< Isaya 5 >
1 Acha niimbe kwa mpendwa wangu mzuri, wimbo wa mpendwa wangu kuhusu shamba la mzabibu. Mpendwa wangu ana shamba kwenye mlima wenye rutuba.
I schal synge for my derlyng the song of myn vnclis sone, of his vyner. A vyner was maad to my derlyng, in the horne in the sone of oile.
2 Analilima, anaondoa mawe, na anaotesha aina ya mizabibu iliyo bora. Na hujenga mnara katikati ya shamba akichimba shinkizo ndani yake. Anasubiria mzabibu uzae matunda lakini unazaa zabibu mwitu.
And he heggide it, and chees stoonys therof, and plauntide a chosun vyner; and he bildide a tour in the myddis therof, and rerede a presse ther ynne; and he abood, that it schulde bere grapis, and it bare wielde grapis.
3 Kwa hiyo sasa, wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda, toa hukumu kati yangu na shamba la mzabibu.
Now therfor, ye dwelleris of Jerusalem, and ye men of Juda, deme bitwixe me and my viner.
4 Je ni kitu gani cha ziada unaweza ukakifanya kwenye shamba langu la mizabibu, ambacho sijakifanya? ninapotamzamia izae matunda, kwa nini inazaa matunda mwitu?
What is it that Y ouyt to do more to my vyner, and Y dide not to it? whether that Y abood, that it schulde bere grapis, and it bare wielde grapis?
5 Sasa nitawambia kitu nitakacho kifanya kwenye shamba langu la mzabibu: nitaondoa uzio, nitaligeuza kuwa malisho, Nitavunja ukuta wake chini. Na itakanyagwa chini.
And now Y schal schewe to you, what Y schal do to my vyner. Y schal take awei the hegge therof, and it schal be in to rauyschyng; Y schal caste doun the wal therof, and it schal be in to defoulyng; and Y schal sette it desert,
6 Nami nitaliharibu wala halitapaliliwa wala kuilmwa, bali litatoa mbigiri na miba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshee mvua juu yake.
ether forsakun. It schal not be kit, and it schal not be diggid, and breris and thornes schulen `growe vp on it; and Y schal comaunde to cloudis, that tho reyne not reyn on it.
7 Maana shamba la mzabibu la Yahwe Bwana wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na mtu wa Yuda ndio mazao yake ya kupendeza; anaisubiria haki lakini badala ya yaki kuna mauwaji; maana haki, lakini badala yake ni kelele zikihitaji msaada.
Forsothe the vyner of the Lord of oostis is the hous of Israel, and the men of Juda ben the delitable buriownyng of hym. Y abood, that it schal make doom, and lo! wickidnesse; and that it schulde do riytfulnesse, and lo! cry.
8 Ole wao wanaoungana nyumba kwa nyumba, shamba kwa shamba, mpaka wanamaliza, na umebaki mwenyewe kwenye shamba!
Wo to you that ioynen hows to hous, and couplen feeld to feeld, `til to the ende of place. Whether ye aloone schulen dwelle in the myddis of the lond?
9 Yahwe wa majeshi ameniambia mimi, nyumba nyingi zitakuwa wazi, hata kubwa na zinazovutia, hakuna mwenyeji yeyote.
These thingis ben in the eeris of me, the Lord of oostis; if many housis ben not forsakun, grete housis and faire, with outen dwellere, bileue ye not to me.
10 Maana mashamba ya mizabibu la nira kumi lilitoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.
For whi ten acris of vynes schulen make a potel, and thretti buschels of seed schulen make thre buschels.
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema kutafuta pombe kali, wale wanaokaa usiku wa manane mpaka pombe inawaka moto.
Wo to you that risen togidere eerli to sue drunkennesse, and to drinke `til to euentid, that ye brenne with wyn.
12 Wanasherekea kwa kinubi, kinanda, kigoma, filimbi, na mvinyo, lakini hawazitambui kazi za Yahwe, wala hawaziangalii kazi za mikono yake.
Harpe, and giterne, and tympan, and pipe, and wyn ben in youre feestis; and ye biholden not the werk of the Lord, nether ye biholden the werkis of hise hondis.
13 Kwa hiyo watu wangu wameenda kifungoni kwa kukosa uelewa; viongozi wao wakuheshimiwa wanashinda na njaa, na watu wao hana kitu cha kunjwa.
Therfor my puple is led prisoner, for it hadde not kunnyng; and the noble men therof perischiden in hungur, and the multitude therof was drye in thirst.
14 Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol )
Therfor helle alargide his soule, and openyde his mouth with outen ony ende; and strong men therof, and the puple therof, and the hiy men, and gloriouse men therof, schulen go doun to it. (Sheol )
15 Mtu atalazimishwa kuinama chini, na watu watakuwa wayenyekevu; na macho yao ya kujivuna yatatupwa chini,
And a man schal be bowid doun, and a man of age schal be maad low; and the iyen of hiy men schulen be pressid doun.
