< Isaya 40 >
1 ''Faraja, faraja watu wangu,'' amesema Mungu.
Pocieszajcie, pocieszajcie mój lud, mówi wasz Bóg.
2 ''Ongea kwa upole kwa Yerusalemu; na tangaza vita vimeisha, maana maovu yao yamesamehewa, maana alipokea mara mbili kutoka kwa mkono wa Yahwe kwa dhambi zao.''
Przemawiajcie do serca Jerozolimy, wołajcie do niej, że dopełnił się jej postanowiony czas, że została przebaczona jej nieprawość, bo otrzymała z ręki PANA w dwójnasób za wszystkie swoje grzechy.
3 Sauti inalia nje, ''Katika jangwa tengeneza njia ya Yahwe; njoosha njia ya Araba katika njia kuu ya Mungu.''
Głos wołającego na pustyni: Przygotujcie drogę PANA, prostujcie na pustyni ścieżkę naszego Boga.
4 Kila bonde litanyanyuliwa juu, kila mlima na kilima kitasawazishwa; na aridhi ya mwinuko itasawazishwa, mahali palipokwaruzwa patakuwa na usawa;
Każda dolina niech będzie podniesiona, a każda góra i każdy pagórek – obniżone. To, co krzywe, niech się wyprostuje, a wyboiste miejsca niech będą równiną.
5 na utukufu wa Mungu utafunuliwa, na watu wote wataona kwa pamoja; maana mdomo wa Yahwe umezungumza.
Wtedy objawi się chwała PANA i ujrzy to razem wszelkie ciało. Tak bowiem mówiły usta PANA.
6 Sauti inasema, ''Lia.'' Jibu lingine, ''Kwa nini nilie?'' ''Mwili wote ni nyasi na maagano yaliyoaminika ni kama ua kwenye shamba.
Głos przemówił: Wołaj. I zapytano: Co mam wołać? Wszelkie ciało jest trawą, a cały jego wdzięk jak kwiat polny.
7 Nyasi zinanyauka na maua yanaperuka pale Yehwe atakapo puliza punzi yake juu yake; hakika ubinadamu ni nyasi.
Trawa usycha, kwiat więdnie, gdy wiatr PANA powieje na nie. Zaprawdę ludzie są trawą.
8 Nyasi hunyauka, maua hupepea, lakini neno la Yahwe litasimama daima.''
Trawa usycha, kwiat więdnie, ale słowo naszego Boga trwa na wieki.
9 Nenda juu ya mlima mrefu, Sayuni, mbeba taarifa njema. waambie miji ya Yuda, ''Hapa ni Mungu wako!''
Wstąp na wysoką górę, Syjonie, który opowiadasz dobre wieści. Podnieś mocno swój głos, Jerozolimo, która opowiadasz dobre wieści; podnieś [go], nie bój się, powiedz miastom Judy: Oto wasz Bóg.
10 Angalia, Bwana Yahwe anakuja kama mpiganaji shujaa na jeshi imara linatawa juu yake. Ona, zawadi yako iko kwake, na wale walikombolewa wataenda mbele yake.
Oto Pan BÓG przyjdzie z mocą, jego ramię będzie panować. Oto jego zapłata z nim, a jego dzieło przed nim.
11 Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya kondoo katika jeshi lake, na kulichukua karibu na moyo wake, kwa upole atawongoza wake kuwauuguza watoto wao.
Jak pasterz będzie pasł swoją trzodę, swoim ramieniem zgromadzi baranki, na swoim łonie będzie je nosił, a ciężarne poprowadzi ostrożnie.
12 Ni nani aliyepima maji ya mashimo kwa mkono wake, anayepima anga kwa urefu wa mkono wake, na kuweka vumbi za nchi katika kikapu, kupima milima kwa mizani, au vilima kwa usawa?
Kto zmierzył wody swoją garścią, a niebiosa piędzią wymierzył? Kto miarą odmierzył proch ziemi? Kto zważył góry na wadze, a pagórki na szalach?
13 Ni nani aliyeelewa akili za Yahwe, au kumuelekeza yeye kama mshauri?
Kto kierował Duchem PANA, a kto był jego doradcą, aby go pouczać?
14 Ni kutka kwa nani alipokea maelekezo milele? Nani alikufundisha njia sahihi ya kufanya vitu, kumfundisha yeye maarifa, au kumuonyesha njia ya ufahamu?
Kogo się radził, aby nabyć rozumu? Kto pouczył go o ścieżkach sądu? Kto nauczył go wiedzy i wskazał mu drogę roztropności?
15 Tazama, Mataifa ni kama tone katika ndoo, na kama mavumbi kwenye mizani; ona, na alipima kisiwa kama tundu.
Oto narody są jak kropla w wiadrze, znaczą tyle, co pyłek na wadze. Oto porywa wyspy jak bardzo małą rzecz.
