нем, якоже на лядине, терние: и облаком заповем, еже не одождити на него дождя.
7 Maana shamba la mzabibu la Yahwe Bwana wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na mtu wa Yuda ndio mazao yake ya kupendeza; anaisubiria haki lakini badala ya yaki kuna mauwaji; maana haki, lakini badala yake ni kelele zikihitaji msaada.
Виноград бо Господа Саваофа, дом Израилев есть, и человек Иудин новый сад возлюбленный: ждах, да сотворит суд, сотвори же беззаконие, и не правду, но вопль.
8 Ole wao wanaoungana nyumba kwa nyumba, shamba kwa shamba, mpaka wanamaliza, na umebaki mwenyewe kwenye shamba!
Горе совокупляющым дом к дому и село к селу приближающым, да ближнему отимут что: еда вселитеся едини на земли?
9 Yahwe wa majeshi ameniambia mimi, nyumba nyingi zitakuwa wazi, hata kubwa na zinazovutia, hakuna mwenyeji yeyote.
Услышашася бо во ушесех Господа Саваофа сия: аще бо будут домове мнози, в запустение будут велицыи и добрии, и не будут живущии в них:
10 Maana mashamba ya mizabibu la nira kumi lilitoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.
идеже бо возорют десять супруг волов, сотворит корчаг един, и сеяй артавас шесть сотворит меры три.
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema kutafuta pombe kali, wale wanaokaa usiku wa manane mpaka pombe inawaka moto.
Горе востающым заутра и сикер гонящым, ждущым вечера: вино бо сожжет я:
12 Wanasherekea kwa kinubi, kinanda, kigoma, filimbi, na mvinyo, lakini hawazitambui kazi za Yahwe, wala hawaziangalii kazi za mikono yake.
со гусльми бо и певницами, и тимпаны и свирельми вино пиют, на дела же Господня не взирают и дел руку Его не помышляют.
13 Kwa hiyo watu wangu wameenda kifungoni kwa kukosa uelewa; viongozi wao wakuheshimiwa wanashinda na njaa, na watu wao hana kitu cha kunjwa.
Убо пленени быша людие мои, за еже не ведети им Господа, и множество бысть мертвых глада ради и жажди водныя.
14 Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol )
И разшири ад душу свою и разверзе уста своя, еже не престати: и снидут славнии и велицыи и богатии и губителие их и веселяйся в нем: (Sheol )
15 Mtu atalazimishwa kuinama chini, na watu watakuwa wayenyekevu; na macho yao ya kujivuna yatatupwa chini,
и смирится человек, и обезчестится муж, и очи высокоглядающии смирятся.
16 Yahwe wa majeshi atainuliwa katika haki yake, na Mungu mtakatifu atajidhirisha kuwa mtakatifu kwa haki yake.
И вознесется Господь Саваоф в суде, и Бог Святый прославится в правде:
17 Ndipo kondoo watalishwa kama wako kwenye malisho yao wenyewe, na katika uharibifu, kondoo watachungwa kama wageni.
и упасутся расхищеннии яко юнцы, и пустыни плененных агнцы поядят.
18 Ole wao wanaovuta pamoja na waovu kwa kamba isiyo na maana na wanaovuta pamoja na dhambi kwa kamba za gari.
Горе привлачающым грехи яко ужем долгим, и яко ига юнична ременем беззакония своя,
19 Ole kwa wale wasemao, '' Basi na Mungu afanye haraka, basi afanya upesi, ili tuweze kuona kinachotokea; na tuache mipango ya Mtakatifu wa Israeli ije, ili tuifahamu.''
глаголющым: скоро да приближатся, яже сотворит, да видим, и да приидет совет Святаго Израилева, да разумеем.
20 Ole wao waitao uovu wema, na wema ni uovu; inayowakilisha giza kama mwanga, na mwanga kama giza; inayowakilisha kitu kichungu kama kitamu, na kitamu kama kichungu!
Горе глаголющым лукавое доброе, и доброе лукавое, полагающым тму свет, и свет тму, полагающым горькое сладкое, и сладкое горькое.
21 Ole kwa wale wenye busara machoni mwao, na buasra kwa uelewa wao!
Горе, иже мудри в себе самих и пред собою разумни.
22 Ole wao ambao ni washindi kwa kunjwa mvinyo, na wazoefu wa kuchanganya pombe kali;
Горе крепким вашым, вино пиющым, и вельможам растворяющым сикер,
23 ambao wako huru kumpa haki mtenda maovu, na kuwanyima haki wenye haki!
оправдающым нечестива даров ради, и еже есть праведное праведнаго вземлющым от него.
24 Hivyo basi kama ndimi za moto zinazokula mabua, kama majani makavu yanavyochomwa na moto, hivyo basi mizizi yake itaoza na maua yake yataperuka kama mavumbi. Hii itatokea kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe wa majeshi, na kwa sababu wamedharau neno la Mtakatifu wa Israeli.
Сего ради якоже сгорит трость от углия огненнаго и сожжется от пламене разгоревшагося, корень их яко персть будет, и цвет их яко прах взыдет: не восхотеша бо закона Господа Саваофа, но слово Святаго Израилева раздражиша.
25 Hivyo basi hasira ya Yahwe imewaka juu ya watu wake. Ameunyoosh mkono wake juu yao na kuwaadhibu wao. Milima inatikisika, na maiti ni kama takata mitaani. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake, ameonyoosha mkono wake nje.
И возярися гневом Господь Саваоф на люди Своя, и наложи руку Свою на них, и порази их: и раздражишася горы, и быша трупи их яко гной посреде пути. И во всех сих не отвратися ярость Его, но еще рука Его высока.
26 Atapandisha bendera ya ishara mabali na mataifa na atapuliza filimbi kwa wale walio mwisho wa nchi. Tazama watakuja wakikimbia mara moja.
Воздвигнет убо знамение во языцех сущих далече и позвиждет им от конец земли, и се, скоро легце грядут:
27 Hakuna tairi wala mashaka miongoni mwao; hakuna asinzae wala kulala usingizi. Au kama mkanda uliolegea, wala kamba za viatu kukatika.
не взалчут, ни утрудятся, ни воздремлют, ни поспят, ни распояшут поясов своих от чресл своих, ниже расторгнутся ремени сапогов их:
28 Mishale yao ni mikali na upinde wao umejikunja; kwato za farasi wao' ni kama jiwe, na gari lao magurudumu yake ni kama miba.
ихже стрелы остры суть, и луцы их напряжени: копыта коней их яко тверд камень вменишася, колеса колесниц их яко буря.
29 Mngurumo wao utakuwa kama wa simba, wataunguruma kama mtoto wa simba. Watanguruma na kukamata mawindo na kuvuta mbali, na hakuna hatakayeokolewa.
Ярятся яко львове, и предсташа яко львичища: и имет, и возопиет яко зверь, и извержет, и не будет отемлющаго их.
30 Siku hiyo ataunguruma juu ya mawindo kama vile bahari kwa kishindo. Yeyote atakayeangalia nchi, ataona giza na mateso; hata mwanga hutafanjwa kuwa mweusi kwa mawingu.
И возопиет их ради в той день, яко шум моря волнующася: и воззрят на землю, и се, тма жестока в недоумении их.