< Isaya 41 >

1 ''Sikilizeni mbele yangu kwa ukimya, enyi mkao pwani; wacha mataifa yapate nguvu kwa upya; waache waje karibu na kuzungumza; na tusogee karibu tujadili mgogoro.
be quiet to(wards) me coastland and people to pass strength to approach: approach then to speak: speak together to/for justice: judgement to present: come
2 Nani aliyechochea juu mmoja kutoka mashariki, anamuita katika haki yake kwenye huduma yake? Amemkabidhi mataifa juu yake ili amsaidie yeye kuwaangamiza wafalme. Aliwajeuza kuwa mavumbi kwa neno lake, kama upepo unaovuma kwenye mabua kwa upinde wake.
who? to rouse from east righteousness to call: call to him to/for foot his to give: give to/for face: before his nation and king to rule to give: do like/as dust sword his like/as stubble to drive bow his
3 Aliwachukuwa wao na kuwapitisha salama, katika njia nyepesi ambayo miguu yake imegusa shida.
to pursue them to pass peace: well-being way in/on/with foot his not to come (in): come
4 Ni nani aliyeyafanya na kukamilisha matendo haya? Ni nanialiyechagua kizazi kutoka mwanzo? Mimi, Yahwe ni mwanzo na mwisho, mimi ndiye.
who? to work and to make: do to call: call to [the] generation from head: first I LORD first and with last I he/she/it
5 Visiwa vimeona na kuogopa; miisho ya dunia yatetemeka; walikaribia n kuja.
to see: see coastland and to fear end [the] land: country/planet to tremble to present: come and to come [emph?]
6 Kila mmoja amsaidie jirani yake, na kila mmoja asemezane na mwenzake, 'Kuwa mfariji;
man: anyone [obj] neighbor his to help and to/for brother: male-sibling his to say to strengthen: strengthen
7 Hivyo basi seremala anamfariji mfua dhahabu, na yule anayefanya kazi kwa kutumia nyundo anamfariji anayefanya kazi kwa chuma, akisema kwa msemo wa kurehemu, ''Ni mizuri; Naye ataupigilia kwa makini misumari ili isipinduke.
and to strengthen: strengthen artificer [obj] to refine to smooth hammer [obj] to smite beat to say to/for joint pleasant he/she/it and to strengthen: strengthen him in/on/with nail not to shake
8 Lakini wewe, Israeli mtumishi wangu, Yakobo niliyekuchagua, mtoto wa Ibrahimu rafiki yangu,
and you(m. s.) Israel servant/slave my Jacob which to choose you seed: children Abraham to love: friend me
9 wewe ambaye ninakurudisha kutoka miisho ya nchi, na ambaye niliyekuita kutoka sehemu ya mbali, na kwako niliyekuambia, 'Wewe ni mtumishi wangu; 'Nimekuchagua wewe na sijakukataa.
which to strengthen: prevail over you from end [the] land: country/planet and from chief her to call: call to you and to say to/for you servant/slave my you(m. s.) to choose you and not to reject you
10 Usiogope maana mimi niko pamoja na wewe. Usiwe na wasiwasi, maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, na nitakusaidia, wewe, na Nitakushika kwa mkono wa haki yangu.
not to fear for with you I not to gaze for I God your to strengthen you also to help you also to grasp you in/on/with right righteousness my
11 Tazama, watakuwa na aibu na hawataheshimiwa, wale wote waliokuwa na hasira na wewe; watakuwa si kitu na watatokomea, wale watakao kupinga wewe.
look! be ashamed and be humiliated all [the] to be incensed in/on/with you to be like/as nothing and to perish human strife your
12 Utawatafuta na wala hautawapata wale wanaopingana na wewe; wale wafanyao vita dhidi yako watakuwa kama si kitu, si kitu kabisa.
to seek them and not to find them human strife your to be like/as nothing and like/as end human battle your
13 Maana mimi Yahwe Mungu wako, nitawashika mkono wako wa kiume, nikikuambia wewe, 'Usiogope; Nitakusaidia wewe.
for I LORD God your to strengthen: hold right your [the] to say to/for you not to fear I to help you
14 Usiogope, Yakobo wewe mdudu, na enyi watu wa Israeli; Nitawasaidia''- hili ni tamko la Yahwe, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli.
not to fear worm Jacob man Israel I to help you utterance LORD and to redeem: redeem your holy Israel
15 Tazama, ninakufanya wewe kuwa chombo kikali cha kuparulia chenye makali pande mbili; utaparua milima na kuiponda; utafanya vilima kama makapi.
behold to set: make you to/for threshing sled sharp new master: owning tooth to tread mountain: mount and to crush and hill like/as chaff to set: make
16 Utawatawanya wao, na upepo utawabeba na kuwapeka mbali; upepo utawatanya wao. Utashanglia katika Yahwe, utashangiliakatika mtakatifu wa Israeli
to scatter them and spirit: breath to lift: bear them and tempest to scatter [obj] them and you(m. s.) to rejoice in/on/with LORD in/on/with holy Israel to boast: boast
17 Waliodhulumiwa na masikini wanatafuta maji, lakini hakuna kitu, ndimi zao zimekauka kwa kiu; Mimi Yahwe, nitajibu maombi yao; Mimi Mungu wa Israeli, sitawacha wao.
