< Isaya 49 >

1 Nisikilize mimi, enyi mkao pwani! na kuwa makini, enyi watu mkao mbali. Yahwe amenita mimi kutoka kuzaliwa kwa jina, mama yangu aliponileta duniani.
Écoutez-moi, îles. Écoutez, vous, peuples, de loin: Yahvé m'a appelé depuis le ventre de ma mère; de l'intérieur de ma mère, il a mentionné mon nom.
2 Amefanya mdomo wangu kuwa kama upanga mkali; amenificha mimi katika kivuli cha mkono wake; amenifanya mimi kuwa mshale unaong'aa; katika podo yake amenificha mimi.
Il a rendu ma bouche semblable à une épée tranchante. Il m'a caché dans l'ombre de sa main. Il m'a fait une tige polie. Il m'a gardé près de lui dans son carquois.
3 Amesema na mimi, ''Wewe ni mtumishi wangu, Israeli, kupitia yeye nitaonyesha utukufu wangu.''
Il m'a dit: « Tu es mon serviteur, Israël, en qui je serai glorifié. »
4 Lakini nilimjibu, ''Japo nilifikiria nilifanya kazi bure, nimetumia nguvu zangu bure, ikiwa haki yangu iko pamoja na Yahwe, na zawadi yangu iko kwa Mungu wangu.
Mais j'ai dit: « C'est en vain que j'ai travaillé. J'ai dépensé mes forces en vain pour rien; mais c'est à Yahvé que revient la justice qui m'est due, et ma récompense auprès de mon Dieu. »
5 Na sasa Yahwe asema hivi, yeye aliyeniumba mimi toka kuzaliwa na kuwa mtumishi wake, kumrejesha Yakobo tena kwake mwenyewe, na Israeli wakusanyike kwake. Mimi ninaheshimika katika macho ya Yahwe, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu.
Or, Yahvé, celui qui m'a formé dès le ventre de ma mère pour être son serviteur, dit de lui ramener Jacob, et de rassembler Israël auprès de lui, car je suis honorable aux yeux de Yahvé, et mon Dieu est devenu ma force.
6 Asema hivi, ''Ni kitu kidogo sana kwa wewe kuwa mtumishi wangu ili kuanzisha ukoo wa Yakobo, na kuwarejesha wanaoishi Israeli. Nitakufanya wewe kuwa mwanga kwa Wayunani, ili uwe wokovu wangu katika mipaka ya nchi.
En effet, il dit: « C'est une chose trop légère que tu sois mon serviteur pour relever les tribus de Jacob, et de restaurer les préservés d'Israël. Je te donnerai aussi comme lumière aux nations, afin que tu sois mon salut jusqu'au bout du monde. »
7 Yahwe asema hivi, Mkombozi wa Israeli, Mtatakatifu wao, kwa yeye ambae maisha yake yamedharauliwa, kuchukiwa na mataifa, na mtumwa wa viongozi, ''Mfalme atakuona wewe na nyanyuka, na wakuu watakuona wewe na inama chini, kwa sababu ya Yahwe ambae ni mwaminifu, hata mtakatifu wa Israeli, aliyewachagua ninyi.''
Yahvé, le Rédempteur d'Israël, et son Saint, dit à celui que l'homme méprise, à celui que la nation abhorre, à un serviteur des chefs: « Les rois verront et se lèveront, les princes, et ils se prosterneront, à cause de Yahvé qui est fidèle, le Saint d'Israël, qui t'a choisi. »
8 Yahwe asema hivi, ''Kwa mda huu nimeamua kuwaonyesha neema yangu na nitawajibu ninyi, na siku ya wokovu nitawasaidi ninyi; Nitakulinda wewe; na nitawapa kama agano kwa watu, kuitengeneza tena nchi, kuwarihtisha urithi uliokuwa na ukiwa.
Yahvé dit: « Je t'ai répondu au bon moment. Je vous ai aidé au jour du salut. Je te garderai et te donnerai comme alliance du peuple, pour relever le pays, pour leur faire hériter de l'héritage dévasté,
9 Utasema kwa wafungwa, 'Tokeni nje; kwa wale mlio katika giza gerezani, 'Jionyeshe mwenyewe. 'Watachunga pembeni ya barabara, na juu ya miteremko ya wazi yatakuwa malisho yake.
en disant à ceux qui sont liés: « Sortez! »; à ceux qui sont dans les ténèbres: « Montrez-vous! « Ils se nourriront le long des chemins, et leur pâturage sera sur toutes les hauteurs sans arbres.
10 Hawatasikia njaa wala kiu; wala joto au jua halitawaunguza, kwa yeye mwenye huruma juu yao atawaongoza wao; atawaongoza wao kwenye mikondo ya maji.
Ils n'auront ni faim ni soif; ni la chaleur ni le soleil ne les frapperont, car celui qui a pitié d'eux les conduira. Il les guidera vers des sources d'eau.
11 Na nitafanya milima yote kuwa barabara, na kufanya njia za juu kuwa sawa''
Je ferai de toutes mes montagnes une route, et mes autoroutes seront exaltées.
12 Tazama, haya yatatoka kutoka mbali, baadhi kutoka kaskazini na magharibi; na wengine kutoka nchi ya Sinimi.
Voici, ils viennent de loin, et voici ceux du nord et de l'ouest, et ceux-ci du pays de Sinim. »
13 Imba, ewe mbingu, na uwe na furaha, ewe nchi pazeni sauti ya kuimmba enyi milima! maana Yahwe anawafariji watu wake, na watakuwa na huruma kwa wale wanoteseka.
