< Isaya 5 >

1 Acha niimbe kwa mpendwa wangu mzuri, wimbo wa mpendwa wangu kuhusu shamba la mzabibu. Mpendwa wangu ana shamba kwenye mlima wenye rutuba.
Let me sing for my well-beloved a song of my beloved concerning his vineyard. My well-beloved had a vineyard in a very fruitful hill.
2 Analilima, anaondoa mawe, na anaotesha aina ya mizabibu iliyo bora. Na hujenga mnara katikati ya shamba akichimba shinkizo ndani yake. Anasubiria mzabibu uzae matunda lakini unazaa zabibu mwitu.
And he dug it, and gathered out the stones of it, and planted it with the choicest vine, and built a tower in the midst of it, and also hewed out a winepress in it. And he looked that it should bring forth grapes, and it brought forth wild grapes.
3 Kwa hiyo sasa, wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda, toa hukumu kati yangu na shamba la mzabibu.
And now, O inhabitants of Jerusalem and men of Judah, judge, I pray you, between me and my vineyard.
4 Je ni kitu gani cha ziada unaweza ukakifanya kwenye shamba langu la mizabibu, ambacho sijakifanya? ninapotamzamia izae matunda, kwa nini inazaa matunda mwitu?
What could have been done more to my vineyard that I have not done in it? Why, when I looked that it should bring forth grapes, it brought forth wild grapes?
5 Sasa nitawambia kitu nitakacho kifanya kwenye shamba langu la mzabibu: nitaondoa uzio, nitaligeuza kuwa malisho, Nitavunja ukuta wake chini. Na itakanyagwa chini.
And now I will tell you what I will do to my vineyard. I will take away the hedge of it, and it shall be eaten up. I will break down the wall of it, and it shall be trodden down.
6 Nami nitaliharibu wala halitapaliliwa wala kuilmwa, bali litatoa mbigiri na miba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshee mvua juu yake.
And I will lay it waste. It shall not be pruned nor hoed, but there shall come up briers and thorns. I will also command the clouds that they rain no rain upon it.
7 Maana shamba la mzabibu la Yahwe Bwana wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na mtu wa Yuda ndio mazao yake ya kupendeza; anaisubiria haki lakini badala ya yaki kuna mauwaji; maana haki, lakini badala yake ni kelele zikihitaji msaada.
For the vineyard of Jehovah of hosts is the house of Israel, and the men of Judah his pleasant plant. And he looked for justice, but behold, oppression, for righteousness, but behold, a cry.
8 Ole wao wanaoungana nyumba kwa nyumba, shamba kwa shamba, mpaka wanamaliza, na umebaki mwenyewe kwenye shamba!
Woe to those who join house to house, who lay field to field, till there is no room, and ye be made to dwell alone in the midst of the land!
9 Yahwe wa majeshi ameniambia mimi, nyumba nyingi zitakuwa wazi, hata kubwa na zinazovutia, hakuna mwenyeji yeyote.
In my ears says Jehovah of hosts, of a truth many houses shall be desolate, even great and fair, without inhabitant.
10 Maana mashamba ya mizabibu la nira kumi lilitoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.
For ten acres of vineyard shall yield one bath, and a homer of seed shall yield but an ephah.
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema kutafuta pombe kali, wale wanaokaa usiku wa manane mpaka pombe inawaka moto.
Woe to those who rise up early in the morning, that they may follow strong drink, who tarry late into the night, till wine inflame them!
12 Wanasherekea kwa kinubi, kinanda, kigoma, filimbi, na mvinyo, lakini hawazitambui kazi za Yahwe, wala hawaziangalii kazi za mikono yake.
And the harp and the lute, the tambourine and the pipe, and wine, are in their feasts, but they do not regard the work of Jehovah, nor have they considered the operation of his hands.
13 Kwa hiyo watu wangu wameenda kifungoni kwa kukosa uelewa; viongozi wao wakuheshimiwa wanashinda na njaa, na watu wao hana kitu cha kunjwa.
Therefore my people have gone into captivity for lack of knowledge, and their honorable men are famished, and their multitude are parched with thirst.
14 Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol h7585)
Therefore Sheol has enlarged its desire, and opened its mouth without measure. And their glory, and their multitude, and their pomp, and he who rejoices among them, descend into it. (Sheol h7585)
15 Mtu atalazimishwa kuinama chini, na watu watakuwa wayenyekevu; na macho yao ya kujivuna yatatupwa chini,
And the common man is bowed down, and the great man is debased, and the eyes of the lofty are humbled,
16 Yahwe wa majeshi atainuliwa katika haki yake, na Mungu mtakatifu atajidhirisha kuwa mtakatifu kwa haki yake.
but Jehovah of hosts is exalted in justice, and God the Holy One is sanctified in righteousness.
