< Isaya 45 >
1 Yahwe asema hivi kwa mapakwa mafuta, kwa Koreshi, niliyemshika kwa mkono wa kuume, illi niweze kuangamiza mataifa mbele yake, kuwalinda wafalme, kufunguo milango mbele yao, ili lango liwe wazi:
我-耶和華所膏的塞魯士; 我攙扶他的右手, 使列國降伏在他面前。 我也要放鬆列王的腰帶, 使城門在他面前敞開, 不得關閉。 我對他如此說:
2 ''Nitakwenda mbele yako na kusawazisha milima; nitavunjavunja vipandevivande milango ya shaba na kukuta vipandevipande nguzo za chuma,
我必在你前面行, 修平崎嶇之地。 我必打破銅門, 砍斷鐵閂。
3 Nitakupa hazina iliyo gizani na utajiri uliofichwa mbali, ili ujue kwamba ni mimi Yahwe, niliyekuita kwa jina lako, Mimi, Mungu wa Israeli.
我要將暗中的寶物和隱密的財寶賜給你, 使你知道提名召你的, 就是我-耶和華、以色列的上帝。
4 Kwa niaba ya Jakobo mtumishi wangu, na Israeli chaguo langu, Nimekuita wewe kwa jina lako: nimekupa heshima iliyotukuka, jabo hakunijua mimi.
因我僕人雅各, 我所揀選以色列的緣故, 我就提名召你; 你雖不認識我, 我也加給你名號。
5 Mimi ni Yahwe na hapana mwingine; hakuna Mungu ila mimi. Nitakuimarisha katika vita, japo hamkunifamu mimi;
我是耶和華,在我以外並沒有別神; 除了我以外再沒有上帝。 你雖不認識我, 我必給你束腰。
6 kwamba watu wajue kutoka mapambazuko ya jua, na kutoka magharibi, kwamba hakuna mungu mwngine ila mimi: Mimi ni Yahwe, na hakuna mwingine.
從日出之地到日落之處 使人都知道除了我以外,沒有別神。 我是耶和華; 在我以外並沒有別神。
7 Nimefanya mwanga na nimeumba giza; Ninanateta amani na ninaumba majanga; Mimi Yahwe, nifanyae haya yote.
我造光,又造暗; 我施平安,又降災禍; 造作這一切的是我-耶和華。
8 Enyi mbingu, nyesha kutoka juu! Acha anga lishushe chini haki, na acha nchi inyonje haki, ili wokovu uweze kuchipukia juu, na haki kutawanyika kwa pamoja. Mimi Yahwe nimewumba wote kwa pamoja.
諸天哪,自上而滴, 穹蒼降下公義; 地面開裂,產出救恩, 使公義一同發生; 這都是我-耶和華所造的。
9 Ole kwa yeyote anayesema kwa yule aliyemfanya yeye, kwake yeye ni kama chungu cha udongo miongoni mwa vyingu vya udongo katika aridhi! Je udongo umwambia mfinyanzi, 'Unatengeneza nini? au ' Kazi yako haina kitu cha kushika?
禍哉,那與造他的主爭論的! 他不過是地上瓦片中的一塊瓦片。 泥土豈可對摶弄它的說:你做甚麼呢? 所做的物豈可說:你沒有手呢?
10 Ole wake asemae kwa baba, 'Unanizaa nini? au kwa mwanamke, 'unanizaa mimi nin?'
禍哉,那對父親說: 你生的是甚麼呢? 或對母親說: 你產的是甚麼呢?
11 Yahwe asema hivi, yeye aliye Mtakatifu wa Israeli, muumbaji wake: 'Kwa nini unauliza swali kuhusu nini nitakacho kifanya kwa watoto wangu? Je unaweza kuniambia kuuhusiana na kazi ya mikono yangu?
耶和華-以色列的聖者, 就是造就以色列的如此說: 將來的事,你們可以問我; 至於我的眾子,並我手的工作, 你們可以求我命定。
12 Nimeifanya nchi na kuumba mtu juu yake. Ni mkono yangu mimi nilioinyoosha ju ya mbingu, na nikazimuru nyota zote kutokea.
我造地,又造人在地上。 我親手鋪張諸天; 天上萬象也是我所命定的。
13 Nimemuinua Keroshi juu katika haki yangu, na nitalainisha njia zake zote. Ataujenga mji wangu kwa upya; atawachia walioko uhamishoni kurudi nyumbani kwao, na so kwa pesa wala kwa rushwa,'' asema Yahwe wa majeshi.
