< Isaya 43 >

1 Lakini sasa haya ndio Yahwe asemayo, yeye aliyekuumba ewe, Yakobo, na yeye aliyekuumba ewe, Israeli: ''Usiogope, kwa maana nimekukomboa wewe; nmeikuita kwa jina lako, wewe ni wangu.
Israel, beginilah kata TUHAN, "Akulah yang menjadikan dan membentuk engkau, jangan takut, engkau pasti Kuselamatkan! Aku telah memanggil engkau dengan namamu, engkau adalah milik-Ku.
2 Utakapopita katika maji, Nitakuwa pamoja na wewe; na katika mito, hayatakuzuru wewe. Utakapotembea katika moto hautaungua, na moto hautakuharibu wewe.
Bila engkau mengarungi air, Aku akan menyertai engkau, engkau tak akan tenggelam dalam kesukaran-kesukaranmu. Bila melalui api, engkau tak akan hangus, percobaan-percobaan berat tak akan mencelakakan engkau.
3 Maana mimi Yahwe Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mkombozi wenu. Nimewapa Misri kama fidia yenu, Ethiopia na Seba watabadilishana kwako.
Sebab Akulah TUHAN, Allahmu, Allah kudus Israel, Penyelamatmu. Mesir Kuberikan sebagai tebusanmu, Sudan dan Syeba sebagai gantimu.
4 Kwa maana ulikuwa wa thamani na maalumu katika macho yangu, Ninakupenda; kwa sababu hiyo Nitatoa watu kwa ajili yako, na watu wengine kwa ajili ya maisha yako.
Engkau berharga di mata-Ku, Aku menghargai dan mengasihi engkau; maka Kuberikan manusia sebagai gantimu, bangsa-bangsa sebagai ganti nyawamu.
5 Usiogope, maana Mimi niko pamoja na wewe; Nitawarudisha watoto wako kutoka mashariki, na kuwakusanya nyie kutoka magharibi.
Jangan takut, sebab Aku melindungi engkau. Dari barat dan dari timur Kusuruh anak cucumu datang berkumpul.
6 Nitasema na kaskazini, 'Wakabidhini wao; na kwa kusini, Usiangalie ya nyuma; Leteni vijana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka vijiji vya mikoani katika nchi,
Kuperintahkan kepada utara dan selatan, supaya mereka segera dilepaskan. Biar anak-anakmu lelaki kembali dari jauh, dan anak-anakmu perempuan pulang dari ujung-ujung bumi.
7 yeyote aitwe kw jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu mwenyewe, Niliyemuumba, ndio, Mimi niliyemfanya.
Sebab mereka semua telah dipanggil dengan nama-Ku, mereka Kuciptakan untuk mengagungkan Aku."
8 Waleteni nje watu ambao ni vipofu, hata kama wana macho, na viziwi, hata kama wana masikio.
Allah berkata, "Suruhlah tampil ke depan bangsa-Ku yang buta, sekalipun mempunyai mata; yang tuli, sekalipun mempunyai telinga.
9 Mataifa yote yatakusanyika kwa pamoja na watu watakusanyika. Ni nani miongoni mwenu atakaye tamka na kutangaza kutumia mambo ya mwanzo? Waache walete mashahidi kuwashuhudia wao kama wako sahihi, waache wasikilize na kuthibitisha, 'kama ni kweli'.
Suruhlah semua bangsa berkumpul dan semua suku berhimpun. Siapakah di antara dewa-dewa mereka telah memberitahukan apa yang terjadi sekarang? Siapa di antaranya dapat meramalkan masa depan? Biarlah saksi-saksi mereka tampil, dan membuktikan bahwa mereka benar, supaya semua yang mendengar mereka berkata, bahwa memang demikian!
10 Ninyi ni mashahidi wangu, ametangaza Yahwe, ''na watumishi wangu niliowachagua, ili uweze kujua na kuniamini mimi, na kuelewa kwamba mimi ndiye. Kabla yangu hapana mungu mwingine aliyeumbwa, na wala hatatoke baada yangu.
Hai umat-Ku, kamulah saksi-saksi-Ku, kamu Kupilih menjadi hamba-hamba-Ku, supaya mengenal Aku dan percaya kepada-Ku, dan mengerti bahwa Akulah Allah. Aku Allah Yang Mahaesa, tak ada lainnya sebelum dan sesudah Aku.
11 Mimi, Mimi Yahwe, na hakuna Mkombozi zaidi yangu.
Aku sendirilah TUHAN, selain Aku tak ada yang menyelamatkan.
12 Nimetangaza, nimeokoa, na kutangaza, na hakuna Mungu mwingine miongoni mwenu, Ninyi ni mashahidi wangu asema Yahwe, ''Mimi ni Mungu.
Aku telah memberitahukannya kepadamu, Akulah yang menyelamatkan kamu, dan bukan ilah asing yang ada di antaramu; kamulah yang menjadi saksi-saksi-Ku. Dan Aku, Aku ini Allah,
13 Kuanzia leo na kuendelea mimi ndiye, na hakuna hata mmoja atakayewakomboa kwenye mkono wangu. Nitafanya, na nani awezae kunizuia?''
untuk selamanya Aku tetap Allah. Tak ada yang dapat luput dari kuasa-Ku, atau menghalangi rencana-Ku."
