< Isaya 41 >

1 ''Sikilizeni mbele yangu kwa ukimya, enyi mkao pwani; wacha mataifa yapate nguvu kwa upya; waache waje karibu na kuzungumza; na tusogee karibu tujadili mgogoro.
Be silent to me O islands and peoples let them renew strength let them approach then let them speak together for judgment let us draw near.
2 Nani aliyechochea juu mmoja kutoka mashariki, anamuita katika haki yake kwenye huduma yake? Amemkabidhi mataifa juu yake ili amsaidie yeye kuwaangamiza wafalme. Aliwajeuza kuwa mavumbi kwa neno lake, kama upepo unaovuma kwenye mabua kwa upinde wake.
Who? has he stirred up from [the] east righteousness he calls him to foot his he delivers up before him nations and kings he subdues he makes [them] like dust sword his like chaff driven about bow his.
3 Aliwachukuwa wao na kuwapitisha salama, katika njia nyepesi ambayo miguu yake imegusa shida.
He pursues them he passes on peace a path with feet his not he comes.
4 Ni nani aliyeyafanya na kukamilisha matendo haya? Ni nanialiyechagua kizazi kutoka mwanzo? Mimi, Yahwe ni mwanzo na mwisho, mimi ndiye.
Who? has he done [it] and has he accomplished [it]? calling forth the generations from [the] beginning I Yahweh [am] first and with [the] last I [am] he.
5 Visiwa vimeona na kuogopa; miisho ya dunia yatetemeka; walikaribia n kuja.
They have seen islands so they may be afraid [the] ends of the earth they tremble they have drawn near and they have come!
6 Kila mmoja amsaidie jirani yake, na kila mmoja asemezane na mwenzake, 'Kuwa mfariji;
Each neighbor his they help and to brother his he says be strong.
7 Hivyo basi seremala anamfariji mfua dhahabu, na yule anayefanya kazi kwa kutumia nyundo anamfariji anayefanya kazi kwa chuma, akisema kwa msemo wa kurehemu, ''Ni mizuri; Naye ataupigilia kwa makini misumari ili isipinduke.
And he encouraged a craftsman a metalsmith a smoother of a hammer a striker of an anvil saying of the soldering [is] good it and he strengthened it with nails not it will be shaken.
8 Lakini wewe, Israeli mtumishi wangu, Yakobo niliyekuchagua, mtoto wa Ibrahimu rafiki yangu,
And you O Israel servant my Jacob whom I have chosen you [the] offspring of Abraham friend my.
9 wewe ambaye ninakurudisha kutoka miisho ya nchi, na ambaye niliyekuita kutoka sehemu ya mbali, na kwako niliyekuambia, 'Wewe ni mtumishi wangu; 'Nimekuchagua wewe na sijakukataa.
Whom I took hold of you from [the] ends of the earth and from remotest parts its I called you and I said to you [are] servant my you I have chosen you and not I have rejected you.
10 Usiogope maana mimi niko pamoja na wewe. Usiwe na wasiwasi, maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, na nitakusaidia, wewe, na Nitakushika kwa mkono wa haki yangu.
May not you be afraid for [am] with you I may not you fear for I [am] God your I have strengthened you also I have helped you also I have supported you with [the] right [hand] of righteousness my.
11 Tazama, watakuwa na aibu na hawataheshimiwa, wale wote waliokuwa na hasira na wewe; watakuwa si kitu na watatokomea, wale watakao kupinga wewe.
There! they will be ashamed and they may be put to shame all those [who] are angry with you they will be as nothing so they may perish [the] people of strife your.
12 Utawatafuta na wala hautawapata wale wanaopingana na wewe; wale wafanyao vita dhidi yako watakuwa kama si kitu, si kitu kabisa.
You will seek them and not you will find them [the] people of strife your they will be as nothing and as nothing [the] people of warfare your.
13 Maana mimi Yahwe Mungu wako, nitawashika mkono wako wa kiume, nikikuambia wewe, 'Usiogope; Nitakusaidia wewe.
For I [am] Yahweh God your [who] takes hold of right [hand] your who says to you may not you be afraid I I will help you.
14 Usiogope, Yakobo wewe mdudu, na enyi watu wa Israeli; Nitawasaidia''- hili ni tamko la Yahwe, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli.
May not you be afraid O worm of Jacob O men of Israel I I will help you [the] utterance of Yahweh and [is] redeemer your [the] holy [one] of Israel.
15 Tazama, ninakufanya wewe kuwa chombo kikali cha kuparulia chenye makali pande mbili; utaparua milima na kuiponda; utafanya vilima kama makapi.
Here! I will make you a threshing-sledge sharp new an owner of teeth you will thresh mountains so you may crush [them] and hills like chaff you will make.