我憑公義興起塞魯士, 又要修直他一切道路。 他必建造我的城, 釋放我被擄的民; 不是為工價,也不是為賞賜。 這是萬軍之耶和華說的。
14 Yahwe asema hivi, mapato ya Misri na bidhaa ya Ethiopia pamoja na Waseba jamii ya watu werefu, tatawaleta kwenu. Watakuwa wa kwenu. Watafuata baada yenu, watakuja na minyororo. Watakuinamia chini na kukuomba huku wakisema, 'Hakika Mungu yuko pamoja na wewe na hakuna mwingine ila yeye.''
耶和華如此說: 埃及勞碌得來的和古實的貨物必歸你; 身量高大的西巴人必投降你,也要屬你。 他們必帶着鎖鍊過來隨從你, 又向你下拜,祈求你說: 上帝真在你們中間,此外再沒有別神; 再沒有別的上帝。
15 Hakika mna Mungu aliyejifisha ndani yenu, Mungu wa Israeli, Mkombozi.
救主-以色列的上帝啊, 你實在是自隱的上帝。
16 Wote wataabishwa na kuzaraliwa kwa pamoja; wale wachongao sanamu watatembea katika udhalilishaji.
凡製造偶像的都必抱愧蒙羞, 都要一同歸於慚愧。
17 Lakini Israeli itakombolewa na Yahwe kawa wokovu wa milele; na wala hautaabika tena au kudhalilishwa.
惟有以色列必蒙耶和華的拯救, 得永遠的救恩。 你們必不蒙羞,也不抱愧, 直到永世無盡。
18 Yahwe asem hivi, nani aliyeziumba mbingu, Mungu wa kweli ndiye aliyeiumbwa nchi na kuifaya, ndiye aliyeianzisha nchi. Aliiumba yeye, sio kama taka, aliimba ili pawe na wenyeji: ''mimi ni Yahwe, na hakuna mwingine.
創造諸天的耶和華, 製造成全大地的上帝, 他創造堅定大地, 並非使地荒涼, 是要給人居住。 他如此說: 我是耶和華,再沒有別神。
19 Sijaongea katika siri, katika maeneo ya siri; Sijauambia ukoo wa Daudi, 'Nitafute bure! Mimi ni Yahwe ninayezungumza ukweli; Ninatangaza vitu vilivyo vya kweli.
我沒有在隱密黑暗之地說話; 我沒有對雅各的後裔說: 你們尋求我是徒然的。 我-耶和華所講的是公義, 所說的是正直。
20 Jikusanjeni wenyewe na mje! kusanyikeni kwa pamoja, enyi wakimbizi kutoka miongoni mwa mataifa! Hawana maarifa, wale wanaobeba sanamu ya kuchonga na kuiomba miungu asiyewasidia.
你們從列國逃脫的人, 要一同聚集前來。 那些抬着雕刻木偶、 禱告不能救人之神的, 毫無知識。
21 Sogeeni karibu na mnitangazie mimi, leteni ushahidi! waache walete mashauri kwa pamoja. Ni nani aliyewaonyesha haya kutoka zamani? Ni nani aliyetangaza? Je sikuwa mimi, Yahwe? na hakuna Mungu mwingine ila mimi, Mungu mwenye haki; na mkombozi; hakuna mwingine zaidi yake.
你們要述說陳明你們的理, 讓他們彼此商議。 誰從古時指明? 誰從上古述說? 不是我-耶和華嗎? 除了我以外,再沒有上帝; 我是公義的上帝,又是救主; 除了我以外,再沒有別神。
22 Nijeukieni mimi, na mkaokolewe, miisho yote ya nchi; Maana mimi ni Mungu, na hakuna mwingine. Mimi mwenyewe ninaapa, ninaongea katika haki yangu, na sitarudi nyuma:
地極的人都當仰望我, 就必得救; 因為我是上帝,再沒有別神。
23 'kwangu kila goti litapigwa, na kila ulimi utakiri.
我指着自己起誓, 我口所出的話是憑公義,並不反回: 萬膝必向我跪拜; 萬口必憑我起誓。
24 Wataniambia mimi, Ni katika Yahwe peke yake kuna wokovu na nguvu.'' wataaibika wale wote wenye hasira na Mungu.
人論我說, 公義、能力,惟獨在乎耶和華; 人都必歸向他。 凡向他發怒的必至蒙羞。
25 Katika Yahwe makabila yote ya Israeli yataalalishwa; watachukua kiburi katika yeye.
以色列的後裔都必因耶和華得稱為義, 並要誇耀。