< Isaya 41 >

1 ''Sikilizeni mbele yangu kwa ukimya, enyi mkao pwani; wacha mataifa yapate nguvu kwa upya; waache waje karibu na kuzungumza; na tusogee karibu tujadili mgogoro.
Molčite pred menoj, oh otoki in naj ljudstvo obnavlja svojo moč. Naj pridejo bliže, potem jim pustite govoriti. Pridimo blizu skupaj k sodbi.
2 Nani aliyechochea juu mmoja kutoka mashariki, anamuita katika haki yake kwenye huduma yake? Amemkabidhi mataifa juu yake ili amsaidie yeye kuwaangamiza wafalme. Aliwajeuza kuwa mavumbi kwa neno lake, kama upepo unaovuma kwenye mabua kwa upinde wake.
Kdo je dvignil pravičnega človeka od vzhoda in ga poklical k svojemu stopalu, dal predenj narode in ga naredil, [da] vlada nad kralji? Izročil jih je kakor prah njegovemu meču in kakor slamo gnano k njegovemu loku.
3 Aliwachukuwa wao na kuwapitisha salama, katika njia nyepesi ambayo miguu yake imegusa shida.
Zasledoval jih je in varno prešel; celó po poti, [po] kateri [še] ni šel s svojimi stopali.
4 Ni nani aliyeyafanya na kukamilisha matendo haya? Ni nanialiyechagua kizazi kutoka mwanzo? Mimi, Yahwe ni mwanzo na mwisho, mimi ndiye.
Kdo je delal in to storil, kličoč rodove od začetka? Jaz, Gospod, prvi in s poslednjimi; jaz sem ta.
5 Visiwa vimeona na kuogopa; miisho ya dunia yatetemeka; walikaribia n kuja.
Otoki so to videli in se bali; konci zemlje so bili prestrašeni, se približali in prišli.
6 Kila mmoja amsaidie jirani yake, na kila mmoja asemezane na mwenzake, 'Kuwa mfariji;
Pomagali so vsak svojemu sosedu in vsak je svojemu bratu rekel: »Bodi odločnega poguma.«
7 Hivyo basi seremala anamfariji mfua dhahabu, na yule anayefanya kazi kwa kutumia nyundo anamfariji anayefanya kazi kwa chuma, akisema kwa msemo wa kurehemu, ''Ni mizuri; Naye ataupigilia kwa makini misumari ili isipinduke.
Tako je tesar hrabril zlatarja in kdor gladi s kladivom, tistega, ki udarja nakovalo, rekoč: »Ta je pripravljen za spajanje« in ga pritrdil z žeblji, da ta ne bi bil premaknjen.
8 Lakini wewe, Israeli mtumishi wangu, Yakobo niliyekuchagua, mtoto wa Ibrahimu rafiki yangu,
Toda ti, Izrael, si moj služabnik, Jakob, ki sem ga izbral, seme Abrahama, mojega prijatelja.
9 wewe ambaye ninakurudisha kutoka miisho ya nchi, na ambaye niliyekuita kutoka sehemu ya mbali, na kwako niliyekuambia, 'Wewe ni mtumishi wangu; 'Nimekuchagua wewe na sijakukataa.
Ti, ki sem te vzel od koncev zemlje in te poklical od njihovih glavnih mož in ti rekel: »Ti si moj služabnik, izbral sem te in te nisem zavrgel.
10 Usiogope maana mimi niko pamoja na wewe. Usiwe na wasiwasi, maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, na nitakusaidia, wewe, na Nitakushika kwa mkono wa haki yangu.
Ne boj se, kajti jaz sem s teboj. Ne bodi potrt, kajti jaz sem tvoj Bog. Okrepil te bom, da, jaz ti bom pomagal, da, podpiral te bom z desnico svoje pravičnosti.
11 Tazama, watakuwa na aibu na hawataheshimiwa, wale wote waliokuwa na hasira na wewe; watakuwa si kitu na watatokomea, wale watakao kupinga wewe.
Glej, vsi tisti, ki so bili ogorčeni zoper tebe, bodo osramočeni in zbegani. Oni bodo kakor nič in tisti, ki se prepirajo s teboj, bodo propadli.
12 Utawatafuta na wala hautawapata wale wanaopingana na wewe; wale wafanyao vita dhidi yako watakuwa kama si kitu, si kitu kabisa.
Iskal jih boš in jih ne boš našel, celó tiste, ki so se pričkali s teboj. Tisti, ki se vojskujejo zoper tebe, bodo kakor nič in kakor stvar ničnosti.
13 Maana mimi Yahwe Mungu wako, nitawashika mkono wako wa kiume, nikikuambia wewe, 'Usiogope; Nitakusaidia wewe.
Kajti jaz, Gospod, tvoj Bog, bom držal tvojo desnico, rekoč ti: »Ne boj se, jaz ti bom pomagal.«
14 Usiogope, Yakobo wewe mdudu, na enyi watu wa Israeli; Nitawasaidia''- hili ni tamko la Yahwe, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli.
Ne boj se, ti ličinka Jakob in vi, Izraelovi možje, pomagal ti bom, govori Gospod in tvoj odkupitelj, Sveti Izraelov.
15 Tazama, ninakufanya wewe kuwa chombo kikali cha kuparulia chenye makali pande mbili; utaparua milima na kuiponda; utafanya vilima kama makapi.
Glej, naredil te bom [za] novo ostro mlatilno pripravo z zobmi. Mlatil boš gore, jih razdrobil in hribe boš naredil kakor pleve.
