< Isaya 48 >

1 Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
ای قوم اسرائیل، ای کسانی که از نسل یهودا هستید، گوش کنید: شما به نام خداوند قسم می‌خورید و ادعا می‌کنید که خدای اسرائیل را می‌پرستید، اما این کار را از روی صداقت و راستی انجام نمی‌دهید.
2 Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
با وجود این، افتخار می‌کنید که در شهر مقدّس زندگی می‌کنید و بر خدای اسرائیل که نامش خداوند لشکرهای آسمان است توکل دارید.
3 ''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
خداوند می‌گوید: «آنچه را که می‌بایست رخ دهد، از مدتها پیش به شما اطلاع دادم؛ سپس به‌ناگاه آنها را به عمل آوردم.
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
می‌دانستم که دلهایتان همچون سنگ و سرهایتان مانند آهن سخت است.
5 Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
این بود که آنچه می‌خواستم برای شما انجام دهم از مدتها پیش به شما خبر دادم تا نگویید که بتهایتان آنها را بجا آورده‌اند.
6 Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
«پیشگویی‌های مرا شنیده‌اید و وقوع آنها را دیده‌اید، اما نمی‌خواهید اعتراف کنید که پیشگویی‌های من درست بوده است. اکنون چیزهای تازه‌ای می‌گویم که تا به حال از وجود آنها بی‌اطلاع بوده‌اید.
7 Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
و چیزهایی را به وجود می‌آورم که پیش از این نبوده است و دربارهٔ آنها چیزی نشنیده‌اید، تا دیگر نگویید:”این چیزها را می‌دانستیم!“
8 Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
«بله، چیزهای کاملاً تازه به شما می‌گویم، چیزهایی که هرگز نشنیده‌اید، چون می‌دانم اشخاص خیانتکاری هستید و از طفولیت همیشه یاغی بوده‌اید.
9 Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
با وجود این، به خاطر حرمت نامم، خشم خود را فرو برده، شما را از بین نخواهم برد.
10 Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
شما را تصفیۀ کردم، اما نه مانند نقره؛ شما را در کورۀ مصیبت تصفیه کردم.
11 Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
بله، به خاطر خودم شما را از بین نخواهم برد مبادا اقوام بت‌پرست بگویند که بتهایشان مرا مغلوب کردند. من به بتهای آنها اجازه نمی‌دهم در جلال من شریک شوند.
12 Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
«ای اسرائیل، ای قوم برگزیدهٔ من، گوش کنید! تنها من خدا هستم. من اول و آخر هستم.
13 Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
دستهای من بود که زمین را بنیاد نهاد و آسمانها را گسترانید. آنها گوش به فرمان من هستند.
14 Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
«همهٔ شما بیایید و بشنوید. هیچ‌کدام از خدایان شما قادر نیست پیشگویی کند که مردی را که من برگزیده‌ام حکومت بابِل را سرنگون خواهد کرد و آنچه اراده کرده‌ام بجا خواهد آورد.
15 Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
اما من این را پیشگویی می‌کنم. بله، من کوروش را خوانده‌ام و به او این مأموریت را داده‌ام و او را کامیاب خواهم ساخت.
16 Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
«به من نزدیک شوید و گوش دهید. من همیشه آشکارا گفته‌ام که در آینده چه رخ خواهد داد تا شما بتوانید آن را بفهمید.» (اکنون خداوند یهوه مرا با روح خود نزد شما فرستاده است.)
17 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
خداوند که نجا‌ت‌دهندۀ قوم اسرائیل و خدای قدوس ایشان است چنین می‌گوید: «ای اسرائیل، من یهوه، خدای تو هستم، که آنچه برای تو نیکوست، آن را به تو تعلیم می‌دهم و تو را به راههایی که باید بروی هدایت می‌کنم.
18 Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
«ای کاش به اوامر من گوش می‌دادید، آنگاه برکات مانند نهر برای شما جاری می‌شد و پیروزی مانند امواج دریا به شما می‌رسید.
19 Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
نسل شما مانند شنهای ساحل دریا بی‌شمار می‌شدند و من نمی‌گذاشتم ایشان هلاک شوند.»
20 Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
ای قوم اسرائیل، از بابِل بیرون بیایید! از اسارت آزاد شوید! با صدای بلند سرود بخوانید و این پیام را به گوش تمام مردم جهان برسانید: «خداوند قوم اسرائیل را که خدمتگزاران او هستند، آزاد ساخته است!»
21 Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
هنگامی که خداوند قوم خود را از بیابان خشک عبور داد ایشان تشنگی نکشیدند، زیرا او صخره را شکافت و از آن، آب جاری ساخت تا ایشان بنوشند.
22 Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''
خداوند می‌فرماید: «شریران از سلامتی برخوردار نخواهند شد.»

< Isaya 48 >