< Isaya 40 >

1 ''Faraja, faraja watu wangu,'' amesema Mungu.
»Tolažite, tolažite moje ljudstvo, « govori vaš Bog.
2 ''Ongea kwa upole kwa Yerusalemu; na tangaza vita vimeisha, maana maovu yao yamesamehewa, maana alipokea mara mbili kutoka kwa mkono wa Yahwe kwa dhambi zao.''
»Govorite tolažilno [prestolnici] Jeruzalem in kličite k njej, da je njeno bojevanje dovršeno, da je njena krivičnost odpuščena, kajti iz Gospodove roke je prejela dvojno za vse svoje grehe.«
3 Sauti inalia nje, ''Katika jangwa tengeneza njia ya Yahwe; njoosha njia ya Araba katika njia kuu ya Mungu.''
Glas tistega, ki vpije v divjini: »Pripravite Gospodovo pot, v puščavi izravnajte glavno cesto za našega Boga.
4 Kila bonde litanyanyuliwa juu, kila mlima na kilima kitasawazishwa; na aridhi ya mwinuko itasawazishwa, mahali palipokwaruzwa patakuwa na usawa;
Vsaka dolina naj bo povišana in vsaka gora in hrib naj bosta znižana in skrivljeno naj bo izravnano in gorski grebeni ravnina
5 na utukufu wa Mungu utafunuliwa, na watu wote wataona kwa pamoja; maana mdomo wa Yahwe umezungumza.
in Gospodova slava se bo razodela in vse meso jo bo hkrati videlo, kajti Gospodova usta so to govorila.«
6 Sauti inasema, ''Lia.'' Jibu lingine, ''Kwa nini nilie?'' ''Mwili wote ni nyasi na maagano yaliyoaminika ni kama ua kwenye shamba.
Glas je rekel: »Vpij.« Rekel je: »Kaj naj vpijem?« »Vse meso je trava in vsa njegova ljubkost je kakor cvetica polja.
7 Nyasi zinanyauka na maua yanaperuka pale Yehwe atakapo puliza punzi yake juu yake; hakika ubinadamu ni nyasi.
Trava se suši, cvet veni, ker nanjo piha Gospodov duh. Zagotovo je ljudstvo trava.
8 Nyasi hunyauka, maua hupepea, lakini neno la Yahwe litasimama daima.''
Trava se suši, cvet veni, toda beseda našega Boga bo obstala na veke.«
9 Nenda juu ya mlima mrefu, Sayuni, mbeba taarifa njema. waambie miji ya Yuda, ''Hapa ni Mungu wako!''
Oh Sion, ki prinašaš dobre novice, pojdi gor na visoko goro. Oh Jeruzalem, ki prinašaš dobre novice, povzdigni svoj glas z močjo. Povzdigni ga, ne boj se, govóri Judovim mestom: »Glejte, vaš Bog!«
10 Angalia, Bwana Yahwe anakuja kama mpiganaji shujaa na jeshi imara linatawa juu yake. Ona, zawadi yako iko kwake, na wale walikombolewa wataenda mbele yake.
Glejte, Gospod Bog bo prišel z močno roko in njegov laket bo vladal zanj. Glejte, njegova nagrada je z njim in njegovo delo pred njim.
11 Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya kondoo katika jeshi lake, na kulichukua karibu na moyo wake, kwa upole atawongoza wake kuwauuguza watoto wao.
Svoj trop bo pasel kakor pastir. Jagnjeta bo zbral s svojim laktom in jih nosil v svojem naročju in nežno vodil tiste, ki so z mladiči.
12 Ni nani aliyepima maji ya mashimo kwa mkono wake, anayepima anga kwa urefu wa mkono wake, na kuweka vumbi za nchi katika kikapu, kupima milima kwa mizani, au vilima kwa usawa?
Kdo je izmeril vode z dlanjo svoje roke, s pednjem premeril nebo, doumel prah zemlje po meri in odtehtal gore na vagah in hribe na tehtnici?
13 Ni nani aliyeelewa akili za Yahwe, au kumuelekeza yeye kama mshauri?
Kdo je usmerjal Gospodovega Duha ali je bil njegov svetovalec in ga učil?
14 Ni kutka kwa nani alipokea maelekezo milele? Nani alikufundisha njia sahihi ya kufanya vitu, kumfundisha yeye maarifa, au kumuonyesha njia ya ufahamu?
S kom se je posvetoval in kdo ga je poučeval in ga učil na stezi sodbe in ga učil spoznanja in mu pokazal pot razumevanja?
15 Tazama, Mataifa ni kama tone katika ndoo, na kama mavumbi kwenye mizani; ona, na alipima kisiwa kama tundu.
Glej, narodi so kakor kapljica iz vedra in šteti so kakor majhen prah na tehtnici. Glej, otoke dviguje kakor zelo majhno stvar.
