< Isaya 49 >

1 Nisikilize mimi, enyi mkao pwani! na kuwa makini, enyi watu mkao mbali. Yahwe amenita mimi kutoka kuzaliwa kwa jina, mama yangu aliponileta duniani.
Dengarlah aku, hai negeri-negeri yang jauh perhatikanlah kata-kataku. TUHAN memanggil aku sebelum aku dilahirkan, Ia memilih aku sejak dari kandungan.
2 Amefanya mdomo wangu kuwa kama upanga mkali; amenificha mimi katika kivuli cha mkono wake; amenifanya mimi kuwa mshale unaong'aa; katika podo yake amenificha mimi.
Ia membuat kata-kataku setajam pedang, dengan tangan-Nya sendiri Ia melindungi aku. Ia menjadikan aku seperti anak panah yang terasah, dan menyimpannya dalam tabung supaya siap dipakai.
3 Amesema na mimi, ''Wewe ni mtumishi wangu, Israeli, kupitia yeye nitaonyesha utukufu wangu.''
Kata-Nya kepadaku, "Engkaulah hamba-Ku; Aku akan diagungkan karena engkau."
4 Lakini nilimjibu, ''Japo nilifikiria nilifanya kazi bure, nimetumia nguvu zangu bure, ikiwa haki yangu iko pamoja na Yahwe, na zawadi yangu iko kwa Mungu wangu.
Tetapi aku berkata, "Jerih payahku percuma; kuhabiskan tenagaku dengan sia-sia!" Namun aku yakin TUHAN membela hakku, Allah membalas aku menurut perbuatanku.
5 Na sasa Yahwe asema hivi, yeye aliyeniumba mimi toka kuzaliwa na kuwa mtumishi wake, kumrejesha Yakobo tena kwake mwenyewe, na Israeli wakusanyike kwake. Mimi ninaheshimika katika macho ya Yahwe, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu.
Sebelum lahir, aku dipanggil TUHAN menjadi hamba-Nya, untuk mengumpulkan umat Israel, supaya mereka kembali kepada-Nya. TUHAN menjadikan aku terhormat, Allah adalah kekuatanku.
6 Asema hivi, ''Ni kitu kidogo sana kwa wewe kuwa mtumishi wangu ili kuanzisha ukoo wa Yakobo, na kuwarejesha wanaoishi Israeli. Nitakufanya wewe kuwa mwanga kwa Wayunani, ili uwe wokovu wangu katika mipaka ya nchi.
TUHAN berkata kepadaku, "Tugas yang lebih besar menanti engkau, hai hamba-Ku; kau tidak hanya akan memulangkan sisa keturunan Yakub dan memulihkan kebesaran suku-suku Israel, tetapi Kujadikan pula terang bangsa-bangsa, supaya seluruh dunia diselamatkan."
7 Yahwe asema hivi, Mkombozi wa Israeli, Mtatakatifu wao, kwa yeye ambae maisha yake yamedharauliwa, kuchukiwa na mataifa, na mtumwa wa viongozi, ''Mfalme atakuona wewe na nyanyuka, na wakuu watakuona wewe na inama chini, kwa sababu ya Yahwe ambae ni mwaminifu, hata mtakatifu wa Israeli, aliyewachagua ninyi.''
Allah kudus Penyelamat Israel berkata kepada orang yang sangat dihina, dan yang dibenci oleh bangsa-bangsa serta menjadi hamba para penguasa, "Raja-raja akan melihat perbuatan-Ku; mereka akan bangkit menghormati Aku. Para penguasa akan melihatnya juga, lalu sujud menyembah." Itu terjadi karena TUHAN telah memilih hamba-Nya; Allah kudus Israel setia kepada janji-Nya.
8 Yahwe asema hivi, ''Kwa mda huu nimeamua kuwaonyesha neema yangu na nitawajibu ninyi, na siku ya wokovu nitawasaidi ninyi; Nitakulinda wewe; na nitawapa kama agano kwa watu, kuitengeneza tena nchi, kuwarihtisha urithi uliokuwa na ukiwa.
