< Isaya 43 >

1 Lakini sasa haya ndio Yahwe asemayo, yeye aliyekuumba ewe, Yakobo, na yeye aliyekuumba ewe, Israeli: ''Usiogope, kwa maana nimekukomboa wewe; nmeikuita kwa jina lako, wewe ni wangu.
And now thus he says Yahweh [who] created you O Jacob and [who] formed you O Israel may not you be afraid for I have redeemed you I have called [you] by name your [belong] to me you.
2 Utakapopita katika maji, Nitakuwa pamoja na wewe; na katika mito, hayatakuzuru wewe. Utakapotembea katika moto hautaungua, na moto hautakuharibu wewe.
If you will pass in the waters [will be] with you I and in the rivers not they will overflow you if you will walk in fire not you will be burned and flame not it will burn you.
3 Maana mimi Yahwe Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mkombozi wenu. Nimewapa Misri kama fidia yenu, Ethiopia na Seba watabadilishana kwako.
For I [am] Yahweh God your [the] holy [one] of Israel deliverer your I have given ransom your Egypt Cush and Seba in place of you.
4 Kwa maana ulikuwa wa thamani na maalumu katika macho yangu, Ninakupenda; kwa sababu hiyo Nitatoa watu kwa ajili yako, na watu wengine kwa ajili ya maisha yako.
Because you are precious in view my you are honored and I I love you and I may give humankind in place of you and peoples in place of life your.
5 Usiogope, maana Mimi niko pamoja na wewe; Nitawarudisha watoto wako kutoka mashariki, na kuwakusanya nyie kutoka magharibi.
May not you be afraid for [am] with you I from [the] east I will bring offspring your and from [the] west I will gather you.
6 Nitasema na kaskazini, 'Wakabidhini wao; na kwa kusini, Usiangalie ya nyuma; Leteni vijana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka vijiji vya mikoani katika nchi,
I will say to the north deliver up and to [the] south may not you withhold bring sons my from a distance and daughters my from [the] end of the earth.
7 yeyote aitwe kw jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu mwenyewe, Niliyemuumba, ndio, Mimi niliyemfanya.
Every [one who] is called by name my and [whom] for glory my I created him [whom] I formed him also I made him.
8 Waleteni nje watu ambao ni vipofu, hata kama wana macho, na viziwi, hata kama wana masikio.
Bring out a people blind and [are] eyes there and deaf [people] and ears [belong] to them.
9 Mataifa yote yatakusanyika kwa pamoja na watu watakusanyika. Ni nani miongoni mwenu atakaye tamka na kutangaza kutumia mambo ya mwanzo? Waache walete mashahidi kuwashuhudia wao kama wako sahihi, waache wasikilize na kuthibitisha, 'kama ni kweli'.
All the nations they have assembled together so they may gather peoples who? among them will he declare this and former [things] will they proclaim to? us let them appoint witnesses their so they may be justified and they may hear and they may say truth.
10 Ninyi ni mashahidi wangu, ametangaza Yahwe, ''na watumishi wangu niliowachagua, ili uweze kujua na kuniamini mimi, na kuelewa kwamba mimi ndiye. Kabla yangu hapana mungu mwingine aliyeumbwa, na wala hatatoke baada yangu.
You [are] witnesses my [the] utterance of Yahweh and servant my whom I have chosen so that you may know and you may believe me and you may perceive that I [am] he before me not it was formed a god and after me not it will be.
11 Mimi, Mimi Yahwe, na hakuna Mkombozi zaidi yangu.
I I [am] Yahweh and there not except me [is] a deliverer.
12 Nimetangaza, nimeokoa, na kutangaza, na hakuna Mungu mwingine miongoni mwenu, Ninyi ni mashahidi wangu asema Yahwe, ''Mimi ni Mungu.
I I have declared and I have saved and I have proclaimed and there not among you [was] a strange [god] and you [are] witnesses my [the] utterance of Yahweh and I [am] God.
13 Kuanzia leo na kuendelea mimi ndiye, na hakuna hata mmoja atakayewakomboa kwenye mkono wangu. Nitafanya, na nani awezae kunizuia?''
