< Isaya 40 >

1 ''Faraja, faraja watu wangu,'' amesema Mungu.
Consolez, consolez mon peuple, dit votre Dieu.
2 ''Ongea kwa upole kwa Yerusalemu; na tangaza vita vimeisha, maana maovu yao yamesamehewa, maana alipokea mara mbili kutoka kwa mkono wa Yahwe kwa dhambi zao.''
Parlez au cœur de Jérusalem, et criez-lui que son temps d’épreuve est fini, que son crime est expié, qu’elle a reçu de la main du Seigneur double peine pour toutes ses fautes.
3 Sauti inalia nje, ''Katika jangwa tengeneza njia ya Yahwe; njoosha njia ya Araba katika njia kuu ya Mungu.''
Une voix proclame: "Dans le désert, déblayez la route de l’Eternel; nivelez, dans la campagne aride, une chaussée pour notre Dieu!
4 Kila bonde litanyanyuliwa juu, kila mlima na kilima kitasawazishwa; na aridhi ya mwinuko itasawazishwa, mahali palipokwaruzwa patakuwa na usawa;
Que toute vallée soit exhaussée, que toute montagne et colline s’abaissent, que les pentes se changent en plaines, les crêtes escarpées en vallons!
5 na utukufu wa Mungu utafunuliwa, na watu wote wataona kwa pamoja; maana mdomo wa Yahwe umezungumza.
La gloire du Seigneur va se révéler, et toutes les créatures, ensemble, en seront témoins: c’est la bouche de l’Eternel qui le déclare."
6 Sauti inasema, ''Lia.'' Jibu lingine, ''Kwa nini nilie?'' ''Mwili wote ni nyasi na maagano yaliyoaminika ni kama ua kwenye shamba.
Une voix dit: "Proclame!" Et on a répondu: "Que proclamerai-je?" "Toute chair est comme de l’herbe, et toute sa beauté est comme la fleur des champs.
7 Nyasi zinanyauka na maua yanaperuka pale Yehwe atakapo puliza punzi yake juu yake; hakika ubinadamu ni nyasi.
L’Herbe se dessèche, la fleur se fane, quand l’haleine du Seigneur a soufflé sur elles. Or, le peuple est comme cette herbe.
8 Nyasi hunyauka, maua hupepea, lakini neno la Yahwe litasimama daima.''
L’Herbe se dessèche, la fleur se fane, mais la parole de notre Dieu subsiste à jamais."
9 Nenda juu ya mlima mrefu, Sayuni, mbeba taarifa njema. waambie miji ya Yuda, ''Hapa ni Mungu wako!''
Monte sur une montagne élevée, porteuse de bonnes nouvelles pour Sion, élève ta voix avec force, messagère de Jérusalem! Elève-la sans crainte, annonce aux villes de Juda: "Voici votre Dieu!"
10 Angalia, Bwana Yahwe anakuja kama mpiganaji shujaa na jeshi imara linatawa juu yake. Ona, zawadi yako iko kwake, na wale walikombolewa wataenda mbele yake.
Oui, voici le Seigneur, l’Eternel, s’avançant en héros, avec son bras triomphant; voici, il apporte son salaire avec lui, et sa rémunération le précède.
11 Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya kondoo katika jeshi lake, na kulichukua karibu na moyo wake, kwa upole atawongoza wake kuwauuguza watoto wao.
Tel un berger, menant paître son troupeau, recueille les agneaux dans ses bras, les porte dans son sein et conduit avec douceur les mères qui allaitent.
12 Ni nani aliyepima maji ya mashimo kwa mkono wake, anayepima anga kwa urefu wa mkono wake, na kuweka vumbi za nchi katika kikapu, kupima milima kwa mizani, au vilima kwa usawa?
Qui a mesuré les eaux dans le creux de sa main, pris les dimensions du ciel à l’empan? Qui a jaugé la poussière de la terre, pesé au crochet les montagnes, et les coteaux avec une balance?