16 Utawatawanya wao, na upepo utawabeba na kuwapeka mbali; upepo utawatanya wao. Utashanglia katika Yahwe, utashangiliakatika mtakatifu wa Israeli
Vejál jih boš in veter jih bo odnesel proč in vrtinčast veter jih bo razkropil, ti pa se boš razveseljeval v Gospodu in slavil boš v Svetem Izraelovem.
17 Waliodhulumiwa na masikini wanatafuta maji, lakini hakuna kitu, ndimi zao zimekauka kwa kiu; Mimi Yahwe, nitajibu maombi yao; Mimi Mungu wa Israeli, sitawacha wao.
Kadar ubogi in pomoči potrebni iščejo vode in je tam ni in njihov jezik odpoveduje zaradi žeje, jih bom jaz, Gospod, uslišal in jaz, Izraelov Bog, jih ne bom zapustil.
18 Nitatengeneza mikondo ya maji kushusha chini, na chemichem katikati ya mabonde; nitalifanya jangwa kuwa kisima cha maji, na aridhi kavu kuwa chemichem ya maji.
Odprl bom reke na visokih krajih in studence v sredi dolin. Divjino bom spremenil [v] vodni ribnik in suho deželo [v] izvire voda.
19 Katika jangwa nitapanda mierezi, mshita, mhadisi, na mti wa mizeituni. Nitaotesha mberoshi katika uwazi wa jangwa, pamoja na mbono nitapanda mberoshi kitika jangwa lililowazi.
V divjini bom zasadil cedro, akacijevo drevo, mirto in olivno drevo; v puščavi bom skupaj posadil cipreso, bor in pušpan,
20 Nitayafanya haya ili waweze kuona, kutambua na kuelewa kwa pamoja, kwamba mkono wa Yahwe umetenda haya, kama Mtakatifu wa Israeli aliyeliumba.
da bodo lahko videli, spoznali, preudarili in skupaj razumeli, da je to storila Gospodova roka in Sveti Izraelov je to ustvaril.
21 Wakilisha keshi yako, '' asema Yahwe; ''wakilisha hoja zenu nzuri kwa sanamu yenu,'' asema Mfalme wa Yakobo.
Prinesite svojo pravdo, ‹ govori Gospod; ›prinesite naprej svoje močne razloge, govori Kralj Jakobov.
22 Waache walete hoja zao wenyewe; waache waje mbele na watutangazie sisi nini kitakachotokea, ili tuweze kuelewa haya mambo vizuri. Tuawaache watupe tamko mapema, ili tuweze kulitafakari na tuweze kujua n kwa jinsi gani litatimia.
Naj jih prinesejo naprej in nam pokažejo kaj se bo zgodilo. Naj nam pokažejo prejšnje stvari, kakršne so, da jih lahko preudarimo in spoznamo njihov zadnji konec; ali nam oznanite stvari, ki pridejo.
23 Wajulishe kitu kuhusu baadaye, ili tujue kuwa ninyi ni miungu; fanya kitu kizuri au kibaya, ambacho kitatutisha na kutushangaza.
Pokažite stvari, ki bodo odslej, da bomo lahko vedeli, da ste vi bogovi. Da, delajte dobro ali delajte zlo, da bomo lahko zaprepadeni in to skupaj gledali.
24 Tazama sanamu zenu si kitu na matendo yenu si kitu; aliyewachagua ni machukizo.
Glejte, vi ste od ničnosti in vaše delo je ničevo; ogabnost je, kdor vas izbere.
25 Nimemnyanyua mmoja kutoka kaskazini, naye amekuja kutoka mawio ya jua nimemchagua yeye alitajae jina langu, na atawakanyaga viongozi kama matope, kama mfinyanzi akanyagavyo udongo.
Dvignil sem nekoga iz severa in bo prišel. Od sončnega vzhoda bo klical moje ime in prišel bo nad prince kakor nad malto in kakor lončar gnete ilo.
26 Ni nani aliyetangaza hili tangu mwanzo, ili tuweze kujua? na kabla ya mda, ili tuseme, ''Yuko sawasawa''? Kweli hakuna hata mmoja aliyekiri hili, ndio hakuna hata mmoja aliyekusikia ukisema chochote.
Kdo je razglasil od začetka, da bi mi lahko vedeli? In poprej, da bi lahko rekli: » On je pravičen?« Da, tam ni nikogar, ki kaže; da, tam ni nikogar, ki razglaša; da, tam ni nikogar, ki sliši vaše besede.
27 Kwanza nilizungumza na Sayuni, ''Tazama hapo walipo;'' Nimemtuma mhubiri Yerusalemu.
Prvi bo rekel Sionu: »Poglej, poglej jih.« In Jeruzalemu bom dal nekoga, ki prinaša dobre novice.
28 Nilipoangalia, hakuna hata mmoja, hakuna hata miongoni mwao ambaye anaweza kutoa ushauri mzuri, nani, lini nimulize, awezaye kunijibu neno.
Kajti gledal sem in tam ni bilo človeka, celo med njimi in tam ni bilo svetovalca, da bi lahko, ko sem jih povprašal, odgovoril besedo.
29 Tazama, matendo yao si kitu; sanamu zao za chuma zilizotupwa ni upepo na utupu.
Glej, vsi so ničnost, njihova dela so nič. Njihove ulite podobe so veter in zmešnjava.

< Isaya 41 >