< Isaya 5 >

1 Acha niimbe kwa mpendwa wangu mzuri, wimbo wa mpendwa wangu kuhusu shamba la mzabibu. Mpendwa wangu ana shamba kwenye mlima wenye rutuba.
Je chanterai pour mon bien-aimé le cantique que mon bien-aimé chante à ma vigne. Mon bien-aimé avait une vigne, sur une éminence, en un lieu fertile.
2 Analilima, anaondoa mawe, na anaotesha aina ya mizabibu iliyo bora. Na hujenga mnara katikati ya shamba akichimba shinkizo ndani yake. Anasubiria mzabibu uzae matunda lakini unazaa zabibu mwitu.
Et je l'ai entourée d'une haie, et je l'ai palissadée, et je l'ai plantée du plant de Sorec; et au milieu j'ai bâti une tour, où j'ai creusé un cellier; et j'ai compté qu'elle me donnerait du raisin, mais elle a produit des épines.
3 Kwa hiyo sasa, wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda, toa hukumu kati yangu na shamba la mzabibu.
Et maintenant, vous, habitants de Jérusalem, et toi, homme de Juda, jugez entre moi et ma vigne.
4 Je ni kitu gani cha ziada unaweza ukakifanya kwenye shamba langu la mizabibu, ambacho sijakifanya? ninapotamzamia izae matunda, kwa nini inazaa matunda mwitu?
Que ferai-je encore pour ma vigne que je n'aie point déjà fait? J'avais compté qu'elle me donnerait du raisin, mais elle a produit des épines.
5 Sasa nitawambia kitu nitakacho kifanya kwenye shamba langu la mzabibu: nitaondoa uzio, nitaligeuza kuwa malisho, Nitavunja ukuta wake chini. Na itakanyagwa chini.
Or je vais maintenant vous déclarer ce que je ferai ' à ma vigne. Je lui arracherai sa baie, et elle sera mise au pillage; j'abattrai son mur, et elle sera foulée aux pieds.
6 Nami nitaliharibu wala halitapaliliwa wala kuilmwa, bali litatoa mbigiri na miba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshee mvua juu yake.
Et j'abandonnerai ma vigne, et elle ne sera plus ni taillée ni bêchée; et sur elle s'élèveront des épines comme sur une terre aride, et j'ordonnerai aux nuées de ne jamais l'arroser de pluie.
7 Maana shamba la mzabibu la Yahwe Bwana wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na mtu wa Yuda ndio mazao yake ya kupendeza; anaisubiria haki lakini badala ya yaki kuna mauwaji; maana haki, lakini badala yake ni kelele zikihitaji msaada.
Or la vigne du Seigneur Dieu des armées, c'est la maison d'Israël, et l'homme de Juda est mon nouveau plant bien-aimé. J'ai compté qu'il ferait la justice, et il a fait l'iniquité; et ce n'est pas la voix de l'équité, mais des cris que j'y entends.
8 Ole wao wanaoungana nyumba kwa nyumba, shamba kwa shamba, mpaka wanamaliza, na umebaki mwenyewe kwenye shamba!
Malheur à ceux qui joignent maison à maison, qui rapprochent leur champ d'un autre champ, afin de prendre quelque chose au voisin! est-ce que vous habiterez seuls la terre?
9 Yahwe wa majeshi ameniambia mimi, nyumba nyingi zitakuwa wazi, hata kubwa na zinazovutia, hakuna mwenyeji yeyote.
Ces choses sont venues aux oreilles du Seigneur Dieu des armées. Si nombreuses que soient vos maisons, elles seront désertes; quoique grandes et belles, ceux qui les habitent ne seront plus.
10 Maana mashamba ya mizabibu la nira kumi lilitoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.
Où labourent dix paires de bœufs, on ne récoltera qu'une mesure; et celui qui sème six artabes, n'en retirera que trois mesures.
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema kutafuta pombe kali, wale wanaokaa usiku wa manane mpaka pombe inawaka moto.
Malheur à ceux qui se lèvent le matin pour boire, et qui boivent jusqu'au soir! car le vin les brûlera.
12 Wanasherekea kwa kinubi, kinanda, kigoma, filimbi, na mvinyo, lakini hawazitambui kazi za Yahwe, wala hawaziangalii kazi za mikono yake.
Au son des cithares, des harpes, des tambours et des flûtes, ils boivent du vin; mais les œuvres du Seigneur, ils ne les considèrent pas; les œuvres de ses mains, ils n'y font pas attention.
13 Kwa hiyo watu wangu wameenda kifungoni kwa kukosa uelewa; viongozi wao wakuheshimiwa wanashinda na njaa, na watu wao hana kitu cha kunjwa.
Aussi mon peuple est-il devenu captif, parce qu'il n'a pas connu le Seigneur; et la faim et la soif en ont fait périr une multitude.
14 Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol h7585)
Et l'enfer s'en est dilaté l'âme, et il a ouvert sa bouche pour n'en point laisser échapper; et les grands, et les riches, et les hommes en honneur, et les hommes de pestilence, y descendront. (Sheol h7585)
15 Mtu atalazimishwa kuinama chini, na watu watakuwa wayenyekevu; na macho yao ya kujivuna yatatupwa chini,
Et l'homme sera humilié, et le guerrier méprisé, et les yeux hautains se baisseront.