Also from a day I [am] he and there not from hand my [is] a deliverer I act and who? will he revoke it.
14 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, yeye Mtakatifu wa Israeli: ''Kwa niaba yenu nimemtuma mjumbe kwenda Babeli na kuwaongoza wao wote chini kama watuhumiwa, kubadilisha kelele za furaha za watu wa Babeli' kuwa wimbo wa maombolezo.
Thus he says Yahweh redeemer your [the] holy [one] of Israel for sake your I have sent Babylon towards and I will bring down [as] fugitives all of them and [the] Chaldeans in ships shout of joy their.
15 Mimi ni Yahwe, niliye Mtakatifu, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wenu.
I [am] Yahweh holy [one] your [the] creator of Israel king your.
16 Yahwe asema hivi, Ni nani aliyefungua njia katika bahari, na njia katika maji yenye nguvu,
Thus he says Yahweh who made in the sea a way and in waters mighty a path.
17 ni nani anayeongoza gari na farasi, majeshi na jeshi kuu. Walianguka chini kwa pamoja; hawakunyanyuka tena; wamezimwa, kama utambi unaoungua.
Who sent out chariotry and horse[s] an army and a strong [one] together they lay down not they rose they were extinguished like wick they were quenched.
18 Msifikirie hayo mambo yaliyopita, wala kuyafikiria mambo ya zamani.
May not you remember former [things] and ancient [things] may not you consider.
19 Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangani na na mikondo ya maji katika jangwa
Here I [am] about to do a new [thing] now it is springing up ¿ not do you know it also I will make in the wilderness a way in a desolate place rivers.
20 Wanyama pori wa shambani wataniheshimu mimi, Mbweha na mbuni, kwa sababu ninatoa maji jangwani, na mito jangwani, ili watu wangu niliowachuga wapate kunjwa,
It honors me [the] animal[s] of the field jackals and daughters of an ostrich for I have put in the wilderness water rivers in a desolate place to give drink to people my chosen one my.
21 Watu hawa niliowaumba mwenyewe, kwamba wahesabu tena sifa zangu.
A people which I formed for myself praise my they will recount.
22 Lakini hamjanita mimi, Yakobo; umechoka na mimi, Israeli.
And not me you have called on O Jacob for you have grown weary with me O Israel.
23 Haujaniletea hata kondoo wako kama sadaka ya kuteketeza; na wala haujaniheshimu mimi kwa sadaka yako Sijakutumisha wewe kwa sadaka ya mazao, wala sijawachosha kwa sadaka yenu ya ubani.
Not you have brought to me [the] sheep of burnt offerings your and sacrifices your not you have honored me not I have burdened you with offering[s] and not I have made weary you with frankincense.
24 Hamkuninunulia mimi manukato mazuri kwa fedha, hakumwagia mimi mafuta ya sadaka zenu; Lakini mnanichosha mimi na dhambi zenu na mnanichosha mimi kwa matendo yenu mabaya.
Not you have bought for me for money calamus and [the] fat of sacrifices your not you have satisfied me nevertheless you have burdened me with sins your you have made weary me with iniquities your.
25 Mimi, ndio, Mimi, ndiye niliyafaye maovu yenu kwa niaba yangu mmi mwenyewe; na Sitawaita na kuwakumbusha dhambi zenu tena.
I I [am] he [who is] wiping out transgressions your for own sake my and sins your not I will remember.
26 Nikumbusheni mimi kilichotokea. Njooni tusemezane pamoja; leta hoja zako, ili kusudi uthibitishe kuwa hauna hatia.
Cause to remember me let us enter into judgment together recount O you so that you may be justified.
27 Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, na viongozi wenu walitenda dhambi dhidi yangu.
Ancestor your first he sinned and spokesmen your they transgressed against me.
28 Hivyo basi Nitawatia unajisi viongozi watakatifu; Nitamkabidhi Yakobo kuwaharibu kabisa, na Israeli kulaani udhalilishaji.
So I may profane [the] officials of holiness and I will give to total destruction Jacob and Israel to reviling words.

< Isaya 43 >