14 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, yeye Mtakatifu wa Israeli: ''Kwa niaba yenu nimemtuma mjumbe kwenda Babeli na kuwaongoza wao wote chini kama watuhumiwa, kubadilisha kelele za furaha za watu wa Babeli' kuwa wimbo wa maombolezo.
TUHAN Penyelamatmu, Yang Kudus Israel, berkata, "Demi kamu, Aku mengirim tentara ke Babel, dan Kudobrak palang-palang pintu penjara; sorak-sorai orang Kasdim Kuubah menjadi ratapan.
15 Mimi ni Yahwe, niliye Mtakatifu, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wenu.
Akulah TUHAN, Allahmu yang kudus, Rajamu, yang menciptakan engkau, hai Israel!"
16 Yahwe asema hivi, Ni nani aliyefungua njia katika bahari, na njia katika maji yenye nguvu,
TUHAN telah membuat sebuah jalan melalui laut, melalui air yang bergelora.
17 ni nani anayeongoza gari na farasi, majeshi na jeshi kuu. Walianguka chini kwa pamoja; hawakunyanyuka tena; wamezimwa, kama utambi unaoungua.
Ia menyuruh tentara dan perwira-perwiranya berperang, dan mereka maju dengan kereta berkuda. Tetapi mereka jatuh, tak dapat bangkit lagi, mereka mati seperti sumbu yang padam.
18 Msifikirie hayo mambo yaliyopita, wala kuyafikiria mambo ya zamani.
TUHAN berkata, "Tak ada gunanya mengingat masa lalu, percuma mengenang yang sudah-sudah.
19 Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangani na na mikondo ya maji katika jangwa
Perhatikanlah, Aku membuat sesuatu yang baru; sekarang sudah mulai, tidakkah kaulihat? Aku akan membuat jalan di padang gurun, dan sungai-sungai di padang belantara.
20 Wanyama pori wa shambani wataniheshimu mimi, Mbweha na mbuni, kwa sababu ninatoa maji jangwani, na mito jangwani, ili watu wangu niliowachuga wapate kunjwa,
Binatang liar akan mengagungkan Aku; serigala dan burung unta akan memuji Aku sebab Aku mengalirkan air di padang gurun, dan sungai-sungai di padang belantara untuk memberi minum kepada umat pilihan-Ku.
21 Watu hawa niliowaumba mwenyewe, kwamba wahesabu tena sifa zangu.
Merekalah bangsa yang Kubentuk bagi diri-Ku, agar dapat mewartakan pujian bagi-Ku."
22 Lakini hamjanita mimi, Yakobo; umechoka na mimi, Israeli.
TUHAN berkata, "Tetapi engkau Israel, tidak menyembah Aku, dan tidak lagi berbakti kepada-Ku.
23 Haujaniletea hata kondoo wako kama sadaka ya kuteketeza; na wala haujaniheshimu mimi kwa sadaka yako Sijakutumisha wewe kwa sadaka ya mazao, wala sijawachosha kwa sadaka yenu ya ubani.
Engkau tidak membawa domba untuk kurban bakaranmu, tidak menghormati Aku dengan persembahanmu. Padahal Aku tidak membebankan engkau dengan kurban, atau menyusahkan engkau dengan menuntut kemenyan.
24 Hamkuninunulia mimi manukato mazuri kwa fedha, hakumwagia mimi mafuta ya sadaka zenu; Lakini mnanichosha mimi na dhambi zenu na mnanichosha mimi kwa matendo yenu mabaya.
Engkau tidak membeli dupa harum untuk-Ku, tidak memuaskan Aku dengan lemak kurban sembelihanmu. Sebaliknya engkau membebani Aku dengan dosa-dosamu, menyusahkan Aku dengan kesalahan-kesalahanmu.
25 Mimi, ndio, Mimi, ndiye niliyafaye maovu yenu kwa niaba yangu mmi mwenyewe; na Sitawaita na kuwakumbusha dhambi zenu tena.
Namun Aku Allah yang menghapus dosamu, Aku mengampuni engkau karena begitulah sifat-Ku; Aku tidak mengingat-ingat dosamu.
26 Nikumbusheni mimi kilichotokea. Njooni tusemezane pamoja; leta hoja zako, ili kusudi uthibitishe kuwa hauna hatia.
Ingatkanlah Aku, mari kita ke pengadilan, adukan perkaramu supaya nyata bahwa engkau benar.
27 Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, na viongozi wenu walitenda dhambi dhidi yangu.
Nenek moyangmu yang pertama telah berdosa, para pemimpinmu telah memberontak terhadap Aku,
28 Hivyo basi Nitawatia unajisi viongozi watakatifu; Nitamkabidhi Yakobo kuwaharibu kabisa, na Israeli kulaani udhalilishaji.
imam-imammu telah mencemarkan Rumah-Ku. Maka Israel Kuserahkan untuk dihina, keturunan Yakub Kubiarkan ditumpas."

< Isaya 43 >