< Isaya 43 >
1 Lakini sasa haya ndio Yahwe asemayo, yeye aliyekuumba ewe, Yakobo, na yeye aliyekuumba ewe, Israeli: ''Usiogope, kwa maana nimekukomboa wewe; nmeikuita kwa jina lako, wewe ni wangu.
Isala: ili fi! Hina Gode, amo da dili hahamoi, E da amane sia: sa, “Mae beda: ma! Na da dili gaga: mu! Na da dilia dio amoga dilima wele sia: i dagoi. Dili da Na:
2 Utakapopita katika maji, Nitakuwa pamoja na wewe; na katika mito, hayatakuzuru wewe. Utakapotembea katika moto hautaungua, na moto hautakuharibu wewe.
Dilia da hano lugududafa amo ganodini ahoasea, Na amola ani masunu. Dilia bidi hamosu da dilima hame hasanasimu. Dilia lalu amo ganodini ahoasea, dilia nei dagoi hame ba: mu. Gasa bagade adoba: su hou da dilima doaga: sea, dilia da wadela: lesi dagoi hame ba: mu.
3 Maana mimi Yahwe Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mkombozi wenu. Nimewapa Misri kama fidia yenu, Ethiopia na Seba watabadilishana kwako.
Bai Na da Hina Gode, dilia Gode. Na da Isala: ili Hadigi Gode, Na da dilia gaga: su dunu esala. Na da dili bidi lama: ne, Idibidi fi fisimu. Na da dili bidi lama: ne, Sudane amola Siba sogebi fisimu.
4 Kwa maana ulikuwa wa thamani na maalumu katika macho yangu, Ninakupenda; kwa sababu hiyo Nitatoa watu kwa ajili yako, na watu wengine kwa ajili ya maisha yako.
Na da dili gaga: ma: ne, fifi asi gala mogili fisimu. Bai dilia da Nama dogolegei fi. Dilia da Na dogolegei amola Na da dilima nodosa.
5 Usiogope, maana Mimi niko pamoja na wewe; Nitawarudisha watoto wako kutoka mashariki, na kuwakusanya nyie kutoka magharibi.
Mae beda: ma! Na da ani esala. Dilia fi dunu amo soge sedagaga esala mogili da gusugoe mogili da gududili, amoga Na dili buhagima: ne oule misunu
6 Nitasema na kaskazini, 'Wakabidhini wao; na kwa kusini, Usiangalie ya nyuma; Leteni vijana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka vijiji vya mikoani katika nchi,
Amola ga (north) fi ilima ilia da Na fi dunu bu misa: ne logo doasima: ne Na da sia: mu. Amola ga (south) fi ilima Na da Na fi ilia bu misunu logo amo mae gasima: ne sia: mu. Osobo bagade fifi asi gala huluane amo ganodini Na fi dunu da esala, amoga ilia bu misunu da defea.
7 yeyote aitwe kw jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu mwenyewe, Niliyemuumba, ndio, Mimi niliyemfanya.
Ilia da Na fidafa dunu, amola ilia da Nama Hadigi ima: ne, Na da ili hahamoi dagoi.”
8 Waleteni nje watu ambao ni vipofu, hata kama wana macho, na viziwi, hata kama wana masikio.
Gode da amane sia: sa “Na fi dunu ilima fofada: musa: misa: ne sia: ma. Ilia da si gala be si dofoi. Ilia da ge gala, be ge ga: i agoane esala.
9 Mataifa yote yatakusanyika kwa pamoja na watu watakusanyika. Ni nani miongoni mwenu atakaye tamka na kutangaza kutumia mambo ya mwanzo? Waache walete mashahidi kuwashuhudia wao kama wako sahihi, waache wasikilize na kuthibitisha, 'kama ni kweli'.
