< Isaya 49 >

1 Nisikilize mimi, enyi mkao pwani! na kuwa makini, enyi watu mkao mbali. Yahwe amenita mimi kutoka kuzaliwa kwa jina, mama yangu aliponileta duniani.
Îles, écoutez-moi; nations, soyez attentives: Après un long temps, ceci arrivera, dit le Seigneur; dès les entrailles de ma mère, le Seigneur m'a donné mon nom.
2 Amefanya mdomo wangu kuwa kama upanga mkali; amenificha mimi katika kivuli cha mkono wake; amenifanya mimi kuwa mshale unaong'aa; katika podo yake amenificha mimi.
Il a rendu ma bouche aiguë comme un glaive; il m'a caché en m'abritant de sa main; il a fait de moi sa flèche d'élite, et il m'a caché dans son carquois.
3 Amesema na mimi, ''Wewe ni mtumishi wangu, Israeli, kupitia yeye nitaonyesha utukufu wangu.''
Et il m'a dit: Tu es mon serviteur, Israël, et par toi je serai glorifié.
4 Lakini nilimjibu, ''Japo nilifikiria nilifanya kazi bure, nimetumia nguvu zangu bure, ikiwa haki yangu iko pamoja na Yahwe, na zawadi yangu iko kwa Mungu wangu.
Et j'ai dit: En vain je me suis fatigué; j'ai vainement et sans fruit déployé ma force; c'est pourquoi j'attends mon jugement du Seigneur, et mon labeur est devant moi.
5 Na sasa Yahwe asema hivi, yeye aliyeniumba mimi toka kuzaliwa na kuwa mtumishi wake, kumrejesha Yakobo tena kwake mwenyewe, na Israeli wakusanyike kwake. Mimi ninaheshimika katika macho ya Yahwe, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu.
Et maintenant voici ce que dit le Seigneur, qui, dès les entrailles de ma mère, m'a formé pour être son serviteur, pour ramener ensemble devant lui Jacob et Israël: Je me réunirai au Seigneur, et je serai glorifié devant lui, et mon Dieu sera ma force.
6 Asema hivi, ''Ni kitu kidogo sana kwa wewe kuwa mtumishi wangu ili kuanzisha ukoo wa Yakobo, na kuwarejesha wanaoishi Israeli. Nitakufanya wewe kuwa mwanga kwa Wayunani, ili uwe wokovu wangu katika mipaka ya nchi.
Et il m'a dit: C'est déjà pour toi une grande chose d'être appelé mon serviteur, d'établir les tribus de Jacob et de ramener Israël dispersé; mais voilà que je t'ai choisi pour être l'alliance des races, la lumière des Gentils, le salut de tous, jusqu'aux extrémités de la terre.
7 Yahwe asema hivi, Mkombozi wa Israeli, Mtatakatifu wao, kwa yeye ambae maisha yake yamedharauliwa, kuchukiwa na mataifa, na mtumwa wa viongozi, ''Mfalme atakuona wewe na nyanyuka, na wakuu watakuona wewe na inama chini, kwa sababu ya Yahwe ambae ni mwaminifu, hata mtakatifu wa Israeli, aliyewachagua ninyi.''
Ainsi dit le Seigneur, qui t'a délivré, le Dieu d'Israël: Sanctifiez celui qui n'a pas épargné sa vie, et qui cependant est abominable parmi les nations esclaves des princes. Les rois le verront, les princes se lèveront devant lui, et ils l'adoreront pour l'amour du Seigneur; car le Saint d'Israël est fidèle; et je t'ai choisi.
8 Yahwe asema hivi, ''Kwa mda huu nimeamua kuwaonyesha neema yangu na nitawajibu ninyi, na siku ya wokovu nitawasaidi ninyi; Nitakulinda wewe; na nitawapa kama agano kwa watu, kuitengeneza tena nchi, kuwarihtisha urithi uliokuwa na ukiwa.
Voici ce que dit encore le Seigneur: Au temps opportun, je t'ai exaucé; au jour du salut, je t'ai porté secours, je t'ai formé, et je t'ai choisi pour l'alliance des nations, pour l'apaisement de la terre, pour la possession d'héritages dépeuplés.
9 Utasema kwa wafungwa, 'Tokeni nje; kwa wale mlio katika giza gerezani, 'Jionyeshe mwenyewe. 'Watachunga pembeni ya barabara, na juu ya miteremko ya wazi yatakuwa malisho yake.
Et tu diras à ceux qui sont dans les chaînes: Sortez; et à ceux qui sont dans les ténèbres: Voyez la lumière. Et ils se repaîtront sur toutes les voies, et leur pâturage sera dans tous les sentiers.
10 Hawatasikia njaa wala kiu; wala joto au jua halitawaunguza, kwa yeye mwenye huruma juu yao atawaongoza wao; atawaongoza wao kwenye mikondo ya maji.
Ils ne sentiront ni la faim ni la soif; la chaleur ni le soleil ne les accableront; mais celui qui leur fait miséricorde les consolera; il les conduira à travers des sources d'eau vive.
11 Na nitafanya milima yote kuwa barabara, na kufanya njia za juu kuwa sawa''
Et je ferai de toute montagne un chemin, et de tout sentier un pâturage pour eux.
12 Tazama, haya yatatoka kutoka mbali, baadhi kutoka kaskazini na magharibi; na wengine kutoka nchi ya Sinimi.
Voilà que ceux-ci viendront de loin, ceux-là du Septentrion et de la mer, d'autres de la terre des Perses.
