< Isaya 49 >

1 Nisikilize mimi, enyi mkao pwani! na kuwa makini, enyi watu mkao mbali. Yahwe amenita mimi kutoka kuzaliwa kwa jina, mama yangu aliponileta duniani.
Hør på mig, I øer, og gi akt, I folk fra det fjerne! Herren har kalt mig fra mors liv av, han har nevnt mitt navn fra min mors skjød.
2 Amefanya mdomo wangu kuwa kama upanga mkali; amenificha mimi katika kivuli cha mkono wake; amenifanya mimi kuwa mshale unaong'aa; katika podo yake amenificha mimi.
Han har gjort min munn til et skarpt sverd og skjult mig i sin hånds skygge; han har gjort mig til en blank pil og gjemt mig i sitt kogger.
3 Amesema na mimi, ''Wewe ni mtumishi wangu, Israeli, kupitia yeye nitaonyesha utukufu wangu.''
Og han sa til mig: Du er min tjener, du er Israel, på hvem jeg vil åpenbare min herlighet.
4 Lakini nilimjibu, ''Japo nilifikiria nilifanya kazi bure, nimetumia nguvu zangu bure, ikiwa haki yangu iko pamoja na Yahwe, na zawadi yangu iko kwa Mungu wangu.
Men jeg sa: Forgjeves har jeg arbeidet mig trett, og til ingen nytte har jeg fortært min kraft; men min rett er allikevel hos Herren, og min lønn hos min Gud.
5 Na sasa Yahwe asema hivi, yeye aliyeniumba mimi toka kuzaliwa na kuwa mtumishi wake, kumrejesha Yakobo tena kwake mwenyewe, na Israeli wakusanyike kwake. Mimi ninaheshimika katika macho ya Yahwe, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu.
Og nu sier Herren, som fra mors liv har dannet mig til sin tjener, for å føre Jakob tilbake til ham og samle Israel for ham, og jeg er æret i Herrens øine, og min Gud er blitt min styrke -
6 Asema hivi, ''Ni kitu kidogo sana kwa wewe kuwa mtumishi wangu ili kuanzisha ukoo wa Yakobo, na kuwarejesha wanaoishi Israeli. Nitakufanya wewe kuwa mwanga kwa Wayunani, ili uwe wokovu wangu katika mipaka ya nchi.
han sier: Det er for lite at du er min tjener til å gjenreise Jakobs stammer og føre den frelste rest av Israel tilbake; så vil jeg da gjøre dig til hedningenes lys, forat min frelse må nå til jordens ende.
7 Yahwe asema hivi, Mkombozi wa Israeli, Mtatakatifu wao, kwa yeye ambae maisha yake yamedharauliwa, kuchukiwa na mataifa, na mtumwa wa viongozi, ''Mfalme atakuona wewe na nyanyuka, na wakuu watakuona wewe na inama chini, kwa sababu ya Yahwe ambae ni mwaminifu, hata mtakatifu wa Israeli, aliyewachagua ninyi.''
Så sier Herren, Israels gjenløser, Israels Hellige, til ham som er foraktet av hver sjel, til ham som vekker folks avsky, til ham som er herskeres tjener: Konger skal se det og reise sig, fyrster skal se det og kaste sig ned, for Herrens skyld, som er trofast, for Israels Helliges skyld, som utvalgte dig.
8 Yahwe asema hivi, ''Kwa mda huu nimeamua kuwaonyesha neema yangu na nitawajibu ninyi, na siku ya wokovu nitawasaidi ninyi; Nitakulinda wewe; na nitawapa kama agano kwa watu, kuitengeneza tena nchi, kuwarihtisha urithi uliokuwa na ukiwa.
Så sier Herren: På den tid som behager mig, bønnhører jeg dig, og på frelsens dag hjelper jeg dig, og jeg vil bevare dig og gjøre dig til en pakt for folket, forat du skal gjenreise landet og utskifte de øde arvelodder
9 Utasema kwa wafungwa, 'Tokeni nje; kwa wale mlio katika giza gerezani, 'Jionyeshe mwenyewe. 'Watachunga pembeni ya barabara, na juu ya miteremko ya wazi yatakuwa malisho yake.
og si til de fangne: Gå ut! - til dem som er i mørket: Kom frem! På veiene skal de beite, og på alle de bare hauger skal det være beitemark for dem.
10 Hawatasikia njaa wala kiu; wala joto au jua halitawaunguza, kwa yeye mwenye huruma juu yao atawaongoza wao; atawaongoza wao kwenye mikondo ya maji.
De skal ikke sulte og ikke tørste, og hverken det glødende sandhav eller solen skal skade dem; for han som forbarmer sig over dem, skal føre dem og lede dem til kildevell,
11 Na nitafanya milima yote kuwa barabara, na kufanya njia za juu kuwa sawa''
og jeg vil gjøre alle mine fjell til veier, og mine ryddede veier skal bygges høiere.
12 Tazama, haya yatatoka kutoka mbali, baadhi kutoka kaskazini na magharibi; na wengine kutoka nchi ya Sinimi.
Se, de kommer langt borte fra, nogen fra nord og nogen fra vest og nogen fra Sinims land.