16 Yahwe wa majeshi atainuliwa katika haki yake, na Mungu mtakatifu atajidhirisha kuwa mtakatifu kwa haki yake.
And the Lord of oostis schal be enhaunsid in doom, and hooli God schal be halewid in riytfulnesse.
17 Ndipo kondoo watalishwa kama wako kwenye malisho yao wenyewe, na katika uharibifu, kondoo watachungwa kama wageni.
And lambren schulen be fed bi her ordre, and comelyngis schulen ete desert places turned in to plentee.
18 Ole wao wanaovuta pamoja na waovu kwa kamba isiyo na maana na wanaovuta pamoja na dhambi kwa kamba za gari.
Wo to you that drawen wickydnesse in the cordis of vanyte, and drawen synne as the boond of a wayn; and ye seien,
19 Ole kwa wale wasemao, '' Basi na Mungu afanye haraka, basi afanya upesi, ili tuweze kuona kinachotokea; na tuache mipango ya Mtakatifu wa Israeli ije, ili tuifahamu.''
The werk of hym haaste, and come soone, that we se; and the counsel of the hooli of Israel neiy, and come, and we schulen knowe it.
20 Ole wao waitao uovu wema, na wema ni uovu; inayowakilisha giza kama mwanga, na mwanga kama giza; inayowakilisha kitu kichungu kama kitamu, na kitamu kama kichungu!
Wo to you that seien yuel good, and good yuel; and putten derknessis liyt, and liyt derknessis; and putten bittir thing in to swete, and swete thing in to bittir.
21 Ole kwa wale wenye busara machoni mwao, na buasra kwa uelewa wao!
Wo to you that ben wise men in youre iyen, and ben prudent bifor you silf.
22 Ole wao ambao ni washindi kwa kunjwa mvinyo, na wazoefu wa kuchanganya pombe kali;
Wo to you that ben myyti to drynke wyn, and ben stronge to meddle drunkenesse;
23 ambao wako huru kumpa haki mtenda maovu, na kuwanyima haki wenye haki!
and ye iustifien a wickid man for yiftis, and ye taken awei the riytfulnesse of a iust man fro hym.
24 Hivyo basi kama ndimi za moto zinazokula mabua, kama majani makavu yanavyochomwa na moto, hivyo basi mizizi yake itaoza na maua yake yataperuka kama mavumbi. Hii itatokea kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe wa majeshi, na kwa sababu wamedharau neno la Mtakatifu wa Israeli.
For this thing, as the tunge of fier deuourith stobil, and the heete of flawme brenneth, so the roote of hem schal be as a deed sparcle, and the seed of hem schal stie as dust; for thei castiden awei the lawe of the Lord of oostis, and blasfemyden the speche of the hooli of Israel.
25 Hivyo basi hasira ya Yahwe imewaka juu ya watu wake. Ameunyoosh mkono wake juu yao na kuwaadhibu wao. Milima inatikisika, na maiti ni kama takata mitaani. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake, ameonyoosha mkono wake nje.
Therfor the strong veniaunce of the Lord was wrooth ayens his puple, and he stretchide forth his hond on it, and smoot it; and hillis weren disturblid, and the deed bodies of hem weren maad as a toord in the myddis of stretis. In alle these thingis the stronge vengeaunce of him was not turned awei, but yit his hond was stretchid forth.
26 Atapandisha bendera ya ishara mabali na mataifa na atapuliza filimbi kwa wale walio mwisho wa nchi. Tazama watakuja wakikimbia mara moja.
And he schal reise a signe among naciouns afer, and he schal hisse to hym fro the endis of erthe; and lo! he schal haaste, and schal come swiftli.
27 Hakuna tairi wala mashaka miongoni mwao; hakuna asinzae wala kulala usingizi. Au kama mkanda uliolegea, wala kamba za viatu kukatika.
Noon is failynge nethir trauelynge in that oost; he schal not nappe, nether slepe, nether the girdil of his reynes schal be vndo, nether the lace of his scho schal be brokun.
28 Mishale yao ni mikali na upinde wao umejikunja; kwato za farasi wao' ni kama jiwe, na gari lao magurudumu yake ni kama miba.
Hise arowis ben scharpe, and alle hise bowis ben bent; the houys of hise horsis ben as a flynt, and hise wheelis ben as the feersnesse of tempest.
29 Mngurumo wao utakuwa kama wa simba, wataunguruma kama mtoto wa simba. Watanguruma na kukamata mawindo na kuvuta mbali, na hakuna hatakayeokolewa.
His roryng schal be as of lioun; he schal rore as the whelpis of liouns; and he schal gnaste, and schal holde prey, and schal biclippe, and noon schal be, that schal delyuere.
30 Siku hiyo ataunguruma juu ya mawindo kama vile bahari kwa kishindo. Yeyote atakayeangalia nchi, ataona giza na mateso; hata mwanga hutafanjwa kuwa mweusi kwa mawingu.
And he schal sowne on it in that dai, as doith the soun of the see; we schulen biholde in to the erthe, and lo! derknessis of tribulacioun, and liyt is maad derk in the derknesse therof.