< Isaya 47 >

1 Njoo chini na ukae kwenye mavumbi, binti bikira wa Babeli; kaa juu ya aridhi pasipo enzi, ewe binti wa Wakaldayo. Hautaitwa tena mpenda anasa na maisha ya anasa.
خداوند می‌گوید: «ای بابِل، از تخت خود به زیر بیا و بر خاک بنشین، زیرا دوران عظمت تو به سر آمده است. تو زمانی مانند یک شاهزادهٔ باکره، لطیف و نازنین بودی، اما اینک برده‌ای بیش نیستی.
2 Chukua jiwe la kusagia na usage unga; ondoa pazia lako, ondoa mavazi yako, ondoa viatu miguuni, na vuka mkondo wa maji.
دستاس را بگیر و گندم را آرد کن. روبندت را بردار، دامنت را بالا بگیر تا از نهرها عبور کنی.
3 Uchi wako utafunuliwa, ndio, na aibu yako itaonekana; Nitachukua kizazi na sitamuacha mtu,
تو عریان و رسوا خواهی شد. من از تو انتقام خواهم گرفت و به تو رحم نخواهم کرد.»
4 Mkombozi, Yahwe wa majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
بله، خدای قدوس اسرائیل که نامش خداوند لشکرهای آسمان است ما را از دست بابِل نجات خواهد داد!
5 Kaa kimya na nenda katika giza, ewe binti wa Wakaldoyo; maana hautaitwa tena malikia wa falme.
خداوند به بابِل می‌گوید: «ای بابِل، در تاریکی بنشین و خاموش باش. دیگر تو را”ملکهٔ ممالک“نخواهند خواند.
6 Nilikuwa na hasira na watu wangu; Nimeunajisi urithi wangu na kuwakabidhi nyie katika mkono wenu, lakini hamkuomyesha huruma; umeweka nira kubwa kwa wazee.
ای بابِل، من بر قوم خود اسرائیل خشمگین بودم و برای اینکه آنان را تنبیه کرده باشم، اجازه دادم به چنگ تو بیفتند، اما تو بر آنان رحم نکردی و حتی پیران را به انجام کارهای سخت واداشتی.
7 Umesema, ''Nitaongoza daima kama malikia huru.'' Haukuvichukua vitu hivi katika moyo, wala hakutafakari jinsi hivi vitu vitakavyojeuka.
تو گمان کردی همیشه ملکه خواهی بود؛ و هرگز به عاقبت کار خود نیندیشیدی.
8 Hivyo sasa sikiliza hili, Ewe upendae anasa na kukaa salama; ewe usemae katika moyo wako, 'Ninaishi, na hakuna mwingine kama mimi; Sitakaa kama mjane wala sitazoea kufiwa na watoto.
«ای مملکت خوشگذران که فکر می‌کنی در امن و امان هستی، گوش کن. تو خود را مانند خدا، بی‌نظیر می‌دانی. می‌گویی:”من هرگز بیوه نخواهم شد. هیچگاه فرزندانم را از دست نخواهم داد.“
9 ''Lakini vitu hivi vitakuja kwako siku moja katika kipindi cha siku moja; kwa nguvu za kutosha yatakuja kwako, japo uchawi wako na dua zako na hirizi.
اما با وجود تمام جادوگری‌هایت، در یک لحظه و در یک روز این دو بلا بر سرت خواهند آمد: هم بیوه می‌شوی و هم بی‌اولاد.
10 Umeweka imani katika mapungufu yako; na kusema, ''Hakuna anayeniona mimi''; hekima na maarifa yako yanakupoteza, lakini unasema katika moyo wako, ''Nipo na hakuna hata mmoja kama mimi.''
«تو با خیال راحت به شرارت خود ادامه دادی و گمان کردی هیچ‌کس تو را نمی‌بیند. علم و دانش تو باعث شد منحرف شوی و به خود بگویی:”من هستم، و غیر از من کسی نیست.“
11 Maafa yatakuzidi wewe; hautaweza kuyaondoa kwa dua zako mwenyewe. Uharibifu utakuwa juu yako; hautaweza kuukata. Maafa yatakuangamiza ghafla, kabla haujajua kitu.
بنابراین، بلا بر تو خواهم فرستاد و تو نخواهی توانست با سحر و جادویت آن را دفع کنی. ویرانی غیرمنتظره‌ای که فکرش را نکرده‌ای بر تو خواهد آمد.
12 Endeleni kutoa uganga wako na wachawi wengi ambao mlioaminishwa kusoma toka utotoni mwao; labda utafanikiwa, labda utayashinda maafa.
«ارواح ناپاک را که طی این سالها پرستش می‌کردی احضار کن. آنها را صدا کن تا بیایند و به تو کمک کنند تا شاید باز بتوانی در دل دشمنانت ترس و وحشت ایجاد کنی!
13 Umejaribu sana kwa kushauriwa sana; waache hao watu wasimame na kukuokoa wewe- wale wanaoangalia mbingu na wanoangalia nyota, wale wanotangaza mwenzi mpya- waache wawaokoe nyie kutoka kwenye yaliyowapata.
تو مشاوران زیادی داری طالع‌بینان و ستاره‌شناسانی که می‌کوشند تو را از رویدادهای آینده آگاه سازند. آنها را فرا خوان تا به تو کمک کنند.
14 Tazama, watakuwa kama mabua. Moto utayachoma juu. Hayataweza kujisaidia yenyewe kutoka kwenye mkono wa moto. Hakuna makaa kuwapa joto wao na hakuna moto uliowekwa pembeni kwa ajili yao!
اما بدان که آنان همچون کاه در آتش خواهند سوخت. آنان قادر نخواهند بود حتی خود را نجات دهند، زیرا آن آتش، آتشی نخواهد بود که آنان بخواهند خود را با آن گرم کنند، بلکه آتشی که همه چیز را می‌سوزاند!
15 Hivi ndio wamekuwa kwako, wale unaofanya nao kazi, na unauza na kununua na wao toka ulipo kuwa mdogo, na wale wanaendelea kufanya mambo yao ya kijinga; na unapolia kuhitaji msaada, hakuna hata mmjoa ambaye atakukomboa wewe.''
تنها سودی که از این مشاوران دیرینه عایدت می‌شود همین است! همۀ آنان به راه خود خواهند رفت و تو را تنها خواهند گذاشت، و کسی نخواهد ماند تا تو را نجات دهد.»

< Isaya 47 >