TUHAN berkata kepada umat-Nya, "Pada waktu Aku berkenan, Aku akan menjawab; pada hari Aku menyelamatkan, Aku menolong kamu. Kamu Kulindungi dan Kujaga, dan Kujadikan perjanjian bagi bangsa-bangsa. Kupulihkan negeri yang sunyi sepi menjadi tanah pusaka yang didiami.
9 Utasema kwa wafungwa, 'Tokeni nje; kwa wale mlio katika giza gerezani, 'Jionyeshe mwenyewe. 'Watachunga pembeni ya barabara, na juu ya miteremko ya wazi yatakuwa malisho yake.
Orang yang dipenjarakan Kusuruh keluar; yang ada di tempat gelap Kubawa kepada terang. Bahkan di bukit yang gundul mereka tidak kekurangan, di sepanjang jalan tersedia makanan.
10 Hawatasikia njaa wala kiu; wala joto au jua halitawaunguza, kwa yeye mwenye huruma juu yao atawaongoza wao; atawaongoza wao kwenye mikondo ya maji.
Mereka tak akan menjadi haus atau lapar, dan tak akan ditimpa terik matahari di padang gurun. Sebab Aku, penyayang mereka, akan membimbing mereka, dan menuntun mereka ke sumber-sumber air.
11 Na nitafanya milima yote kuwa barabara, na kufanya njia za juu kuwa sawa''
Aku akan membuat jalan melalui pegunungan, semua jalan raya-Ku akan Kuratakan.
12 Tazama, haya yatatoka kutoka mbali, baadhi kutoka kaskazini na magharibi; na wengine kutoka nchi ya Sinimi.
Dari jauh umat-Ku berdatangan, dari utara, barat dan Sinim di selatan."
13 Imba, ewe mbingu, na uwe na furaha, ewe nchi pazeni sauti ya kuimmba enyi milima! maana Yahwe anawafariji watu wake, na watakuwa na huruma kwa wale wanoteseka.
Bernyanyilah hai langit, bersoraklah hai bumi, hai gunung-gunung, bersoraklah gembira! Sebab TUHAN datang menghibur umat-Nya, Ia mengasihani umat-Nya yang tertindas.
14 Lakin Sayuni asema, Yahwe ameniacha mimi, na Bwana amenisahau mimi.''
Tetapi penduduk Yerusalem berkata, "TUHAN sudah meninggalkan kita, TUHAN kita sudah melupakan kita."
15 ''Je mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake, aliyemnyonyesha, hivyo hana huruma na mtoto aliye mzaa? ndio, hawakusahau, lakini siwezi kukusahau wewe.
TUHAN menjawab, kata-Nya, "Mungkinkah seorang ibu melupakan anaknya, dan tidak menyayangi anak kandungnya? Sekalipun dia melupakannya, Aku tak akan melupakan engkau!
16 Tazama, nimeliandika jina lako kwenye kiganja cha mkono wangu; Kuta zako zinaendelea kuwa mbele yangu.
Yerusalem, Aku selalu ingat padamu; namamu Kuukir di telapak tangan-Ku.
17 Watoto wangu wamerudi haraka, wakati wale wanowaangaimiza nyie wameenda mbali.
Orang-orang yang membangun engkau segera datang, dan yang telah menghancurkan engkau akan pergi.
18 Tazama karibu na uone, wote wamekusanyika na wanakuja kwako. Nitahakikisha kama ninaishi- hili ni tamko la Yahwe- hakika mtavivaaa kama kama kijiti; utajifungia kama bibi harusi.
Lihatlah dan pandanglah di sekelilingmu, rakyatmu sudah berkumpul dan datang kepadamu. Demi Aku, Allah yang hidup, Aku berkata, sungguh, engkau akan bangga karena pendudukmu, seperti pengantin wanita bangga karena perhiasannya.