16 Yahwe wa majeshi atainuliwa katika haki yake, na Mungu mtakatifu atajidhirisha kuwa mtakatifu kwa haki yake.
Et le Seigneur sera exalté dans son jugement, et le Dieu saint sera glorifié dans sa justice.
17 Ndipo kondoo watalishwa kama wako kwenye malisho yao wenyewe, na katika uharibifu, kondoo watachungwa kama wageni.
Et ceux qu'on aura pillés brouteront en paix comme des taureaux, et les agneaux iront paître dans les champs déserts de ceux qu'on aura emmenés.
18 Ole wao wanaovuta pamoja na waovu kwa kamba isiyo na maana na wanaovuta pamoja na dhambi kwa kamba za gari.
Malheur à ceux qui traînent leurs péchés comme avec un long câble, et leurs iniquités comme avec la courroie du joug d'une génisse,
19 Ole kwa wale wasemao, '' Basi na Mungu afanye haraka, basi afanya upesi, ili tuweze kuona kinachotokea; na tuache mipango ya Mtakatifu wa Israeli ije, ili tuifahamu.''
Et qui disent: Que bientôt advienne ce qu'il doit faire, afin que nous le voyions; que s'accomplisse la volonté du saint d'Israël, afin que nous la connaissions!
20 Ole wao waitao uovu wema, na wema ni uovu; inayowakilisha giza kama mwanga, na mwanga kama giza; inayowakilisha kitu kichungu kama kitamu, na kitamu kama kichungu!
Malheur à ceux qui appellent mal le bien, et bien le mal; qui donnent aux ténèbres le nom de lumière, et à la lumière le nom de ténèbres; qui tiennent pour amer le doux et pour doux l'amer!
21 Ole kwa wale wenye busara machoni mwao, na buasra kwa uelewa wao!
Malheur à ceux qui sont sages à leur sens et savants à leurs yeux!
22 Ole wao ambao ni washindi kwa kunjwa mvinyo, na wazoefu wa kuchanganya pombe kali;
Malheur à vos puissants qui boivent le vin, et à vos riches qui se préparent une boisson fermentée;
23 ambao wako huru kumpa haki mtenda maovu, na kuwanyima haki wenye haki!
A ceux qui justifient l'impie à prix d'argent, et qui ne rendent pas justice au juste!
24 Hivyo basi kama ndimi za moto zinazokula mabua, kama majani makavu yanavyochomwa na moto, hivyo basi mizizi yake itaoza na maua yake yataperuka kama mavumbi. Hii itatokea kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe wa majeshi, na kwa sababu wamedharau neno la Mtakatifu wa Israeli.
A cause de cela, comme le chaume est mis en feu par un charbon embrasé, et consumé par une flamme légère, ainsi leur racine sera réduite en cendres, et leur fleur s'envolera en poussière; car ils n'ont pas voulu de la loi du Seigneur des armées, mais ils ont irrité la parole du Saint d'Israël.
25 Hivyo basi hasira ya Yahwe imewaka juu ya watu wake. Ameunyoosh mkono wake juu yao na kuwaadhibu wao. Milima inatikisika, na maiti ni kama takata mitaani. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake, ameonyoosha mkono wake nje.
Et le Seigneur des armées a été transporté de colère contre son peuple, et il a étendu sa main sur eux, et il les a frappés. Et les montagnes ont frémi, et les cadavres des hommes ont, comme de la boue, couvert les chemins. Et au milieu de ces fléaux, sa fureur ne s'est point détournée, et sa main est encore levée.
26 Atapandisha bendera ya ishara mabali na mataifa na atapuliza filimbi kwa wale walio mwisho wa nchi. Tazama watakuja wakikimbia mara moja.
C'est pourquoi il fera signe aux nations lointaines, et il sifflera pour les appeler des extrémités de la terre, et voilà qu'elles accourent au plus vite.
27 Hakuna tairi wala mashaka miongoni mwao; hakuna asinzae wala kulala usingizi. Au kama mkanda uliolegea, wala kamba za viatu kukatika.
Elles ne sentiront ni la faim ni la fatigue; elles ne reposeront point la nuit; elles ne dormiront point; elles ne dénoueront pas la ceinture de leurs reins, et les cordons de leurs sandales ne seront point déliés.
28 Mishale yao ni mikali na upinde wao umejikunja; kwato za farasi wao' ni kama jiwe, na gari lao magurudumu yake ni kama miba.
Leurs traits sont acérés, leurs arcs tendus; les pieds de leurs chevaux sont fermes comme le roc, les roues de leurs chars sont comme un tourbillon.
29 Mngurumo wao utakuwa kama wa simba, wataunguruma kama mtoto wa simba. Watanguruma na kukamata mawindo na kuvuta mbali, na hakuna hatakayeokolewa.
Elles frémissent comme des lions; elles s'élancent comme des lionceaux. Ce peuple pillera, rugira comme une bête fauve, et il renversera tout, et nul ne pourra lui ravir sa proie.
30 Siku hiyo ataunguruma juu ya mawindo kama vile bahari kwa kishindo. Yeyote atakayeangalia nchi, ataona giza na mateso; hata mwanga hutafanjwa kuwa mweusi kwa mawingu.
Et en ce jour il criera contre Israël, comme la voix d'une mer agitée; et ils tourneront leurs yeux vers la terre, et dans leur détresse ils n'y verront que d'affreuses ténèbres.

< Isaya 5 >