< Isaya 43 >

1 Lakini sasa haya ndio Yahwe asemayo, yeye aliyekuumba ewe, Yakobo, na yeye aliyekuumba ewe, Israeli: ''Usiogope, kwa maana nimekukomboa wewe; nmeikuita kwa jina lako, wewe ni wangu.
and now thus to say LORD to create you Jacob and to form: formed you Israel not to fear for to redeem: redeem you to call: call to in/on/with name your to/for me you(m. s.)
2 Utakapopita katika maji, Nitakuwa pamoja na wewe; na katika mito, hayatakuzuru wewe. Utakapotembea katika moto hautaungua, na moto hautakuharibu wewe.
for to pass in/on/with water with you I and in/on/with river not to overflow you for to go: walk in/at/by fire not to burn and flame not to burn: burn in/on/with you
3 Maana mimi Yahwe Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mkombozi wenu. Nimewapa Misri kama fidia yenu, Ethiopia na Seba watabadilishana kwako.
for I LORD God your holy Israel to save you to give: give ransom your Egypt Cush and Seba underneath: instead you
4 Kwa maana ulikuwa wa thamani na maalumu katika macho yangu, Ninakupenda; kwa sababu hiyo Nitatoa watu kwa ajili yako, na watu wengine kwa ajili ya maisha yako.
from whence be precious in/on/with eye my to honor: honour and I to love: lover you and to give: give man underneath: instead you and people underneath: instead soul: life your
5 Usiogope, maana Mimi niko pamoja na wewe; Nitawarudisha watoto wako kutoka mashariki, na kuwakusanya nyie kutoka magharibi.
not to fear for with you I from east to come (in): bring seed: children your and from west to gather you
6 Nitasema na kaskazini, 'Wakabidhini wao; na kwa kusini, Usiangalie ya nyuma; Leteni vijana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka vijiji vya mikoani katika nchi,
to say to/for north to give: give and to/for south not to restrain to come (in): bring son: child my from distant and daughter my from end [the] land: country/planet
7 yeyote aitwe kw jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu mwenyewe, Niliyemuumba, ndio, Mimi niliyemfanya.
all [the] to call: call by in/on/with name my and to/for glory my to create him to form: formed him also to make him
8 Waleteni nje watu ambao ni vipofu, hata kama wana macho, na viziwi, hata kama wana masikio.
to come out: send people blind and eye there and deaf and ear to/for them
9 Mataifa yote yatakusanyika kwa pamoja na watu watakusanyika. Ni nani miongoni mwenu atakaye tamka na kutangaza kutumia mambo ya mwanzo? Waache walete mashahidi kuwashuhudia wao kama wako sahihi, waache wasikilize na kuthibitisha, 'kama ni kweli'.
all [the] nation to gather together and to gather people who? in/on/with them to tell this and first: previous to hear: proclaim us to give: give witness their and to justify and to hear: hear and to say truth: true
10 Ninyi ni mashahidi wangu, ametangaza Yahwe, ''na watumishi wangu niliowachagua, ili uweze kujua na kuniamini mimi, na kuelewa kwamba mimi ndiye. Kabla yangu hapana mungu mwingine aliyeumbwa, na wala hatatoke baada yangu.
you(m. p.) witness my utterance LORD and servant/slave my which to choose because to know and be faithful to/for me and to understand for I he/she/it to/for face: before my not to form: formed god and after me not to be
11 Mimi, Mimi Yahwe, na hakuna Mkombozi zaidi yangu.
I I LORD and nothing from beside me to save
12 Nimetangaza, nimeokoa, na kutangaza, na hakuna Mungu mwingine miongoni mwenu, Ninyi ni mashahidi wangu asema Yahwe, ''Mimi ni Mungu.