16 Lebanoni sio mafuta ya kutosha, wala wanyama pori wake hawatoshi kwa dhabihu ya kuteketezwa.
Libanon ni zadosten za gorenje niti njegove živali ne zadoščajo za žgalno daritev.
17 Mataifa yote hayatochelezi mbele yake; wanachukuliwa na yeye kama hakuna kitu.
Vsi narodi pred njim so kakor nič in zanj so vsi šteti manj kot nič in ničnost.
18 Ni nanibasi utayemlingalisha na Mungu? Ni kwa sanamu ipi utakayomfananisha nayo?
Komu hočete potem primerjati Boga? Ali kakšno podobnost hočete primerjati k njemu?
19 Sanamu! ambayo fundi ameitupa: Mfua dhahabu ameka pamoja na mikufu bandi ya fedha.
Delavec tali rezano podobo, zlatar jo prevleče z zlatom in uliva srebrne verižice.
20 Kuafanya sadaka hii mtu atachagua kuni ambayo haiozi; anamtafuta fundi mwenye ujuzi wa kutengeneza sanamu ambayo haitaanguka.
Kdor je tako obubožan, da nima daritve, izbira drevo, ki ne bo trohnelo, zanj išče spretnega delavca, da pripravi rezano podobo, ki ne bo omajana.
21 Je hamkujua? Je hamjasikia? Je hamkuambiwa tokea mwanzo? Je hamkuelewa toka misingi ya nchi?
Mar niste vedeli? Mar niste slišali? Mar vam ni bilo to povedano od začetka? Mar niste razumeli od temeljev zemlje?
22 Yeye ndiye aketie juu ya upeo wa macho ya nchi? na wenyeji wake ni kama panzi mbele yake. Akijinyoosha nje ya mbingu ni kama pazia na kutawnya nje kama hema la kuishi.
On je, ki sedi nad zemeljskim krogom, njegovi prebivalci pa so kakor kobilice, ki razprostira nebesa kakor zaveso in jih razširja kakor šotor za prebivanje v njem,
23 Anawapunguza viongozi kuwa si kitu na amewafanya viongozi wa nchi kwa sio wenye umuhimu.
ki prince daje v nič, sodnike zemlje dela kakor ničnost.
24 Tazama wamekuwa wagumu kuotesha; tazama wamekuwa wagumu kupanda; imekuwa ni vigumu kuchukua mzizi katika nchi, kabla ajapuliza juu yao, na wakanyauka, na upepo unawaondosha mbali kama majani.
Da, ne bodo posajeni, da, ne bodo posejani. Da, njihova klada se ne bo zakoreninila v zemlji in nanje bo tudi pihal in se bodo izsušili in vrtinčast veter jih bo odnesel kakor slamo.
25 Ni nani tena utakayemfananisha na mimi, ni nani ninayefanan nae?'' amesema mtakatifu.
»H komu me boste potem primerjali ali [komu] bom enak?« govori Sveti.
26 Tazama juu kwenye anga! Nani aliyeziumba nyota hizi zote? Analileta nje jeshi na anawaita kwa majina yote. Kwa ukuu wa nguvu zake na kwa uimara wa nguvu zake, hakuna hata mmoja atakayekosa.
Povzdignite svoje oči na visoko in glejte, kdo je ustvaril te stvari, ki njihovo vojsko vodi ven po številu. Vse jih kliče po imenih z veličino svoje moči, ker je močan v moči; niti ena ne manjka.
27 Kwa nini unasema, Yakobo, na kutangaza, Israeli, ''Njia yangu imefichwa Yahwe asione, na Mungu wangu hakuwekwa wazi kuhusiana na uthibitisho wangu''?
Zakaj praviš, oh Jakob in govoriš, oh Izrael: »Moja pot je skrita pred Gospodom in moja sodba je šla mimo mojega Boga?
28 Je hakufahamu? Mungu wa milele, Yahwe, Muumbaji wa miisho ya nchi, apatwi na uchovu wala hachoki; hakuna mipaka katika ufahamu wake.
Mar nisi spoznal? Mar nisi slišal, da večen Bog, Gospod, Stvarnik koncev zemlje, ne slabi niti ni izmučen? Njegovega razumevanja ni možno preiskati.
29 Anawapa nguvu waliochoka; na atawapa nguvu mpya waliowadhaifu.
Silo daje slabotnim in tistim, ki nimajo moči, povečuje moč.
30 Hata vijana wadogo watapatwa na uchovu na kuchoka, vijana wadogo watapata mashaka na kuanguka:
Celo mladostniki bodo oslabeli in bodo izmučeni in mladeniči bodo popolnoma padli,
31 Lakini wale watakao mngojea Yahwe watapewa nguvu mpya; na watapaa kwa mbawa kama malaika; watakimbia wala hawatachoka; watatembea wala hawatazimia.
toda tisti, ki čakajo na Gospoda, bodo obnavljali svojo moč, vzpenjali se bodo s perutmi kakor orli, tekli bodo in ne bodo izmučeni in hodili bodo in ne oslabeli.

< Isaya 40 >