[the] afflicted and [the] needy to seek water and nothing tongue their in/on/with thirst be dry I LORD to answer them God Israel not to leave: forsake them
18 Nitatengeneza mikondo ya maji kushusha chini, na chemichem katikati ya mabonde; nitalifanya jangwa kuwa kisima cha maji, na aridhi kavu kuwa chemichem ya maji.
to open upon bareness river and in/on/with midst valley spring to set: make wilderness to/for pool water and land: country/planet dryness to/for exit water
19 Katika jangwa nitapanda mierezi, mshita, mhadisi, na mti wa mizeituni. Nitaotesha mberoshi katika uwazi wa jangwa, pamoja na mbono nitapanda mberoshi kitika jangwa lililowazi.
to give: put in/on/with wilderness cedar acacia and myrtle and tree oil to set: make in/on/with plain cypress elm and boxtree together
20 Nitayafanya haya ili waweze kuona, kutambua na kuelewa kwa pamoja, kwamba mkono wa Yahwe umetenda haya, kama Mtakatifu wa Israeli aliyeliumba.
because to see: see and to know and to set: consider and be prudent together for hand: power LORD to make: do this and holy Israel to create her
21 Wakilisha keshi yako, '' asema Yahwe; ''wakilisha hoja zenu nzuri kwa sanamu yenu,'' asema Mfalme wa Yakobo.
to present: come strife your to say LORD to approach: bring defense your to say king Jacob
22 Waache walete hoja zao wenyewe; waache waje mbele na watutangazie sisi nini kitakachotokea, ili tuweze kuelewa haya mambo vizuri. Tuawaache watupe tamko mapema, ili tuweze kulitafakari na tuweze kujua n kwa jinsi gani litatimia.
to approach: bring and to tell to/for us [obj] which to meet [the] first: previous what? they(fem.) to tell and to set: consider heart our and to know end their or [the] to come (in): come to hear: proclaim us
23 Wajulishe kitu kuhusu baadaye, ili tujue kuwa ninyi ni miungu; fanya kitu kizuri au kibaya, ambacho kitatutisha na kutushangaza.
to tell [the] to come to/for back and to know for God you(m. p.) also be good and be evil and to gaze (and to see: seer *Q(K)*) together
24 Tazama sanamu zenu si kitu na matendo yenu si kitu; aliyewachagua ni machukizo.
look! you(m. p.) from nothing and work your from worthless abomination to choose in/on/with you
25 Nimemnyanyua mmoja kutoka kaskazini, naye amekuja kutoka mawio ya jua nimemchagua yeye alitajae jina langu, na atawakanyaga viongozi kama matope, kama mfinyanzi akanyagavyo udongo.
to rouse from north and to come from east sun to call: call to in/on/with name my and to come (in): come ruler like homer and like to form: potter to trample mud
26 Ni nani aliyetangaza hili tangu mwanzo, ili tuweze kujua? na kabla ya mda, ili tuseme, ''Yuko sawasawa''? Kweli hakuna hata mmoja aliyekiri hili, ndio hakuna hata mmoja aliyekusikia ukisema chochote.
who? to tell from head: first and to know and from to/for face: before and to say righteous also nothing to tell also nothing to hear: proclaim also nothing to hear: hear word your
27 Kwanza nilizungumza na Sayuni, ''Tazama hapo walipo;'' Nimemtuma mhubiri Yerusalemu.
first to/for Zion behold look! they and to/for Jerusalem to bear tidings to give: give
28 Nilipoangalia, hakuna hata mmoja, hakuna hata miongoni mwao ambaye anaweza kutoa ushauri mzuri, nani, lini nimulize, awezaye kunijibu neno.
and to see: see and nothing man and from these and nothing to advise and to ask them and to return: reply word: speaking
29 Tazama, matendo yao si kitu; sanamu zao za chuma zilizotupwa ni upepo na utupu.
look! all their evil: trouble end deed their spirit: breath and formlessness drink offering their

< Isaya 41 >