< Isaya 49 >
1 Nisikilize mimi, enyi mkao pwani! na kuwa makini, enyi watu mkao mbali. Yahwe amenita mimi kutoka kuzaliwa kwa jina, mama yangu aliponileta duniani.
to hear: hear coastland to(wards) me and to listen people from distant LORD from belly: womb to call: call to me from belly mother my to remember name my
2 Amefanya mdomo wangu kuwa kama upanga mkali; amenificha mimi katika kivuli cha mkono wake; amenifanya mimi kuwa mshale unaong'aa; katika podo yake amenificha mimi.
and to set: make lip my like/as sword sharp in/on/with shadow hand his to hide me and to set: make me to/for arrow to purify in/on/with quiver his to hide me
3 Amesema na mimi, ''Wewe ni mtumishi wangu, Israeli, kupitia yeye nitaonyesha utukufu wangu.''
and to say to/for me servant/slave my you(m. s.) Israel which in/on/with you to beautify
4 Lakini nilimjibu, ''Japo nilifikiria nilifanya kazi bure, nimetumia nguvu zangu bure, ikiwa haki yangu iko pamoja na Yahwe, na zawadi yangu iko kwa Mungu wangu.
and I to say to/for vain be weary/toil to/for formlessness and vanity strength my to end: expend surely justice my with LORD and wages my with God my
5 Na sasa Yahwe asema hivi, yeye aliyeniumba mimi toka kuzaliwa na kuwa mtumishi wake, kumrejesha Yakobo tena kwake mwenyewe, na Israeli wakusanyike kwake. Mimi ninaheshimika katika macho ya Yahwe, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu.
and now to say LORD to form: formed me from belly: womb to/for servant/slave to/for him to/for to return: return Jacob to(wards) him and Israel (to/for him *Q(K)*) to gather and to honor: honour in/on/with eye LORD and God my to be strength my
6 Asema hivi, ''Ni kitu kidogo sana kwa wewe kuwa mtumishi wangu ili kuanzisha ukoo wa Yakobo, na kuwarejesha wanaoishi Israeli. Nitakufanya wewe kuwa mwanga kwa Wayunani, ili uwe wokovu wangu katika mipaka ya nchi.
and to say to lighten from to be you to/for me servant/slave to/for to arise: establish [obj] tribe Jacob (and to watch *Q(K)*) Israel to/for to return: return and to give: make you to/for light nation to/for to be salvation my till end [the] land: country/planet
7 Yahwe asema hivi, Mkombozi wa Israeli, Mtatakatifu wao, kwa yeye ambae maisha yake yamedharauliwa, kuchukiwa na mataifa, na mtumwa wa viongozi, ''Mfalme atakuona wewe na nyanyuka, na wakuu watakuona wewe na inama chini, kwa sababu ya Yahwe ambae ni mwaminifu, hata mtakatifu wa Israeli, aliyewachagua ninyi.''
thus to say LORD to redeem: redeem Israel holy his to/for to despise soul: person to/for to abhor nation to/for servant/slave to rule king to see: see and to arise: rise ruler and to bow because LORD which be faithful holy Israel and to choose you
8 Yahwe asema hivi, ''Kwa mda huu nimeamua kuwaonyesha neema yangu na nitawajibu ninyi, na siku ya wokovu nitawasaidi ninyi; Nitakulinda wewe; na nitawapa kama agano kwa watu, kuitengeneza tena nchi, kuwarihtisha urithi uliokuwa na ukiwa.
thus to say LORD in/on/with time acceptance to answer you and in/on/with day salvation to help you and to watch you and to give: give you to/for covenant people to/for to arise: establish land: country/planet to/for to inherit inheritance be desolate: destroyed
9 Utasema kwa wafungwa, 'Tokeni nje; kwa wale mlio katika giza gerezani, 'Jionyeshe mwenyewe. 'Watachunga pembeni ya barabara, na juu ya miteremko ya wazi yatakuwa malisho yake.
to/for to say to/for to bind to come out: come to/for which in/on/with darkness to reveal: uncover upon way: road to pasture and in/on/with all bareness pasturing their
10 Hawatasikia njaa wala kiu; wala joto au jua halitawaunguza, kwa yeye mwenye huruma juu yao atawaongoza wao; atawaongoza wao kwenye mikondo ya maji.
not be hungry and not to thirst and not to smite them scorching and sun for to have compassion them to lead them and upon spring water to guide them
11 Na nitafanya milima yote kuwa barabara, na kufanya njia za juu kuwa sawa''
and to set: make all mountain: mount my to/for way: road and highway my to exalt [emph?]
