< Isaya 48 >

1 Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
Ecoutez ceci, maison de Jacob, vous qui êtes appelés du nom d’Israël, et êtes sortis des eaux de Juda, qui jurez au nom du Seigneur, qui vous souvenez du Dieu d’Israël, mais non dans la vérité et la justice.
2 Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
Car ils ont été appelés du nom de la cité sainte, et sur le Dieu d’Israël ils se sont appuyés; le Seigneur des armées est son nom.
3 ''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
J’ai annoncé dès lors les événements passés; c’est de ma bouche qu’ils sont sortis et je les ai fait entendre; je les ai accomplis tout d’un coup, et ils sont arrivés.
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
Car je savais que tu es dur, que ton cou est une chaîne de fer, et ton front d’airain.
5 Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
Je t’ai prédit dès lors ces choses; avant qu’elles vinssent je te les ai indiquées, de peur que tu ne dises: Ce sont mes idoles qui les ont faites, et mes images taillées au ciseau et jetées en fonte qui les ont ordonnées.
6 Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
Les choses que tu as entendues, vois-les toutes; mais vous, est-ce que vous les avez annoncées? Je t’en ai fait entendre dès lors de nouvelles; et il en est de réservées que tu ne connais pas;
7 Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
C’est maintenant qu’elles ont été créées, et non pas alors; avant un jour seulement, et tu ne les as pas entendues, de peur que tu ne dises: Voici que moi je les connaissais.
8 Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
Tu n’as entendu, ni connu, ton oreille même alors n’était pas ouverte; car je sais que prévariquant, tu prévariqueras, et je t’ai appelé transgresseur dès le sein de ta mère.
9 Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
À cause de mon nom, j’éloignerai ma fureur, et pour ma gloire je te mettrai un frein, pour que tu ne périsses pas,
10 Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
Je t’ai purifié par le feu, mais non comme l’argent: j’ai choisi pour toi le fourneau de la pauvreté.
11 Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
C’est à cause de moi, à cause de moi que je ferai que mon nom ne soit pas blasphémé, et je ne donnerai pas ma gloire à un autre.
12 Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
Ecoute-moi, Jacob, et toi, Israël, que j’appelle; moi qui suis, moi le premier, et moi le dernier.
13 Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
Ma main aussi a fondé la terre, et ma droite a étendu les cieux; moi, je les appellerai, et ils seront là tous ensemble.
14 Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
Rassemblez-vous tous et écoutez-moi: qui d’entre eux a annoncé ces choses? Le Seigneur l’a aimé, il fera sa volonté dans Babylone; et il sera son bras parmi les Chaldéens.
15 Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
C’est moi, c’est moi qui ai parlé, et je l’ai appelé; je l’ai amené, et sa voie est aplanie.
16 Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
Approchez-vous de moi, et écoutez ceci: dès le principe je n’ai pas parlé en secret; dans le temps même, avant l’événement, j’étais là; et maintenant le Seigneur et son esprit m’ont envoyé.
17 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
Voici ce que dit le Seigneur ton rédempteur, le saint d’Israël: Moi le Seigneur ton Dieu, je t’enseigne des choses utiles, je te dirige dans la voie par laquelle tu marches.
18 Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
Oh! si tu avais été attentif à mes commandements, ta paix aurait été comme un fleuve, et ta justice comme les flots de la mer;
19 Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
Ta postérité eût été comme le sable de ses rivages, et les rejetons de ton sein comme les petites pierres de ses bords; le nom de la race n’aurait pas péri, et il n’eût pas été effacé de devant ma face.
20 Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
Sortez de Babylone, fuyez de chez les Chaldéens, avec la voix de l’exultation annoncez cette nouvelle, faites-la entendre et portez-la jusqu’aux extrémités de la terre. Dites: Le Seigneur a racheté son serviteur Jacob.
21 Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
Ils n’ont pas eu soif dans le désert, lorsqu’il les ramenait; il fit sortir de l’eau d’une pierre pour eux, et il fendit la pierre et des eaux coulèrent.
22 Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''
Il n’y a point de paix pour les impies, dit le Seigneur.

< Isaya 48 >