< Isaya 41 >

1 ''Sikilizeni mbele yangu kwa ukimya, enyi mkao pwani; wacha mataifa yapate nguvu kwa upya; waache waje karibu na kuzungumza; na tusogee karibu tujadili mgogoro.
Iles, faites silence pour m’entendre! Que les peuples renouvellent leurs forces, qu’ils approchent et ensuite prennent la parole! Ensemble, nous allons comparaître en justice.
2 Nani aliyechochea juu mmoja kutoka mashariki, anamuita katika haki yake kwenye huduma yake? Amemkabidhi mataifa juu yake ili amsaidie yeye kuwaangamiza wafalme. Aliwajeuza kuwa mavumbi kwa neno lake, kama upepo unaovuma kwenye mabua kwa upinde wake.
Qui l’a suscité de l’Orient, celui qui appelle le droit à suivre ses pas? Qui lui livre les nations? Qui lui soumet les rois? Son glaive réduit les choses en poussière, son arc fait de tout une paille qui s’envole.
3 Aliwachukuwa wao na kuwapitisha salama, katika njia nyepesi ambayo miguu yake imegusa shida.
Il les poursuit, il avance sain et sauf sur une route que ses pieds n’avaient point foulée.
4 Ni nani aliyeyafanya na kukamilisha matendo haya? Ni nanialiyechagua kizazi kutoka mwanzo? Mimi, Yahwe ni mwanzo na mwisho, mimi ndiye.
Qui a fait, qui a exécuté tout cela? Celui qui, dès le commencement, appelle les générations à l’être, moi, l’Eternel, qui suis le Premier et demeure encore avec les derniers.
5 Visiwa vimeona na kuogopa; miisho ya dunia yatetemeka; walikaribia n kuja.
Les îles le voient et prennent peur, les confins de la terre tremblent. On se rapproche, on accourt.
6 Kila mmoja amsaidie jirani yake, na kila mmoja asemezane na mwenzake, 'Kuwa mfariji;
L’Un prête assistance à l’autre et chacun dit à son frère: "Courage!"
7 Hivyo basi seremala anamfariji mfua dhahabu, na yule anayefanya kazi kwa kutumia nyundo anamfariji anayefanya kazi kwa chuma, akisema kwa msemo wa kurehemu, ''Ni mizuri; Naye ataupigilia kwa makini misumari ili isipinduke.
Le sculpteur encourage l’orfèvre, celui qui polit au marteau réconforte l’ouvrier qui frappe l’enclume et dit de la soudure: "C’Est bien!" Puis on consolide l’idole avec des clous, pour qu’elle ne branle pas.
8 Lakini wewe, Israeli mtumishi wangu, Yakobo niliyekuchagua, mtoto wa Ibrahimu rafiki yangu,
Mais toi, Israël, mon serviteur, Jacob, mon élu, postérité d’Abraham qui m’aimait,
9 wewe ambaye ninakurudisha kutoka miisho ya nchi, na ambaye niliyekuita kutoka sehemu ya mbali, na kwako niliyekuambia, 'Wewe ni mtumishi wangu; 'Nimekuchagua wewe na sijakukataa.
toi que j’ai ramené comme par la main des extrémités de la terre, que j’ai rappelé de ses zones les plus lointaines, toi à qui j’ai dit: "Tu es mon serviteur, je t’ai choisi et je ne te rejette plus,"
10 Usiogope maana mimi niko pamoja na wewe. Usiwe na wasiwasi, maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, na nitakusaidia, wewe, na Nitakushika kwa mkono wa haki yangu.
eh bien! Ne crains rien, car je suis avec toi; ne sois point affolé, car je suis ton Dieu. Je t’affermis, je t’assiste et te soutiens par ma droite, armée de justice.
11 Tazama, watakuwa na aibu na hawataheshimiwa, wale wote waliokuwa na hasira na wewe; watakuwa si kitu na watatokomea, wale watakao kupinga wewe.
En vérité, ils connaîtront la honte et la confusion, tous ceux qui sont enflammés contre toi; ils seront réduits à néant, ils périront, tous ceux qui te cherchent querelle.
12 Utawatafuta na wala hautawapata wale wanaopingana na wewe; wale wafanyao vita dhidi yako watakuwa kama si kitu, si kitu kabisa.
Tu les chercheras et tu ne les trouveras plus les gens qui se déclarent tes adversaires; ils seront comme le néant et le vide, les gens qui te font la guerre.
13 Maana mimi Yahwe Mungu wako, nitawashika mkono wako wa kiume, nikikuambia wewe, 'Usiogope; Nitakusaidia wewe.
Car moi, l’Eternel, ton Dieu, je soutiens ta droite et je te dis: "Ne crains pas, je viens à ton secours."
14 Usiogope, Yakobo wewe mdudu, na enyi watu wa Israeli; Nitawasaidia''- hili ni tamko la Yahwe, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli.
Ne crains rien, vermisseau de Jacob, faible reste d’Israël! C’Est moi qui te prête secours, dit le Seigneur, le Saint d’Israël est ton libérateur.
15 Tazama, ninakufanya wewe kuwa chombo kikali cha kuparulia chenye makali pande mbili; utaparua milima na kuiponda; utafanya vilima kama makapi.
Voici, je fais de toi une herse à dents, toute neuve, et garnie de tranchants: tu fouleras les montagnes à les broyer, et les coteaux, tu les réduiras en menue paille.