17 Ndipo kondoo watalishwa kama wako kwenye malisho yao wenyewe, na katika uharibifu, kondoo watachungwa kama wageni.
Then the lambs shall feed as in their pasture, and wanderers shall eat the waste places of the fat ones.
18 Ole wao wanaovuta pamoja na waovu kwa kamba isiyo na maana na wanaovuta pamoja na dhambi kwa kamba za gari.
Woe to those who draw iniquity with cords of falsehood, and sin as it were with a cart rope,
19 Ole kwa wale wasemao, '' Basi na Mungu afanye haraka, basi afanya upesi, ili tuweze kuona kinachotokea; na tuache mipango ya Mtakatifu wa Israeli ije, ili tuifahamu.''
who say, Let him make speed, let him hasten his work, that we may see it. And let the counsel of the Holy One of Israel draw near and come, that we may know it!
20 Ole wao waitao uovu wema, na wema ni uovu; inayowakilisha giza kama mwanga, na mwanga kama giza; inayowakilisha kitu kichungu kama kitamu, na kitamu kama kichungu!
Woe to those who call evil good, and good evil, who put darkness for light, and light for darkness, who put bitter for sweet, and sweet for bitter!
21 Ole kwa wale wenye busara machoni mwao, na buasra kwa uelewa wao!
Woe to those who are wise in their own eyes, and prudent in their own sight!
22 Ole wao ambao ni washindi kwa kunjwa mvinyo, na wazoefu wa kuchanganya pombe kali;
Woe to those who are mighty to drink wine, and men of strength to mingle strong drink,
23 ambao wako huru kumpa haki mtenda maovu, na kuwanyima haki wenye haki!
who justify the wicked for rewards, and take away the justice of the righteous man from him!
24 Hivyo basi kama ndimi za moto zinazokula mabua, kama majani makavu yanavyochomwa na moto, hivyo basi mizizi yake itaoza na maua yake yataperuka kama mavumbi. Hii itatokea kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe wa majeshi, na kwa sababu wamedharau neno la Mtakatifu wa Israeli.
Therefore as the tongue of fire devours the stubble, and as the dry grass sinks down in the flame, so their root shall be as rottenness, and their blossom shall go up as dust, because they have rejected the law of Jehovah of hosts, and despised the word of the Holy One of Israel.
25 Hivyo basi hasira ya Yahwe imewaka juu ya watu wake. Ameunyoosh mkono wake juu yao na kuwaadhibu wao. Milima inatikisika, na maiti ni kama takata mitaani. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake, ameonyoosha mkono wake nje.
Therefore the anger of Jehovah is kindled against his people, and he has stretched forth his hand against them, and has smitten them. And the mountains tremble, and their dead bodies are as refuse in the midst of the streets. For all this his anger is not turned away, but his hand is stretched out still.
26 Atapandisha bendera ya ishara mabali na mataifa na atapuliza filimbi kwa wale walio mwisho wa nchi. Tazama watakuja wakikimbia mara moja.
And he will lift up an ensign to the nations from far, and will whistle for them from the end of the earth, and, behold, they shall come with speed swiftly.
27 Hakuna tairi wala mashaka miongoni mwao; hakuna asinzae wala kulala usingizi. Au kama mkanda uliolegea, wala kamba za viatu kukatika.
None shall be weary nor stumble among them. None shall slumber nor sleep, nor shall the belt of their loins be loosed, nor the latchet of their shoes be broken,
28 Mishale yao ni mikali na upinde wao umejikunja; kwato za farasi wao' ni kama jiwe, na gari lao magurudumu yake ni kama miba.
whose arrows are sharp, and all their bows bent. Their horses' hoofs shall be accounted as flint, and their wheels as a whirlwind.
29 Mngurumo wao utakuwa kama wa simba, wataunguruma kama mtoto wa simba. Watanguruma na kukamata mawindo na kuvuta mbali, na hakuna hatakayeokolewa.
Their roaring shall be like a lioness. They shall roar like young lions. Yea, they shall roar, and lay hold of the prey, and carry it away safe, and there shall be none to deliver.
30 Siku hiyo ataunguruma juu ya mawindo kama vile bahari kwa kishindo. Yeyote atakayeangalia nchi, ataona giza na mateso; hata mwanga hutafanjwa kuwa mweusi kwa mawingu.
And they shall roar against them in that day like the roaring of the sea. And if a man looks to the land, behold, darkness and distress, and the light is darkened in the clouds of it.

< Isaya 5 >