I to tell and to save and to hear: proclaim and nothing in/on/with you be a stranger and you(m. p.) witness my utterance LORD and I God
13 Kuanzia leo na kuendelea mimi ndiye, na hakuna hata mmoja atakayewakomboa kwenye mkono wangu. Nitafanya, na nani awezae kunizuia?''
also from day: today I he/she/it and nothing from hand: power my to rescue to work and who? to return: turn back her
14 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, yeye Mtakatifu wa Israeli: ''Kwa niaba yenu nimemtuma mjumbe kwenda Babeli na kuwaongoza wao wote chini kama watuhumiwa, kubadilisha kelele za furaha za watu wa Babeli' kuwa wimbo wa maombolezo.
thus to say LORD to redeem: redeem your holy Israel because you to send: depart Babylon [to] and to go down fleeing all their and Chaldea in/on/with fleet cry their
15 Mimi ni Yahwe, niliye Mtakatifu, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wenu.
I LORD holy your to create Israel king your
16 Yahwe asema hivi, Ni nani aliyefungua njia katika bahari, na njia katika maji yenye nguvu,
thus to say LORD [the] to give: make in/on/with sea way: journey and in/on/with water strong path
17 ni nani anayeongoza gari na farasi, majeshi na jeshi kuu. Walianguka chini kwa pamoja; hawakunyanyuka tena; wamezimwa, kama utambi unaoungua.
[the] to come out: send chariot and horse strength: soldiers and mighty together to lie down: lay down not to arise: rise to put out like/as flax to quench
18 Msifikirie hayo mambo yaliyopita, wala kuyafikiria mambo ya zamani.
not to remember first: previous and eastern: older not to understand
19 Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangani na na mikondo ya maji katika jangwa
look! I to make: do new now to spring not to know her also to set: make in/on/with wilderness way: road in/on/with wilderness river
20 Wanyama pori wa shambani wataniheshimu mimi, Mbweha na mbuni, kwa sababu ninatoa maji jangwani, na mito jangwani, ili watu wangu niliowachuga wapate kunjwa,
to honor: honour me living thing [the] land: wildlife jackal and daughter ostrich for to give: give in/on/with wilderness water river in/on/with wilderness to/for to water: drink people my chosen my
21 Watu hawa niliowaumba mwenyewe, kwamba wahesabu tena sifa zangu.
people this to form: formed to/for me praise my to recount
22 Lakini hamjanita mimi, Yakobo; umechoka na mimi, Israeli.
and not [obj] me to call: call to Jacob for be weary/toil in/on/with me Israel
23 Haujaniletea hata kondoo wako kama sadaka ya kuteketeza; na wala haujaniheshimu mimi kwa sadaka yako Sijakutumisha wewe kwa sadaka ya mazao, wala sijawachosha kwa sadaka yenu ya ubani.
not to come (in): bring to/for me sheep burnt offering your and sacrifice your not to honor: honour me not to serve: burden you in/on/with offering and not be weary/toil you in/on/with frankincense
24 Hamkuninunulia mimi manukato mazuri kwa fedha, hakumwagia mimi mafuta ya sadaka zenu; Lakini mnanichosha mimi na dhambi zenu na mnanichosha mimi kwa matendo yenu mabaya.
not to buy to/for me in/on/with silver: money branch: stem and fat sacrifice your not to quench me surely to serve: burden me in/on/with sin your be weary/toil me in/on/with iniquity: crime your
25 Mimi, ndio, Mimi, ndiye niliyafaye maovu yenu kwa niaba yangu mmi mwenyewe; na Sitawaita na kuwakumbusha dhambi zenu tena.
I I he/she/it to wipe transgression your because me and sin your not to remember
26 Nikumbusheni mimi kilichotokea. Njooni tusemezane pamoja; leta hoja zako, ili kusudi uthibitishe kuwa hauna hatia.
to remember me to judge unitedness to recount you(m. s.) because to justify
27 Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, na viongozi wenu walitenda dhambi dhidi yangu.
father your [the] first to sin and to mock you to transgress in/on/with me
28 Hivyo basi Nitawatia unajisi viongozi watakatifu; Nitamkabidhi Yakobo kuwaharibu kabisa, na Israeli kulaani udhalilishaji.
and to profane/begin: profane ruler holiness and to give: give to/for devoted thing Jacob and Israel to/for reviling

< Isaya 43 >