16 Utawatawanya wao, na upepo utawabeba na kuwapeka mbali; upepo utawatanya wao. Utashanglia katika Yahwe, utashangiliakatika mtakatifu wa Israeli
Tu les vanneras et le vent les emportera, la tempête les dispersera, tandis que toi, tu te réjouiras en l’Eternel, tu te glorifieras par le Saint d’Israël.
17 Waliodhulumiwa na masikini wanatafuta maji, lakini hakuna kitu, ndimi zao zimekauka kwa kiu; Mimi Yahwe, nitajibu maombi yao; Mimi Mungu wa Israeli, sitawacha wao.
Les affligés et les malheureux réclament de l’eau et n’en trouvent pas; leur langue est desséchée par la soif. Eh bien! Moi, l’Eternel, je les exaucerai; Dieu d’Israël, je ne les abandonnerai pas.
18 Nitatengeneza mikondo ya maji kushusha chini, na chemichem katikati ya mabonde; nitalifanya jangwa kuwa kisima cha maji, na aridhi kavu kuwa chemichem ya maji.
Je ferai sourdre des rivières sur les hauteurs dénudées, des fontaines dans les vallons; du désert je ferai un lac, de la terre aride des sources d’eau jaillissantes.
19 Katika jangwa nitapanda mierezi, mshita, mhadisi, na mti wa mizeituni. Nitaotesha mberoshi katika uwazi wa jangwa, pamoja na mbono nitapanda mberoshi kitika jangwa lililowazi.
Dans le désert je ferai croître le cèdre, l’acacia, le myrte et l’olivier, dans la campagne stérile je planterai, avec le cyprès, l’orme et le buis,
20 Nitayafanya haya ili waweze kuona, kutambua na kuelewa kwa pamoja, kwamba mkono wa Yahwe umetenda haya, kama Mtakatifu wa Israeli aliyeliumba.
pour qu’ils voient et sachent, réfléchissent et comprennent tous ensemble que c’est la main de l’Eternel qui l’a fait, que c’est le Saint d’Israël qui en est l’auteur.
21 Wakilisha keshi yako, '' asema Yahwe; ''wakilisha hoja zenu nzuri kwa sanamu yenu,'' asema Mfalme wa Yakobo.
Présentez votre cause, dit l’Eternel, produisez vos arguments, dit le Roi de Jacob.
22 Waache walete hoja zao wenyewe; waache waje mbele na watutangazie sisi nini kitakachotokea, ili tuweze kuelewa haya mambo vizuri. Tuawaache watupe tamko mapema, ili tuweze kulitafakari na tuweze kujua n kwa jinsi gani litatimia.
Qu’ils les produisent donc et qu’ils nous exposent ce qui doit arriver! Dites seulement les choses du passé dans leur réalité, pour que nous examinions et en apprenions les suites, ou faites-nous connaître les événements futurs.
23 Wajulishe kitu kuhusu baadaye, ili tujue kuwa ninyi ni miungu; fanya kitu kizuri au kibaya, ambacho kitatutisha na kutushangaza.
Racontez ce qui va se passer dans l’avenir, pour que nous sachions que vous êtes des dieux; agissez donc en bien ou en mal, et tous nous admirerons en regardant.
24 Tazama sanamu zenu si kitu na matendo yenu si kitu; aliyewachagua ni machukizo.
Allons! Vous êtes néant, et votre œuvre est néant. Qui s’attache à vous est un objet d’horreur!
25 Nimemnyanyua mmoja kutoka kaskazini, naye amekuja kutoka mawio ya jua nimemchagua yeye alitajae jina langu, na atawakanyaga viongozi kama matope, kama mfinyanzi akanyagavyo udongo.
Je l’ai suscité du Nord et il est venu; depuis le Levant, il proclame mon nom. II marche sur les princes comme sur de la boue, tel le potier foule l’argile.
26 Ni nani aliyetangaza hili tangu mwanzo, ili tuweze kujua? na kabla ya mda, ili tuseme, ''Yuko sawasawa''? Kweli hakuna hata mmoja aliyekiri hili, ndio hakuna hata mmoja aliyekusikia ukisema chochote.
Qui a annoncé tout cela dès le premier jour, pour que nous sachions? Dès les temps passés, pour que nous disions: "C’Est juste!" Mais nul ne l’a annoncé, nul ne l’a proclamé, personne n’a même entendu une parole de vous!
27 Kwanza nilizungumza na Sayuni, ''Tazama hapo walipo;'' Nimemtuma mhubiri Yerusalemu.
Moi, le premier, j’ai dit à Sion: "Les voici, les voici!" Et à Jérusalem j’ai envoyé un messager de bonnes nouvelles.
28 Nilipoangalia, hakuna hata mmoja, hakuna hata miongoni mwao ambaye anaweza kutoa ushauri mzuri, nani, lini nimulize, awezaye kunijibu neno.
J’Avais regardé pas un homme! Parmi tous ceux-là, pas un conseiller! Comment les consulter pour qu’ils donnent un avis?
29 Tazama, matendo yao si kitu; sanamu zao za chuma zilizotupwa ni upepo na utupu.
Vraiment, tous ils sont mensonge, et vaine est leur œuvre; leurs idoles ne sont que vent et néant.

< Isaya 41 >