< Isaya 48 >
1 Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
Escucha esto, oh familia de Jacob, tú, que llevas el nombre de Israel y has salido del cuerpo de Judá; que hacen juramentos por el nombre del Señor, y hacen uso del nombre del Dios de Israel, pero no verdaderamente y no de buena fe.
2 Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
Porque dicen que son del pueblo santo, y ponen su fe en el Dios de Israel, el Señor de los ejércitos es su nombre.
3 ''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
Dije en el pasado las cosas que sucederían; salieron de mi boca, y las proclamé; de repente actué y se cumplieron.
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
Porque vi que tu corazón estaba duro, y que tu cuello era un tendón de hierro y tu frente de bronce;
5 Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
Por esta razón las declare en el pasado, antes de que sucediera te las proclame, te dije que lo hicieras; por temor a que pudieras decir: Fue mi ídolo quien hizo estas cosas, mi imagen tallada y las imágenes fundidas las hicieron aparecer.
6 Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
Todo esto ha llegado a tus oídos y lo has visto; ¿No le darás testimonio? Ahora estoy haciendo cosas nuevas, incluso cosas secretas, de las que no tenías conocimiento.
7 Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
Solo ahora se han efectuado, y no en el pasado y antes de este día no habían llegado a tus oídos; Por temor a que pudieras decir, tenía conocimiento de ellos.
8 Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
En verdad, no tenías palabra de ellos, ni conocimiento de ellos; ninguna noticia de ellos en el pasado había llegado a tus oídos; porque vi lo falso que era tu comportamiento y que tu corazón se volvió contra mí desde los primeros días.
9 Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
Por mi nombre guardaré mi ira, y por mi alabanza me guardaré de destruirlos.
10 Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
Mira, te he estado probando como a mí mismo, no como a la plata; Te he hecho pasar por el fuego de la angustia.
11 Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
Por mí mismo, por mi nombre, lo haré; porque no dejaré que mi nombre sea avergonzado; Y mi gloria no la daré a otro.
12 Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
Escúchame, Jacob, e Israel, mi amado; Yo soy el, soy el primero y el último.
13 Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
Sí, por mi mano estaba la tierra puesta sobre su base, y por mi mano derecha se extendían los cielos; en mi palabra ellos toman sus lugares.
14 Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
Vengan todos, y escuchen; ¿Quién de ustedes ha dado noticias de estas cosas? El amado del Señor hará su placer con Babilonia y con la simiente de los caldeos.
15 Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
Yo, incluso yo, he dado la palabra; He enviado por él; lo he hecho venir, y donde vaya prosperará.
16 Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
Acérquense a mí, y escuchen esto; Desde el principio no he hablado en secreto; Desde el momento de su existencia, estuve allí, y ahora el Señor Dios me ha enviado y su espíritu.
17 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
El Señor tu redentor, el Santo de Israel, dice: Yo soy el Señor, tu Dios, que te está enseñando para tu beneficio, guiándote por el camino por el que debes ir.
18 Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
Si tan solo hubieras escuchado mis órdenes, entonces tu paz habría sido como un río, y tu justicia como las olas Del Mar.
19 Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
Tu semilla habría sido como la arena, y tu descendencia como sus granos; tu nombre no sería destruido ni se borraría ante mí presencia.
20 Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
Salgan de Babilonia, huyan de los caldeos; con cantos de alegría, den la noticia, que la palabra salga hasta el fin de la tierra; digan: El Señor ha libertado a su siervo Jacob.
21 Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
No tenían necesidad de agua cuando los guiaba a través del desierto; hizo que el agua saliera de la roca para ellos; la roca se separó y las aguas salieron.
22 Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''
No hay paz, dice el Señor, para los que hacen el mal.