Fifi asi gala huluane amo fofada: musa: misa: ne sia: ma. Ilia ‘gode’ liligi afae da hobea misunu hou dawa: bela: ? Waha hamobe amo ilia da musa: ba: la: lobala: ? Amo ogogosu ‘gode’ da ilia hou amola ili sia: da moloidafa amo olelema: ne, ilia da ba: su dunu oule misunu da defea.
10 Ninyi ni mashahidi wangu, ametangaza Yahwe, ''na watumishi wangu niliowachagua, ili uweze kujua na kuniamini mimi, na kuelewa kwamba mimi ndiye. Kabla yangu hapana mungu mwingine aliyeumbwa, na wala hatatoke baada yangu.
Isala: ili fi dunu! Dilia da Na ba: su dunu esala. Dilia da Na hou dawa: ma: ne, amola lalegaguma: ne, Na da dili Na hawa: hamosu dunu hamoma: ne, ilegei dagoi. Nisu da Godedafa. Eno ‘gode’ da hame gala. Musa: da eno ‘gode’ hame galu amola fa: no eno ‘gode’ hamedafa ba: mu.
11 Mimi, Mimi Yahwe, na hakuna Mkombozi zaidi yangu.
Na, Nisu da Hina Godedafa. Nisu da dili gaga: musa: dawa:
12 Nimetangaza, nimeokoa, na kutangaza, na hakuna Mungu mwingine miongoni mwenu, Ninyi ni mashahidi wangu asema Yahwe, ''Mimi ni Mungu.
Na da misunu hou amo ba: i dagoi, amola amo hou da doaga: beba: le. Na da dili fidimusa: misi. Ga fi ‘gode’ liligi da agoaiwane hame hamosu. Dilia da Na ba: su dunu esala.
13 Kuanzia leo na kuendelea mimi ndiye, na hakuna hata mmoja atakayewakomboa kwenye mkono wangu. Nitafanya, na nani awezae kunizuia?''
Na da Godedafa esalu, amola Na fawane da Godedafa esalumu. Dunu da Na gasa amoga hobeamu da hamedei ba: sa. Amola dunu afae da Na hamobe amo afadenemu da hamedeidafa.”
14 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, yeye Mtakatifu wa Israeli: ''Kwa niaba yenu nimemtuma mjumbe kwenda Babeli na kuwaongoza wao wote chini kama watuhumiwa, kubadilisha kelele za furaha za watu wa Babeli' kuwa wimbo wa maombolezo.
Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, amo Hina Gode dilia gaga: su dunu da amane sia: sa, “Na da dili gaga: ma: ne, dadi gagui gilisisu Ba: bilone fi ilima doagala: musa: asunasimu. Na da Ba: bilone moilai bai bagade amo ea logo ga: su mugulumu. Amola Ba: bilone fi dunu ilia halasu da sinidigili, dibi fawane nabimu.
15 Mimi ni Yahwe, niliye Mtakatifu, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wenu.
Na da Hina Gode, dilia Hadigi Gode! Na da dili, Isala: ili fi, amo hahamoi, amola Na da dilima Hina bagade.”
16 Yahwe asema hivi, Ni nani aliyefungua njia katika bahari, na njia katika maji yenye nguvu,
Hemonega Hina Gode da hano wayabo bagade amo ganodini logo ahoasu hamoi. Hano gafului ganodini, E da logo hamoi.
17 ni nani anayeongoza gari na farasi, majeshi na jeshi kuu. Walianguka chini kwa pamoja; hawakunyanyuka tena; wamezimwa, kama utambi unaoungua.
E da amoga gasa bagade dadi gagui ilia sa: liode amola hosi gilisisu, amo oule misini, wadela: lesi dagoi. Ilia da bu hame wa: legadoma: ne, dafai dagoi. Ilia da gamali ha: ba: dosu defele usi dagoi ba: i.
18 Msifikirie hayo mambo yaliyopita, wala kuyafikiria mambo ya zamani.
Be Hina Gode da amane sia: sa, “Musa: hou doaga: i amoma bagadewane mae dawa: ma.
