< Isaya 48 >

1 Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
ای خاندان یعقوب که به نام اسرائیل مسمی هستید و از آب یهودا صادرشده‌اید، و به اسم یهوه قسم می‌خورید و خدای اسرائیل را ذکر می‌نمایید، اما نه به صداقت وراستی، این را بشنوید.۱
2 Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
زیرا که خویشتن را ازشهر مقدس می‌خوانند و بر خدای اسرائیل که اسمش یهوه صبایوت است اعتماد می‌دارند.۲
3 ''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
چیزهای اول را از قدیم اخبار کردم و از دهان من صادر شده، آنها را اعلام نمودم بغته به عمل آوردم و واقع شد.۳
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
چونکه دانستم که تو سخت دل هستی و گردنت بند آهنین و پیشانی تو برنجین است.۴
5 Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
بنابراین تو را از قدیم مخبر ساختم و قبل از وقوع تو را اعلام نمودم. مبادا بگویی که بت من آنها را بجا آورده و بت تراشیده و صنم ریخته شده من آنها را امر فرموده است.۵
6 Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
چونکه همه این چیزها را شنیدی آنها را ملاحظه نما. پس آیاشما اعتراف نخواهید کرد، و از این زمان چیزهای تازه را به شما اعلام نمودم و چیزهای مخفی را که ندانسته بودید.۶
7 Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
در این زمان و نه در ایام قدیم آنها آفریده شد و قبل از امروز آنها را نشنیده بودی مبادا بگویی اینک این چیزها را می‌دانستم.۷
8 Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
البته نشنیده و هر آینه ندانسته و البته گوش توقبل از این باز نشده بود. زیرا می‌دانستم که بسیارخیانتکار هستی و از رحم (مادرت ) عاصی خوانده شدی.۸
9 Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
به‌خاطر اسم خود غضب خویش را به تاخیر خواهم‌انداخت و به‌خاطرجلال خویش بر تو شفقت خواهم کرد تا تو رامنقطع نسازم.۹
10 Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
اینک تو را قال گذاشتم اما نه مثل نقره و تو را در کوره مصیبت آزمودم.۱۰
11 Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
به خاطر ذات خود، به‌خاطر ذات خود این رامی کنم زیرا که اسم من چرا باید بی‌حرمت شود وجلال خویش را به دیگری نخواهم داد.۱۱
12 Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
‌ای یعقوب و‌ای دعوت شده من اسرائیل بشنو! من او هستم! من اول هستم و آخر هستم!۱۲
13 Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
به تحقیق دست من بنیاد زمین را نهاد و دست راست من آسمانها را گسترانید. وقتی که آنها رامی خوانم با هم برقرار می‌باشند.۱۳
14 Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
پس همگی شما جمع شده، بشنوید کیست از ایشان که اینهارا اخبار کرده باشد. خداوند او را دوست می‌دارد، پس مسرت خود را بر بابل بجا خواهد آورد وبازوی او بر کلدانیان فرود خواهد آمد.۱۴
15 Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
من تکلم نمودم و من او را خواندم و او را آوردم تا راه خود را کامران سازد.۱۵
16 Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
به من نزدیک شده، این رابشنوید. از ابتدا در خفا تکلم ننمودم و از زمانی که این واقع شد من در آنجا هستم و الان خداوندیهوه مرا و روح خود را فرستاده است.۱۶
17 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
خداوندکه ولی تو و قدوس اسرائیل است چنین می‌گوید: «من یهوه خدای تو هستم و تو را تعلیم می‌دهم تاسود ببری و تو را به راهی که باید بروی هدایت می‌نمایم.۱۷
18 Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
کاش که به اوامر من گوش می‌دادی، آنگاه سلامتی تو مثل نهر و عدالت تو مانند امواج دریا می‌بود.۱۸
19 Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
آنگاه ذریت تو مثل ریگ و ثمره صلب تو مانند ذرات آن می‌بود و نام او از حضورمن منقطع و هلاک نمی گردید.»۱۹
20 Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
از بابل بیرون شده، از میان کلدانیان بگریزید و این را به آواز ترنم اخبار و اعلام نماییدو آن را تا اقصای زمین شایع ساخته، بگویید که خداوند بنده خود یعقوب را فدیه داده است.۲۰
21 Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
وتشنه نخواهند شد اگر‌چه ایشان را در ویرانه هارهبری نماید، زیرا که آب از صخره برای ایشان جاری خواهد ساخت و صخره را خواهدشکافت تا آبها بجوشد.۲۱
22 Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''
و خداوند می‌گوید که برای شریران سلامتی نخواهد بود.۲۲

< Isaya 48 >