12 Tazama, haya yatatoka kutoka mbali, baadhi kutoka kaskazini na magharibi; na wengine kutoka nchi ya Sinimi.
behold these from distant to come (in): come and behold these from north and from sea: west and these from land: country/planet Syene
13 Imba, ewe mbingu, na uwe na furaha, ewe nchi pazeni sauti ya kuimmba enyi milima! maana Yahwe anawafariji watu wake, na watakuwa na huruma kwa wale wanoteseka.
to sing heaven and to rejoice land: country/planet (and to break out *Q(K)*) mountain: mount cry for to be sorry: comfort LORD people his and afflicted his to have compassion
14 Lakin Sayuni asema, Yahwe ameniacha mimi, na Bwana amenisahau mimi.''
and to say Zion to leave: forsake me LORD and Lord to forget me
15 ''Je mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake, aliyemnyonyesha, hivyo hana huruma na mtoto aliye mzaa? ndio, hawakusahau, lakini siwezi kukusahau wewe.
to forget woman infant her from to have compassion son: child belly: womb her also these to forget and I not to forget you
16 Tazama, nimeliandika jina lako kwenye kiganja cha mkono wangu; Kuta zako zinaendelea kuwa mbele yangu.
look! upon palm to decree you wall your before me continually
17 Watoto wangu wamerudi haraka, wakati wale wanowaangaimiza nyie wameenda mbali.
to hasten son: child your to overthrow you and to destroy you from you to come out: come
18 Tazama karibu na uone, wote wamekusanyika na wanakuja kwako. Nitahakikisha kama ninaishi- hili ni tamko la Yahwe- hakika mtavivaaa kama kama kijiti; utajifungia kama bibi harusi.
to lift: look around eye your and to see: see all their to gather to come (in): come to/for you alive I utterance LORD for all their like/as ornament to clothe and to conspire them like/as daughter-in-law: bride
19 Japo umeharibiwa na kuwa na ukiwa, nchi iliyoharibiwa, sasa itakuwa ndogo sana kwa wenyeji, na wale wanao waliokumeza watakuwa mbali,
for desolation your and be desolate: destroyed your and land: country/planet ruins your for now be distressed from to dwell and to remove to swallow up you
20 Watoto watakaozaliwa katika kipindi cha msiba watasema mkiwa mnawasikiliza, 'Sehemu hii ni duni kwetu, tengeneza chumba kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi hapa.
still to say in/on/with ear your son: child bereavement your narrow to/for me [the] place to approach: approach [emph?] to/for me and to dwell
21 Halafu utajiuliza mwenyewe, ni nani aliyewazaa watu hawa kwangu? Mimi nilifiwa na ni tasa, niliyefungwa na kupewa talaka. Ni nani aliyewalea hawa watoto? Tazama, niliachiwa yote mimi mwenyewe; Je haya yametoka wapi?''
and to say in/on/with heart your who? to beget to/for me [obj] these and I childless and solitary to reveal: remove and to turn aside: remove and these who? to magnify look! I to remain to/for alone me these where? they(masc.)
22 Yahwe asema hivi, ''Tazama, nitanyanyua mkono wangu juu ya mataifa; Nitanyanyua bendera yangu ya ishara kwa watu. Watawaleta watoto wako kwenye mikono yao na watawabeba binti zako juu ya mabega yao.
thus to say Lord YHWH/God behold to lift: raise to(wards) nation hand my and to(wards) people to exalt ensign my and to come (in): bring son: child your in/on/with bosom and daughter your upon shoulder to lift: bear
23 Wafalme watakuwa baba zako wa kambo, na malikia watakuwa wafanyakazi wa ndani; watakuinamia chini wewe kw uso wao kwa nchi na kukung'uta mavumbi ya miguu yenu; wale wanonisubiri mimi hawataabika.''
and to be king be faithful you and princess their to suckle your face land: soil to bow to/for you and dust foot your to lick and to know for I LORD which not be ashamed to await me
24 Je mateka wanaweza kuchukuliwa kwa shujaa, au wafungwa kukombolewa kutoka kwa mkali?
to take: take from mighty man prey and if captivity righteous to escape
25 Lakini Yahwe asema hivi, ''Wafungwa watachukuliwa kutoka kwa shujaa, na maeteka watakombolewa; maana utampinga adui yako na kuwakomboa watoto wako.
for thus to say LORD also captivity mighty man to take: take and prey ruthless to escape and with opponent your I to contend and [obj] son: child your I to save
26 Na nitawalisha wanowaonea kwa mwili wao wenyewe; na watalewa kwa damu zao wenyewe, kama iliyo mvinyo; na watu wote watajua kwamba Mimi Yahwe, ni Mokozi wenu na Mkombozi wenu, yeye aliyemkuu wa Isareli.
and to eat [obj] to oppress you [obj] flesh their and like/as sweet blood their be drunk [emph?] and to know all flesh for I LORD to save you and to redeem: redeem your mighty Jacob