< Isaya 42 >

1 Tazama, mtumishi wangu, niliyekushika; niliyekuchagua, kwake ninapata furaha. Nimeiweka roho yangu juu yake; ataleta haki kwa mataifa.
Иаков Отрок Мой, восприиму и: Израиль избранный Мой, прият Его душа Моя, дах дух Мой Нань, суд языком возвестит:
2 Hatalia wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika mitaani.
не возопиет ниже ослабит, ниже услышится вне глас Его:
3 Mwanzi ulioangamizwa hatauvunja, na wala utambi unaowaka na kutoa mwanga hautaungua: atatekeleza haki kwa uaminifu.
трости сокрушены не сотрет и льна курящася не угасит, но во истину изнесет суд:
4 wala hatazimia wala kukata tamaa mpaka atakapoanzisha haki katika nchi; na pwani inasubiria sheria yake.
возсияет и не потухнет, дондеже положит на земли суд, и на имя Его языцы уповати имут.
5 Mungu Yahwe asema hivi—yeye aliyeziumba mbingu na yeye zinyoosha nje, yeye aliyeiumba nchi na vitu vyote izalishavyo, yeye aliyewapa punzi watu na wale waishio juu:
Тако глаголет Господь Бог, сотворивый небо и водрузивый е, утверждей землю и яже на ней, и даяй дыхание людем, иже на ней, и дух ходящым на ней:
6 Mimi Yahwe nimekuita kwa haki yangu na nitakushika kwa mkono wangu. Nitakutunza wewe, na nitakuweka wewe kama agano kwa watu wangu, kama mwanga wa wayunani
Аз Господь Бог призвах Тя в правде, и удержу за руку Твою и укреплю Тя: и дах Тя в завет рода Израилева, во свет языков,
7 Kuyafungua macho ya vipofu, kuwatoa waliofungwa gerezani, kuwatoa wale walio gizani kutoka kwenye nyumba iliyofungiwa.
отверсти очи слепых, извести от уз связанныя и из дому темницы и седящыя во тме.
8 Mimi ni Yahwe, Hilo ndilo jina langu; na utukufu wangu sitashiriana na mtu mwingine wala sifa zangu sitashirkiana na sanamu ya kuchonga.
Аз Господь Бог, сие Мое есть имя, славы Моея иному не дам, ниже добродетелей Моих истуканным.
9 Tazama, mambo ya nyuma yamekuja na kupita, sasa ninakaribia kutangaza mambo mapya. Kabla hayajaanza kutokea nitawambia kuhusu wao.''
Иже из начала, се, приидоша, и новая, яже Аз возвещу, и прежде неже возвестити, явишася вам.
10 Mwimbieni Yahwe wimbo mpya, na sifa zake kutoka mwisho wa nchi; wewe ushukae chini kwenye bahari, na vyote vilivyomo ndani yake, waishio pwani na wale wanaoishi huko.
Воспойте Господеви песнь нову: началство Его, прославите имя Его от конец земли, сходящии в море и плавающии по нему, острови и живущии на них.
11 Wacha jangwa na miji ilie, vijiji anavyoishi na Kaderi, lia kwa furaha! waache wenyeji wa Sela waimbe; waache wapige kelele juu ya kilele cha mlima.
Возвеселися, пустыне, и веси ея, придвория, и живущии в Кидаре: возвеселятся живущии на камени, от края гор возопиют,
12 waache wamtukuze Yahwe na kutangaza sifa zake katika aridhi ya pwani.
дадят Богу славу, добродетели Его во островех возвестят.
13 Yahwe atatoka nje kama shujaa; kama mtu wa vita ataichochea bidii yake. Atapiga kelele, ndio, atalia kw kishindo katika vita yake; atawaonyesha adui zake nguvu zake.
Господь Бог Сил изыдет и сокрушит рать, воздвигнет рвение и возопиет на враги Своя со крепостию.
14 Nimenyamaza kimyi kwa mda mrefu; bado nimendelea kujizuia mimi mwenyewe; Nitalia kama mwanamke anayetaka kuzaa; nitatweta na kuugua.
Молчах, еда и всегда умолчу и потерплю? Терпех яко раждающая, истреблю и изсушу вкупе,
15 Nitaiharibu milima na vilima na kukausha uoto wake wa asili; nitajeuza mito kuwa visiwa na nitakausha matindiga.
опустошу горы и холмы, и всяку траву их изсушу, и положу реки во островы, и луги изсушу:
16 Nitawaleta vipofu kwa njia wasioijua; katika njia wasiyoijua Nitawapitisha wao. Nitaligeuza giza kuwa mwanga mbele yao, na kupanyoosha mahali palipopotoka. Mambo yote haya nitayafanya, na sitaachana na wao.
и наведу слепыя на путь, егоже не видеша, и по стезям, ихже не знаша, ходити сотворю им: сотворю им тму во свет и стропотная в правая: сия глаголголы сотворю, и не оставлю их.
17 Watageuka nyuma, wataabishwa sana, wale wote wanaoiamini sanamu ya kuchonga, wanaosema na kuziambia sanamu za chuma, ''Nyinyi ni miungu wetu.''
Тии же возвратишася вспять: посрамитеся стыдением, уповающии на изваянная, глаголющии слиянным: вы есте бози наши.
18 Sikilizeni ewe kiziwi; tazama, ewe kipofu, ili uweze kuona.
Глусии, услышите, и слепии, прозрите видети.
19 aliye kipofu ila mtumishi wangu? au kiziwi ni kama mjumbe niliyemtuma? Ni nani aliye kipofu kama mpenzi wangu wa agano, au kipofu kama mtumishi wa Yahwe?
И кто слеп, разве раби Мои? И глуси, разве владеющии ими? И ослепоша раби Божии.
20 Mmeona mambo mengi, lakini hamuelewi; masikio yamefunguka, lakini hakuna anayesikia.
Видесте многажды, и не сохранисте: отверсты ушы (имуще), и не слышасте.
21 Itampendeza Yahwe kuisifu haki yake na kuitukuza sheria yake.
Господь Бог восхоте, да оправдится и возвеличит хвалу.
22 Lakini watu hawa ni wale waliokamtw na kutekwa; wote wamenaswa kwenye mashimo; wafungwa wote wamewekwa gerezani; wamekuwa mateka na hakuna hata mmoja wa kuwaokoa wao, hakuna asemaye, warudisheni.''
И видех, и быша людие расхищени и разграблени: пругло бо в ложах везде, и в домех вкупе, идеже скрыша я, быша в плен: и не бысть изимаяй разграбления и не бе глаголющаго: отдаждь.
23 Ni nani miongoni mwenu atalisikiliza hili? nani atayasikia na ni nani atasikia wakati ujao?
Кто в вас, иже внушит сия? И услышит во грядущая.
24 Ni nani aliyemtoa Yakobo kwa majambazi, na Israeli kwa wanyang'anyi? Je hakuwa Yahwe, dhidi ya wale waliotenda dhambi, waliokataa kutembea katika njia zako na wale waliokataa kusheshimu sheria yako.
Кто даде на разграбление Иакова, и Израиля пленяющым его? Не Бог ли, Емуже согрешиша и не восхотеша в путех Его ходити, ни слушати закона Его?
25 Hivyo basi humwaga asira yake kali nje dhidi yao, kwa uharibifu wa vita. Iliwaka kuwazunguka wao, hata hawakujua hilo, lakini hawakuyachukulia hayo moyoni mwao.
И наведе на ня гнев ярости Своея, и укрепися на ня рать, и палящии их окрест, и не уведеша кийждо их, ниже положиша на уме.

< Isaya 42 >