13 Imba, ewe mbingu, na uwe na furaha, ewe nchi pazeni sauti ya kuimmba enyi milima! maana Yahwe anawafariji watu wake, na watakuwa na huruma kwa wale wanoteseka.
Cieux, réjouissez-vous; terre, tressaille d'allégresse; que les montagnes éclatent de joie: le Seigneur a eu pitié de son peuple, et les humbles de son peuple, il les a consolés.
14 Lakin Sayuni asema, Yahwe ameniacha mimi, na Bwana amenisahau mimi.''
Sion avait dit: Le Seigneur m'a délaissée, le Seigneur m'a oubliée.
15 ''Je mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake, aliyemnyonyesha, hivyo hana huruma na mtoto aliye mzaa? ndio, hawakusahau, lakini siwezi kukusahau wewe.
Est-ce qu'une mère oublie son enfant? Est-ce qu'elle n'a point compassion du fruit de ses entrailles? Et lors même que la mère les oublierait, moi je ne t'oublierai jamais, dit le Seigneur.
16 Tazama, nimeliandika jina lako kwenye kiganja cha mkono wangu; Kuta zako zinaendelea kuwa mbele yangu.
Voilà que j'ai gravé sur mes mains la trace de tes murailles; tu es sans cesse devant moi.
17 Watoto wangu wamerudi haraka, wakati wale wanowaangaimiza nyie wameenda mbali.
Et bientôt tu seras rebâtie par ceux qui t'ont détruite; et ceux qui t'ont désolée sortiront de toi.
18 Tazama karibu na uone, wote wamekusanyika na wanakuja kwako. Nitahakikisha kama ninaishi- hili ni tamko la Yahwe- hakika mtavivaaa kama kama kijiti; utajifungia kama bibi harusi.
Lève les yeux alentour, et regarde-les tous; ils ont été rassemblés, et ils sont venus à toi. Par ma vie, dit le Seigneur, tu te revêtiras d'eux tous comme d'une parure; tu en seras ornée comme des habits d'une fiancée.
19 Japo umeharibiwa na kuwa na ukiwa, nchi iliyoharibiwa, sasa itakuwa ndogo sana kwa wenyeji, na wale wanao waliokumeza watakuwa mbali,
Tes solitudes, tes places détruites et ruinées seront alors trop étroites pour ceux qui t'habiteront; et les hommes qui te dévoraient s'en iront au loin.
20 Watoto watakaozaliwa katika kipindi cha msiba watasema mkiwa mnawasikiliza, 'Sehemu hii ni duni kwetu, tengeneza chumba kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi hapa.
Et tes fils, ceux que tu avais perdus, viendront dire à tes oreilles: Ce lieu est trop resserré, fais-moi une place où je puisse m'établir.
21 Halafu utajiuliza mwenyewe, ni nani aliyewazaa watu hawa kwangu? Mimi nilifiwa na ni tasa, niliyefungwa na kupewa talaka. Ni nani aliyewalea hawa watoto? Tazama, niliachiwa yote mimi mwenyewe; Je haya yametoka wapi?''
Et tu diras en ton cœur: Qui m'a engendré ceux-là? J'étais veuve, et je n'avais point d'enfant: qui m'a élevé ceux-là? J'étais seule et abandonnée; d'où ceux-là me viennent-ils?
22 Yahwe asema hivi, ''Tazama, nitanyanyua mkono wangu juu ya mataifa; Nitanyanyua bendera yangu ya ishara kwa watu. Watawaleta watoto wako kwenye mikono yao na watawabeba binti zako juu ya mabega yao.
Ainsi dit le Seigneur: Voilà que je lève la main sur les Gentils; j'élèverai mon signe sur les îles, et ils amèneront tes fils sur leur sein, et ils transporteront tes filles sur leurs épaules.
23 Wafalme watakuwa baba zako wa kambo, na malikia watakuwa wafanyakazi wa ndani; watakuinamia chini wewe kw uso wao kwa nchi na kukung'uta mavumbi ya miguu yenu; wale wanonisubiri mimi hawataabika.''
Et les rois seront tes pères nourriciers, et les reines tes nourrices; ils t'adoreront la face contre terre; ils lècheront la poussière de tes pieds, et tu connaîtras que je suis le Seigneur; et ceux qui m'attendaient ne seront pas confondus.
24 Je mateka wanaweza kuchukuliwa kwa shujaa, au wafungwa kukombolewa kutoka kwa mkali?
Est-ce que l'on enlève son butin à un géant? Est-ce que celui qu'on a fait injustement captif sera délivré?
25 Lakini Yahwe asema hivi, ''Wafungwa watachukuliwa kutoka kwa shujaa, na maeteka watakombolewa; maana utampinga adui yako na kuwakomboa watoto wako.
Or voici ce que dit le Seigneur: Si l'on fait captif un géant, on lui enlèvera son butin; si l'on reprend des mains du fort son captif, celui-ci sera sauvé. C'est moi qui plaiderai ta cause, moi qui délivrerai tes enfants.
26 Na nitawalisha wanowaonea kwa mwili wao wenyewe; na watalewa kwa damu zao wenyewe, kama iliyo mvinyo; na watu wote watajua kwamba Mimi Yahwe, ni Mokozi wenu na Mkombozi wenu, yeye aliyemkuu wa Isareli.
Et ceux qui t'auront opprimée mangeront leurs propres chairs, et ils boiront leur propre sang comme du vin nouveau, et ils s'enivreront; et toute chair sentira que je suis le Seigneur, que c'est moi qui t'ai sauvé, et qui ai protégé la force de Jacob.

< Isaya 49 >