19 Tazama ninakaribia kufanya mambo mapya; sasa yanakaribia kutokea; Je humyajui haya? Nitafanya njia jangani na na mikondo ya maji katika jangwa
Be gaheabolo hou Na da hamomu, amo noga: le ba: mu. Amo hou da wali hamonana ba: sa. Dilia da waha ba: musa: dawa: Na da iwila ganodini logo fodomu. Amogawi, Na da dilima hano imunu.
20 Wanyama pori wa shambani wataniheshimu mimi, Mbweha na mbuni, kwa sababu ninatoa maji jangwani, na mito jangwani, ili watu wangu niliowachuga wapate kunjwa,
Dunu amola sigua ohe fi da Nama nodomu. Soge wa: me amola “osadaligi” sio da Nama nodomu. Na da hafoga: i soge ganodini, hano yogosa: ima: ne hamone, Na fi ilegei dunu amoma hano imunu.
21 Watu hawa niliowaumba mwenyewe, kwamba wahesabu tena sifa zangu.
Amo dunu Nama nodoma: ne, Na da hahamoi dagoi. Amola ilia da Nama nodone gesami hea: mu.
22 Lakini hamjanita mimi, Yakobo; umechoka na mimi, Israeli.
Hina Gode da amane sia: sa, “Be Isala: ili dunu, dilia Nama fa: no bobogelala, hele nabi dagoi. Dilia da Nama hame nodone sia: ne gadosu.
23 Haujaniletea hata kondoo wako kama sadaka ya kuteketeza; na wala haujaniheshimu mimi kwa sadaka yako Sijakutumisha wewe kwa sadaka ya mazao, wala sijawachosha kwa sadaka yenu ya ubani.
Dilia da sibi gobele salasu Nama ima: ne hame gaguli misi. Dilia da dilia gobele salasu amoga, Nama hame nodosu. Na da dilia da: i dioima: ne, hahawane dogolegele iasu amo dilima hame edegei. Amola dilia helema: ne, gabusiga: manoma gobele salasu hame edegei.
24 Hamkuninunulia mimi manukato mazuri kwa fedha, hakumwagia mimi mafuta ya sadaka zenu; Lakini mnanichosha mimi na dhambi zenu na mnanichosha mimi kwa matendo yenu mabaya.
Dilia da Nama nodoma: ne, gabusiga: manoma hame bidi lai. Amola Na sadima: ne, ohe fi ea sefe amo dilia hame gaguli misi. Be dilia da Na se nabima: ne, wadela: i hou hamosu. Amola Na helema: ne, dilia da moloi hame hou hamoi dagoi.
25 Mimi, ndio, Mimi, ndiye niliyafaye maovu yenu kwa niaba yangu mmi mwenyewe; na Sitawaita na kuwakumbusha dhambi zenu tena.
Be Na da Gode! Na da dilia wadela: i hou amo gogolema: ne olofomusa: dawa: Bai Na da Godedafa. Na da dilia wadela: i hou gogolele, dilima bu hame fofada: mu.
26 Nikumbusheni mimi kilichotokea. Njooni tusemezane pamoja; leta hoja zako, ili kusudi uthibitishe kuwa hauna hatia.
Ninia fofada: su diasuga masunu da defea. Dilia Nama diwaneya udidima! Dilia hou da moloidafa, amo ninia dawa: ma: ne, fofada: ma!
27 Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, na viongozi wenu walitenda dhambi dhidi yangu.
Dilia musa: hemonega aowalali da wadela: i hou hamoi. Dilia ouligisu dunu da Nama wadela: le hamoi.
28 Hivyo basi Nitawatia unajisi viongozi watakatifu; Nitamkabidhi Yakobo kuwaharibu kabisa, na Israeli kulaani udhalilishaji.
Amola dilia ouligisu dunu da Na Debolo Diasuga ledo hamosu. Amaiba: le, Na da Isala: ili fi wadela: lesi. Amola eno fi dunu da ilima gadebeba: le, Na da ili hame gaga: i.