19 Japo umeharibiwa na kuwa na ukiwa, nchi iliyoharibiwa, sasa itakuwa ndogo sana kwa wenyeji, na wale wanao waliokumeza watakuwa mbali,
Negerimu yang tandus dan sunyi sepi, sekarang menjadi terlalu sempit bagi orang-orang yang ingin mendiaminya. Dan orang-orang yang mau membinasakan engkau, sudah pergi jauh daripadamu.
20 Watoto watakaozaliwa katika kipindi cha msiba watasema mkiwa mnawasikiliza, 'Sehemu hii ni duni kwetu, tengeneza chumba kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi hapa.
Anak-anak yang lahir di pengasingan akan berkata kepadamu, 'Negeri ini terlalu sempit bagiku, berilah tempat supaya aku dapat diam di sini.'
21 Halafu utajiuliza mwenyewe, ni nani aliyewazaa watu hawa kwangu? Mimi nilifiwa na ni tasa, niliyefungwa na kupewa talaka. Ni nani aliyewalea hawa watoto? Tazama, niliachiwa yote mimi mwenyewe; Je haya yametoka wapi?''
Maka engkau akan berkata dalam hati, 'Siapakah yang melahirkan anak-anak itu bagiku? Bukankah aku sudah kehilangan anak-anakku, dan tak dapat melahirkan lagi? Aku diangkut dalam pembuangan dan disingkirkan dan ditinggalkan seorang diri. Jadi dari mana anak-anak itu, dan siapa yang membesarkan mereka?'"
22 Yahwe asema hivi, ''Tazama, nitanyanyua mkono wangu juu ya mataifa; Nitanyanyua bendera yangu ya ishara kwa watu. Watawaleta watoto wako kwenye mikono yao na watawabeba binti zako juu ya mabega yao.
TUHAN Yang Mahatinggi berkata kepada umat-Nya, "Aku akan memberikan tanda kepada bangsa-bangsa dan mereka akan memulangkan anak-anakmu; anak-anakmu laki-laki akan digendong, dan anak-anakmu perempuan dipikul di atas bahu.
23 Wafalme watakuwa baba zako wa kambo, na malikia watakuwa wafanyakazi wa ndani; watakuinamia chini wewe kw uso wao kwa nchi na kukung'uta mavumbi ya miguu yenu; wale wanonisubiri mimi hawataabika.''
Raja-raja akan seperti bapak bagimu, dan ratu-ratu sebagai ibu. Mereka akan sujud menghormati engkau dan merendahkan diri terhadapmu. Maka engkau akan tahu bahwa Aku TUHAN; orang yang berharap pada-Ku tidak dikecewakan."
24 Je mateka wanaweza kuchukuliwa kwa shujaa, au wafungwa kukombolewa kutoka kwa mkali?
Kamu bertanya, "Mungkinkah jarahan dirampas dari tangan pahlawan, atau tawanan direbut dari genggaman orang kejam?"
25 Lakini Yahwe asema hivi, ''Wafungwa watachukuliwa kutoka kwa shujaa, na maeteka watakombolewa; maana utampinga adui yako na kuwakomboa watoto wako.
TUHAN menjawab, "Itulah yang akan terjadi. Tawanan para pahlawan akan direbut kembali. Jarahan orang kejam akan dirampas lagi. Sebab Aku sendiri melawan musuhmu; Aku akan menyelamatkan anak-anakmu.
26 Na nitawalisha wanowaonea kwa mwili wao wenyewe; na watalewa kwa damu zao wenyewe, kama iliyo mvinyo; na watu wote watajua kwamba Mimi Yahwe, ni Mokozi wenu na Mkombozi wenu, yeye aliyemkuu wa Isareli.
Aku akan membuat musuhmu mabuk darah, sehingga mereka saling membunuh. Maka seluruh umat manusia akan tahu, bahwa Aku, TUHAN, Penyelamatmu; Yang Mahakuat, Allah Yakub, Penebusmu."

< Isaya 49 >