< Isaya 47 >

1 Njoo chini na ukae kwenye mavumbi, binti bikira wa Babeli; kaa juu ya aridhi pasipo enzi, ewe binti wa Wakaldayo. Hautaitwa tena mpenda anasa na maisha ya anasa.
ای باکره دختر بابل فرود شده، بر خاک بنشین و‌ای دختر کلدانیان بر زمین بی‌کرسی بنشین زیرا تو را دیگر نازنین و لطیف نخواهند خواهند.۱
2 Chukua jiwe la kusagia na usage unga; ondoa pazia lako, ondoa mavazi yako, ondoa viatu miguuni, na vuka mkondo wa maji.
دستاس را گرفته، آرد را خردکن. نقاب را برداشته، دامنت را بر کش و ساقها رابرهنه کرده، از نهرها عبور کن.۲
3 Uchi wako utafunuliwa, ndio, na aibu yako itaonekana; Nitachukua kizazi na sitamuacha mtu,
عورت تو کشف شده، رسوایی تو ظاهر خواهد شد. من انتقام کشیده، بر احدی شفقت نخواهم نمود.۳
4 Mkombozi, Yahwe wa majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
و امانجات‌دهنده ما اسم او یهوه صبایوت و قدوس اسرائیل می‌باشد.۴
5 Kaa kimya na nenda katika giza, ewe binti wa Wakaldoyo; maana hautaitwa tena malikia wa falme.
‌ای دختر کلدانیان خاموش بنشین و به ظلمت داخل شو زیرا که دیگر تو راملکه ممالک نخواهند خواند.۵
6 Nilikuwa na hasira na watu wangu; Nimeunajisi urithi wangu na kuwakabidhi nyie katika mkono wenu, lakini hamkuomyesha huruma; umeweka nira kubwa kwa wazee.
بر قوم خود خشم نموده و میراث خویش را بی‌حرمت کرده، ایشان را به‌دست تو تسلیم نمودم. بر ایشان رحمت نکرده، یوغ خود را بر پیران بسیار سنگین ساختی.۶
7 Umesema, ''Nitaongoza daima kama malikia huru.'' Haukuvichukua vitu hivi katika moyo, wala hakutafakari jinsi hivi vitu vitakavyojeuka.
و گفتی تا به ابد ملکه خواهم بود. و این چیزها رادر دل خود جا ندادی و عاقبت آنها را به یادنیاوردی.۷
8 Hivyo sasa sikiliza hili, Ewe upendae anasa na kukaa salama; ewe usemae katika moyo wako, 'Ninaishi, na hakuna mwingine kama mimi; Sitakaa kama mjane wala sitazoea kufiwa na watoto.
پس الان‌ای که در عشرت بسر می‌بری و دراطمینان ساکن هستی این را بشنو. ای که در دل خود می‌گویی من هستم و غیر از من دیگری نیست و بیوه نخواهم شد و بی‌اولادی را نخواهم دانست.۸
9 ''Lakini vitu hivi vitakuja kwako siku moja katika kipindi cha siku moja; kwa nguvu za kutosha yatakuja kwako, japo uchawi wako na dua zako na hirizi.
پس این دو چیز یعنی بی‌اولادی وبیوگی بغته در یکروز به تو عارض خواهد شد و باوجود کثرت سحر تو و افراط افسونگری زیاد توآنها بشدت بر تو استیلا خواهد یافت.۹
10 Umeweka imani katika mapungufu yako; na kusema, ''Hakuna anayeniona mimi''; hekima na maarifa yako yanakupoteza, lakini unasema katika moyo wako, ''Nipo na hakuna hata mmoja kama mimi.''
زیرا که بر شرارت خود اعتماد نموده، گفتی کسی نیست که مرا بیند. و حکمت و علم تو، تو را گمراه ساخت و در دل خود گفتی: من هستم و غیر از من دیگری نیست.۱۰
11 Maafa yatakuzidi wewe; hautaweza kuyaondoa kwa dua zako mwenyewe. Uharibifu utakuwa juu yako; hautaweza kuukata. Maafa yatakuangamiza ghafla, kabla haujajua kitu.
پس بلایی که افسون آن رانخواهی دانست بر تو عارض خواهد شد ومصیبتی که به دفع آن قادر نخواهی شد تو را فروخواهد گرفت و هلاکتی که ندانسته‌ای ناگهان برتو استیلا خواهد یافت.۱۱
12 Endeleni kutoa uganga wako na wachawi wengi ambao mlioaminishwa kusoma toka utotoni mwao; labda utafanikiwa, labda utayashinda maafa.
پس در افسونگری خود و کثرت سحر خویش که در آنها ازطفولیت مشقت کشیده‌ای قائم باش شاید که منفعت توانی برد و شاید که غالب توانی شد.۱۲
13 Umejaribu sana kwa kushauriwa sana; waache hao watu wasimame na kukuokoa wewe- wale wanaoangalia mbingu na wanoangalia nyota, wale wanotangaza mwenzi mpya- waache wawaokoe nyie kutoka kwenye yaliyowapata.
از فراوانی مشورتهایت خسته شده‌ای پس تقسیم کنندگان افلاک و رصد بندان کواکب وآنانی که در غره ماهها اخبار می‌دهند بایستند وتو را از آنچه بر تو واقع شدنی است نجات دهند.۱۳
14 Tazama, watakuwa kama mabua. Moto utayachoma juu. Hayataweza kujisaidia yenyewe kutoka kwenye mkono wa moto. Hakuna makaa kuwapa joto wao na hakuna moto uliowekwa pembeni kwa ajili yao!
اینک مثل کاهبن شده، آتش ایشان را خواهدسوزانید که خویشتن را از سورت زبانه آن نخواهند رهانید و آن اخگری که خود را نزد آن گرم سازند و آتشی که در برابرش بنشینندنخواهد بود.۱۴
15 Hivi ndio wamekuwa kwako, wale unaofanya nao kazi, na unauza na kununua na wao toka ulipo kuwa mdogo, na wale wanaendelea kufanya mambo yao ya kijinga; na unapolia kuhitaji msaada, hakuna hata mmjoa ambaye atakukomboa wewe.''
آنانی که از ایشان مشقت کشیدی برای تو چنین خواهند شد و آنانی که از طفولیت با تو تجارت می‌کردند هر کس بجای خود آواره خواهد گردید و کسی‌که تو را رهایی دهدنخواهد بود.۱۵

< Isaya 47 >