< Isaya 46 >
1 Beli huaguka chini, Nebo husujudu; miungu yao imebebwa na wanyama na mzigo wa mnyama. Sanamu hizi mlizobeba ni mzigo mzito kwa wanyama kuchoka.
to bow Bel to stoop Nebo to be idol their to/for living thing and to/for animal burden your to lift burden to/for faint
2 Kwa pamoja wanashuka chini; hawawezi kuziokoa sanamu zao, na wao wenyewe wameenda uhamishoni.
to stoop to bow together not be able to escape burden and soul: myself their in/on/with captivity to go: went
3 Nisikilizeni mimi, nyumba ya Yakobo, wote mliobaki kwenye nyumba ya Israeli mliochukuliwa na mimi kutoka kabla amjazaliwa, mlichukuliwa mkiwa tumboni.
to hear: hear to(wards) me house: household Jacob and all remnant house: household Israel [the] to lift from belly: womb [the] to lift: bear from womb
4 Hata kwa njie wazee Mimi ndiye, mpaka mmeshapata mvi nitawachukua. Nimewaumba ninyi na nitawabeba ninyi; Nitwachukua nyie na nitawakomboa nyie.
and till old age I he/she/it and till greyheaded I to bear I to make and I to lift: bear and I to bear and to escape
5 Je utanifananisha mimi na nani? na mimi nimefanana na nani, ili utulinganishe?
to/for who? to resemble me and be like and to liken me and to resemble
6 Watu humwaga dhahabu kutoka kwenye mabegi yao na uzito wa fedha kwenye uzani. Humuajiri mfua dhahabu, na hutengeneza kuwa dhahabu; na huinama chini na kuzisuju.
[the] to lavish/despise gold from purse and silver: money in/on/with branch: scales to weigh to hire to refine and to make him god to prostrate also to bow
7 Wanazinyanyua juu ya mabega yao na kuzibeba; wanaziweka katika sehemu yake, na itasimama katika eneo lake na alitasogea kutoka pale, hulilia, lakini haiwezi kujibu wala kumuokoa yeyote kwenye matatizo.
to lift: raise him upon shoulder to bear him and to rest him underneath: stand him and to stand: stand from place his not to remove also to cry to(wards) him and not to answer from distress his not to save him
8 Tafakari kuhusu hivi vitu; katu usivipuuzie, enyi waasi!
to remember this and be manly to return: recall to transgress upon heart
9 Tafakari kuhusu vitu vya awali, nyakati zile zilizopita, Maana mimi ni Mungu, na hakuna mwingine, Mimi ni Mungu na hakuna kama mimi.
to remember first: previous from forever: antiquity for I God and nothing still God and end like me
10 Mimi ninatangaza mwisho kutoka mwanzo, na kabla ya kitu ambacho hakijatokea; Ninasema, ''Mpango wangu utatokea na nitafanya kama ninavyotamani.''
to tell from first: beginning end and from front: old which not to make: do to say counsel my to arise: establish and all pleasure my to make: do
11 Nitamuita ndege wa mawindo kutoka mashariki, Mtu ambaye ni chaguo langu kutoka nchi ya mbali; Ndio nimesema; na pia nitayatimiza haya, nimekusudia, na pia nitafanya hivyo.
to call: call to from east bird of prey from land: country/planet distance man (counsel my *Q(K)*) also to speak: speak also to come (in): come her to form: plan also to make: do her
12 Nisikilize mimi, enyi watu makaidi, ambao mko mbali na kutenda mema.
to hear: hear to(wards) me mighty: strong heart [the] distant from righteousness
13 Ninaileta haki yangu karibu; na wala sio mbali, na wokovu wangu hausubiri; na nitatoa wokovu wangu kwa Sayuni na uzuri wangu kwa Israeli.
to present: come righteousness my not to remove and deliverance: salvation my not to delay and to give: put in/on/with Zion deliverance: salvation to/for Israel beauty my