16 Utawatawanya wao, na upepo utawabeba na kuwapeka mbali; upepo utawatanya wao. Utashanglia katika Yahwe, utashangiliakatika mtakatifu wa Israeli
You will winnow them and a wind it will carry away them and a tempest it will scatter them and you you will be glad in Yahweh in [the] holy [one] of Israel you will boast.
17 Waliodhulumiwa na masikini wanatafuta maji, lakini hakuna kitu, ndimi zao zimekauka kwa kiu; Mimi Yahwe, nitajibu maombi yao; Mimi Mungu wa Israeli, sitawacha wao.
The poor [people] and the needy [people] [are] seeking water and there not tongue their with thirst it is dry I Yahweh I will answer them [the] God of Israel not I will forsake them.
18 Nitatengeneza mikondo ya maji kushusha chini, na chemichem katikati ya mabonde; nitalifanya jangwa kuwa kisima cha maji, na aridhi kavu kuwa chemichem ya maji.
I will open on bare heights rivers and in [the] middle of valleys springs I will make [the] wilderness a pool of water and a land dry springs of water.
19 Katika jangwa nitapanda mierezi, mshita, mhadisi, na mti wa mizeituni. Nitaotesha mberoshi katika uwazi wa jangwa, pamoja na mbono nitapanda mberoshi kitika jangwa lililowazi.
I will put in the wilderness cedar[s] acacia tree[s] and myrtle tree[s] and tree[s] of oil I will set in the desert plain cypress[es] elm[s] and box tree[s] together.
20 Nitayafanya haya ili waweze kuona, kutambua na kuelewa kwa pamoja, kwamba mkono wa Yahwe umetenda haya, kama Mtakatifu wa Israeli aliyeliumba.
So that they may see so they may know so they may set so they may have insight all together that [the] hand of Yahweh it has done this and [the] holy [one] of Israel he has created it.
21 Wakilisha keshi yako, '' asema Yahwe; ''wakilisha hoja zenu nzuri kwa sanamu yenu,'' asema Mfalme wa Yakobo.
Bring near case your he says Yahweh bring near arguments your he says [the] king of Jacob.
22 Waache walete hoja zao wenyewe; waache waje mbele na watutangazie sisi nini kitakachotokea, ili tuweze kuelewa haya mambo vizuri. Tuawaache watupe tamko mapema, ili tuweze kulitafakari na tuweze kujua n kwa jinsi gani litatimia.
Let them bring [them] near and they may tell to us [the things] which they will happen the former [things] - what? [were] they tell so let us take [them] heart our so we may know end their or the coming [things] proclaim to us.
23 Wajulishe kitu kuhusu baadaye, ili tujue kuwa ninyi ni miungu; fanya kitu kizuri au kibaya, ambacho kitatutisha na kutushangaza.
Tell the [things] coming to afterwards so let us know that [are] gods you also you will do good and you may do harm and let us fear (so let us see *Q(K)*) altogether.
24 Tazama sanamu zenu si kitu na matendo yenu si kitu; aliyewachagua ni machukizo.
Here! you [are] from nothing and work your [is] from something worthless [is] an abomination [one who] he chooses you.
25 Nimemnyanyua mmoja kutoka kaskazini, naye amekuja kutoka mawio ya jua nimemchagua yeye alitajae jina langu, na atawakanyaga viongozi kama matope, kama mfinyanzi akanyagavyo udongo.
I have stirred up from [the] north and he has come from [the] rising of [the] sun he will call on name my so he may come officials like mud and like a potter [who] he tramples clay.
26 Ni nani aliyetangaza hili tangu mwanzo, ili tuweze kujua? na kabla ya mda, ili tuseme, ''Yuko sawasawa''? Kweli hakuna hata mmoja aliyekiri hili, ndio hakuna hata mmoja aliyekusikia ukisema chochote.
Who? did he tell [it] from [the] beginning so we may know and from before so we may say correct also there not [was one who] told also there not [was one who] proclaimed also there not [was one who] heard words your.
27 Kwanza nilizungumza na Sayuni, ''Tazama hapo walipo;'' Nimemtuma mhubiri Yerusalemu.
A first [one] to Zion here! here [are] they and to Jerusalem a bearer of news I gave.
28 Nilipoangalia, hakuna hata mmoja, hakuna hata miongoni mwao ambaye anaweza kutoa ushauri mzuri, nani, lini nimulize, awezaye kunijibu neno.
And [when] I may look and there not [is] a person and from these and there not [is] a counselor and I will ask them and they may bring back a word.
29 Tazama, matendo yao si kitu; sanamu zao za chuma zilizotupwa ni upepo na utupu.
There! all of them [are] deception [are] nothing deeds their [are] a wind and emptiness molten images their.

< Isaya 41 >