Chantez, cieux, et soyez joyeux, terre! Laissez-vous aller à chanter, montagnes! Car Yahvé a réconforté son peuple, et aura de la compassion pour ses affligés.
14 Lakin Sayuni asema, Yahwe ameniacha mimi, na Bwana amenisahau mimi.''
Mais Sion dit: « Yahvé m'a abandonné, et le Seigneur m'a oublié. »
15 ''Je mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake, aliyemnyonyesha, hivyo hana huruma na mtoto aliye mzaa? ndio, hawakusahau, lakini siwezi kukusahau wewe.
« Une femme peut-elle oublier son enfant qu'elle allaite, pour qu'elle n'ait pas de compassion pour le fils de ses entrailles? Oui, ils peuvent oublier, mais je ne vous oublierai pas!
16 Tazama, nimeliandika jina lako kwenye kiganja cha mkono wangu; Kuta zako zinaendelea kuwa mbele yangu.
Voici, je vous ai gravés sur les paumes de mes mains. Vos murs sont continuellement devant moi.
17 Watoto wangu wamerudi haraka, wakati wale wanowaangaimiza nyie wameenda mbali.
Vos enfants se dépêchent. Vos destructeurs et ceux qui vous ont dévasté vous quitteront.
18 Tazama karibu na uone, wote wamekusanyika na wanakuja kwako. Nitahakikisha kama ninaishi- hili ni tamko la Yahwe- hakika mtavivaaa kama kama kijiti; utajifungia kama bibi harusi.
Lève les yeux tout autour, et regarde: tous ceux-là se rassemblent et viennent à toi. Je suis vivant, dit Yahvé, et tu t'en revêtiras comme d'une parure, et habille-toi avec, comme une mariée.
19 Japo umeharibiwa na kuwa na ukiwa, nchi iliyoharibiwa, sasa itakuwa ndogo sana kwa wenyeji, na wale wanao waliokumeza watakuwa mbali,
« En effet, pour ce qui est de tes déchets et de tes lieux désolés, et votre terre qui a été détruite, Il est certain que maintenant cette terre sera trop petite pour les habitants, et ceux qui t'ont englouti seront loin.
20 Watoto watakaozaliwa katika kipindi cha msiba watasema mkiwa mnawasikiliza, 'Sehemu hii ni duni kwetu, tengeneza chumba kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi hapa.
Les enfants de ton deuil diront à tes oreilles, Cet endroit est trop petit pour moi. Donnez-moi un endroit où vivre.
21 Halafu utajiuliza mwenyewe, ni nani aliyewazaa watu hawa kwangu? Mimi nilifiwa na ni tasa, niliyefungwa na kupewa talaka. Ni nani aliyewalea hawa watoto? Tazama, niliachiwa yote mimi mwenyewe; Je haya yametoka wapi?''
Alors tu diras dans ton cœur: « Qui les a conçus pour moi, puisque je suis privé de mes enfants? et que je suis seul, exilé, et que j'erre de long en large? Qui les a évoqués? Voici, j'ai été laissé seul. Où étaient-ils? »
22 Yahwe asema hivi, ''Tazama, nitanyanyua mkono wangu juu ya mataifa; Nitanyanyua bendera yangu ya ishara kwa watu. Watawaleta watoto wako kwenye mikono yao na watawabeba binti zako juu ya mabega yao.
Le Seigneur Yahvé dit: « Voici que je lève ma main vers les nations, et je lèverai ma bannière vers les peuples. Ils porteront vos fils dans leur sein, et vos filles seront portées sur leurs épaules.
23 Wafalme watakuwa baba zako wa kambo, na malikia watakuwa wafanyakazi wa ndani; watakuinamia chini wewe kw uso wao kwa nchi na kukung'uta mavumbi ya miguu yenu; wale wanonisubiri mimi hawataabika.''
Les rois seront vos pères nourriciers, et leurs reines vos mères nourricières. Ils se prosterneront devant toi, le visage tourné vers la terre, et lécher la poussière de vos pieds. Alors vous saurez que je suis Yahvé; et ceux qui m'attendent ne seront pas déçus. »
24 Je mateka wanaweza kuchukuliwa kwa shujaa, au wafungwa kukombolewa kutoka kwa mkali?
Le butin sera pris aux puissants, ou que les captifs légitimes soient délivrés?
25 Lakini Yahwe asema hivi, ''Wafungwa watachukuliwa kutoka kwa shujaa, na maeteka watakombolewa; maana utampinga adui yako na kuwakomboa watoto wako.
Mais Yahvé dit: « Même les captifs des puissants seront emmenés, et le butin récupéré sur le féroce, car je me battrai avec celui qui se battra avec vous. et je sauverai vos enfants.
26 Na nitawalisha wanowaonea kwa mwili wao wenyewe; na watalewa kwa damu zao wenyewe, kama iliyo mvinyo; na watu wote watajua kwamba Mimi Yahwe, ni Mokozi wenu na Mkombozi wenu, yeye aliyemkuu wa Isareli.
Je nourrirai de leur propre chair ceux qui vous oppriment; et ils s'enivreront de leur propre sang, comme d'un vin doux. Alors toute chair saura que moi, Yahvé, je suis votre Sauveur. et ton rédempteur, le Puissant de Jacob. »

< Isaya 49 >