16 Lebanoni sio mafuta ya kutosha, wala wanyama pori wake hawatoshi kwa dhabihu ya kuteketezwa.
I Libanu nie wystarczy na ogień ani jego zwierzyny nie wystarczy na całopalenie.
17 Mataifa yote hayatochelezi mbele yake; wanachukuliwa na yeye kama hakuna kitu.
Wszystkie narody przed nim są niczym; uważa je za nicość i marność.
18 Ni nanibasi utayemlingalisha na Mungu? Ni kwa sanamu ipi utakayomfananisha nayo?
Do kogo więc przyrównacie Boga? A jaką podobiznę z nim porównacie?
19 Sanamu! ambayo fundi ameitupa: Mfua dhahabu ameka pamoja na mikufu bandi ya fedha.
Rzemieślnik odlewa posąg, a złotnik powleka go złotem i odlewa do niego srebrne łańcuszki.
20 Kuafanya sadaka hii mtu atachagua kuni ambayo haiozi; anamtafuta fundi mwenye ujuzi wa kutengeneza sanamu ambayo haitaanguka.
Kogo z powodu ubóstwa nie stać na ofiarę, wybiera drzewo, które nie próchnieje; wyszukuje zdolnego rzemieślnika, aby przygotował rzeźbiony posąg, który się nie chwieje.
21 Je hamkujua? Je hamjasikia? Je hamkuambiwa tokea mwanzo? Je hamkuelewa toka misingi ya nchi?
Czy nie wiecie? Czy nie słyszeliście? Czy wam nie opowiadano od początku? Czy nie zrozumieliście [tego] od założenia fundamentów ziemi?
22 Yeye ndiye aketie juu ya upeo wa macho ya nchi? na wenyeji wake ni kama panzi mbele yake. Akijinyoosha nje ya mbingu ni kama pazia na kutawnya nje kama hema la kuishi.
[To] ten, który zasiada nad okręgiem ziemi – jej mieszkańcy są jak szarańcza; ten, który rozpostarł niebiosa jak zasłonę i rozciągnął je jak namiot mieszkalny;
23 Anawapunguza viongozi kuwa si kitu na amewafanya viongozi wa nchi kwa sio wenye umuhimu.
Ten, który książąt obraca wniwecz, sędziów ziemi czyni nicością.
24 Tazama wamekuwa wagumu kuotesha; tazama wamekuwa wagumu kupanda; imekuwa ni vigumu kuchukua mzizi katika nchi, kabla ajapuliza juu yao, na wakanyauka, na upepo unawaondosha mbali kama majani.
Nie będą wszczepieni ani posiani ani ich pień nie zakorzeni się w ziemi; powieje na nich, wnet usychają, a wicher unosi ich jak ściernisko.
25 Ni nani tena utakayemfananisha na mimi, ni nani ninayefanan nae?'' amesema mtakatifu.
Do kogo więc mnie przyrównacie, abym był do niego podobny? – mówi Święty.
26 Tazama juu kwenye anga! Nani aliyeziumba nyota hizi zote? Analileta nje jeshi na anawaita kwa majina yote. Kwa ukuu wa nguvu zake na kwa uimara wa nguvu zake, hakuna hata mmoja atakayekosa.
Podnieście w górę swoje oczy i patrzcie: Kto stworzył te rzeczy? Ten, kto wyprowadza ich zastępy według liczby i to wszystko po imieniu nazywa, według ogromu jego siły i wielkiej potęgi, tak że ani jedna z nich nie zginie?
27 Kwa nini unasema, Yakobo, na kutangaza, Israeli, ''Njia yangu imefichwa Yahwe asione, na Mungu wangu hakuwekwa wazi kuhusiana na uthibitisho wangu''?
Czemu więc mówisz, Jakubie, i twierdzisz, Izraelu: Zakryta jest moja droga przed PANEM, a moja sprawa nie dociera do mego Boga?
28 Je hakufahamu? Mungu wa milele, Yahwe, Muumbaji wa miisho ya nchi, apatwi na uchovu wala hachoki; hakuna mipaka katika ufahamu wake.
Czy nie wiesz? Czy nie słyszałeś, że wieczny Bóg, PAN, Stwórca krańców ziemi, nie ustaje ani się nie męczy i że jego mądrość jest niezgłębiona?
29 Anawapa nguvu waliochoka; na atawapa nguvu mpya waliowadhaifu.
On dodaje siły spracowanemu i przymnaża mocy temu, który nie ma żadnej siły.
30 Hata vijana wadogo watapatwa na uchovu na kuchoka, vijana wadogo watapata mashaka na kuanguka:
Młodzież ustaje i mdleje, a młodzieńcy potykają się i padają;
31 Lakini wale watakao mngojea Yahwe watapewa nguvu mpya; na watapaa kwa mbawa kama malaika; watakimbia wala hawatachoka; watatembea wala hawatazimia.
Ale ci, którzy oczekują PANA, nabiorą nowych sił; wzbiją się na skrzydłach jak orły, będą biec, a się nie zmęczą, będą chodzić, a nie ustaną.