13 Imba, ewe mbingu, na uwe na furaha, ewe nchi pazeni sauti ya kuimmba enyi milima! maana Yahwe anawafariji watu wake, na watakuwa na huruma kwa wale wanoteseka.
Juble, I himler, og fryd dig, du jord! I fjell, bryt ut i frydesang! For Herren trøster sitt folk, og over sine elendige forbarmer han sig.
14 Lakin Sayuni asema, Yahwe ameniacha mimi, na Bwana amenisahau mimi.''
Sion sa: Herren har forlatt mig, Herren har glemt mig.
15 ''Je mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake, aliyemnyonyesha, hivyo hana huruma na mtoto aliye mzaa? ndio, hawakusahau, lakini siwezi kukusahau wewe.
Glemmer vel en kvinne sitt diende barn, så hun ikke forbarmer sig over sitt livs sønn? Om også de glemmer, så glemmer ikke jeg dig.
16 Tazama, nimeliandika jina lako kwenye kiganja cha mkono wangu; Kuta zako zinaendelea kuwa mbele yangu.
Se, I begge mine hender har jeg tegnet dig, dine murer står alltid for mig.
17 Watoto wangu wamerudi haraka, wakati wale wanowaangaimiza nyie wameenda mbali.
Dine barn kommer i hast; de som brøt dig ned og ødela dig, de skal dra bort fra dig.
18 Tazama karibu na uone, wote wamekusanyika na wanakuja kwako. Nitahakikisha kama ninaishi- hili ni tamko la Yahwe- hakika mtavivaaa kama kama kijiti; utajifungia kama bibi harusi.
Løft dine øine og se dig omkring! De samler sig alle sammen, de kommer til dig. Så sant jeg lever, sier Herren, du skal iføre dig dem alle sammen som en prydelse og binde dem om dig lik bruden;
19 Japo umeharibiwa na kuwa na ukiwa, nchi iliyoharibiwa, sasa itakuwa ndogo sana kwa wenyeji, na wale wanao waliokumeza watakuwa mbali,
for dine ruiner og dine øde steder og ditt herjede land - sannelig, nu skal du være for trang for innbyggerne, og dine ødeleggere skal være langt borte.
20 Watoto watakaozaliwa katika kipindi cha msiba watasema mkiwa mnawasikiliza, 'Sehemu hii ni duni kwetu, tengeneza chumba kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi hapa.
Ennu skal du få høre barna fra din barnløshets dager si: Plassen er for trang for mig; flytt dig, så jeg kan få bo her!
21 Halafu utajiuliza mwenyewe, ni nani aliyewazaa watu hawa kwangu? Mimi nilifiwa na ni tasa, niliyefungwa na kupewa talaka. Ni nani aliyewalea hawa watoto? Tazama, niliachiwa yote mimi mwenyewe; Je haya yametoka wapi?''
Og du skal si i ditt hjerte: Hvem har født mig disse barn? Jeg var jo barnløs og ufruktbar, landflyktig og jaget bort. Og hvem har fostret disse? Jeg var jo enslig tilbake. Hvor var da disse?
22 Yahwe asema hivi, ''Tazama, nitanyanyua mkono wangu juu ya mataifa; Nitanyanyua bendera yangu ya ishara kwa watu. Watawaleta watoto wako kwenye mikono yao na watawabeba binti zako juu ya mabega yao.
Så sier Herren, Israels Gud: Se, jeg vil løfte min hånd til hedningene og reise mitt banner for folkene, og de skal komme med dine sønner ved barmen, og dine døtre skal de bære på skulderen.
23 Wafalme watakuwa baba zako wa kambo, na malikia watakuwa wafanyakazi wa ndani; watakuinamia chini wewe kw uso wao kwa nchi na kukung'uta mavumbi ya miguu yenu; wale wanonisubiri mimi hawataabika.''
Og konger skal være dine fosterfedre, og deres dronninger dine ammer; de skal kaste sig på sitt ansikt til jorden for dig, og dine føtters støv skal de slikke, og du skal kjenne at jeg er Herren, og at de som bier efter mig, ikke skal bli til skamme.
24 Je mateka wanaweza kuchukuliwa kwa shujaa, au wafungwa kukombolewa kutoka kwa mkali?
Kan vel nogen ta hærfanget fra en kjempe, eller kan fangene slippe fra den som de med rette tilhører?
25 Lakini Yahwe asema hivi, ''Wafungwa watachukuliwa kutoka kwa shujaa, na maeteka watakombolewa; maana utampinga adui yako na kuwakomboa watoto wako.
Ja! For så sier Herren: Både skal fangene tas fra kjempen, og voldsmannens hærfang slippe unda, og med din motpart vil jeg gå i rette, og dine barn vil jeg frelse.
26 Na nitawalisha wanowaonea kwa mwili wao wenyewe; na watalewa kwa damu zao wenyewe, kama iliyo mvinyo; na watu wote watajua kwamba Mimi Yahwe, ni Mokozi wenu na Mkombozi wenu, yeye aliyemkuu wa Isareli.
Og jeg vil la dine undertrykkere ete sitt eget kjøtt, og av sitt eget blod skal de bli drukne som av druesaft; og alt kjød skal kjenne at jeg, Herren, er din frelser, Jakobs Veldige din gjenløser.

< Isaya 49 >