13 Ni nani aliyeelewa akili za Yahwe, au kumuelekeza yeye kama mshauri?
Qui a embrassé l’esprit de l’Eternel? Qui a été le conseiller de sa pensée?
14 Ni kutka kwa nani alipokea maelekezo milele? Nani alikufundisha njia sahihi ya kufanya vitu, kumfundisha yeye maarifa, au kumuonyesha njia ya ufahamu?
Avec qui a-t-il délibéré pour s’éclairer, pour apprendre la voie de la justice? Qui lui a donné des leçons de sagesse et indiqué le chemin de l’intelligence?
15 Tazama, Mataifa ni kama tone katika ndoo, na kama mavumbi kwenye mizani; ona, na alipima kisiwa kama tundu.
Certes, les nations, à ses yeux, sont comme une goutte tombant du seau, comme un grain de poussière dans la balance; certes, il ballotterait les îles comme des atomes.
16 Lebanoni sio mafuta ya kutosha, wala wanyama pori wake hawatoshi kwa dhabihu ya kuteketezwa.
Le Liban ne suffirait pas à nourrir le feu de son autel; ses bêtes ne suffiraient pas à un holocauste.
17 Mataifa yote hayatochelezi mbele yake; wanachukuliwa na yeye kama hakuna kitu.
Toutes les nations sont comme rien devant lui; il les considère comme le vide et le néant.
18 Ni nanibasi utayemlingalisha na Mungu? Ni kwa sanamu ipi utakayomfananisha nayo?
À qui donc pourriez-vous comparer Dieu et quelle image lui donneriez-vous comme pendant?
19 Sanamu! ambayo fundi ameitupa: Mfua dhahabu ameka pamoja na mikufu bandi ya fedha.
Une statue est coulée par le fondeur, plaquée d’or par l’orfèvre, qui la garnit encore de chaînettes d’argent.
20 Kuafanya sadaka hii mtu atachagua kuni ambayo haiozi; anamtafuta fundi mwenye ujuzi wa kutengeneza sanamu ambayo haitaanguka.
Celui qui est trop pauvre pour une telle offrande choisit un bois incorruptible, puis s’en va chercher un ouvrier habile, pour fabriquer une idole qui ne bronche jamais.
21 Je hamkujua? Je hamjasikia? Je hamkuambiwa tokea mwanzo? Je hamkuelewa toka misingi ya nchi?
Vous ne savez donc pas! Vous ne comprenez donc pas! Ne vous l’a-t-on pas appris dès l’origine? Ne saisissez-vous pas ce qu’enseignent les fondements de la terre?
22 Yeye ndiye aketie juu ya upeo wa macho ya nchi? na wenyeji wake ni kama panzi mbele yake. Akijinyoosha nje ya mbingu ni kama pazia na kutawnya nje kama hema la kuishi.
C’Est Lui qui siège au-dessus du globe de la terre, dont les habitants sont pour lui comme des sauterelles; c’est Lui qui déroule les cieux comme une tenture, qui les déploie comme un pavillon, pour sa résidence.
23 Anawapunguza viongozi kuwa si kitu na amewafanya viongozi wa nchi kwa sio wenye umuhimu.
C’Est lui qui réduit les princes à néant, qui fait un rien des arbitres du monde.
24 Tazama wamekuwa wagumu kuotesha; tazama wamekuwa wagumu kupanda; imekuwa ni vigumu kuchukua mzizi katika nchi, kabla ajapuliza juu yao, na wakanyauka, na upepo unawaondosha mbali kama majani.
À peine sont-ils plantés, à peine sont-ils semés, à peine leur tronc a-t-il pris racine dans le sol, que déjà il souffle sur eux et ils se dessèchent, et un ouragan les emporte comme le chaume.
25 Ni nani tena utakayemfananisha na mimi, ni nani ninayefanan nae?'' amesema mtakatifu.
"À qui donc m’assimilerez-vous, à qui vais-je ressembler?" dit le Saint.
26 Tazama juu kwenye anga! Nani aliyeziumba nyota hizi zote? Analileta nje jeshi na anawaita kwa majina yote. Kwa ukuu wa nguvu zake na kwa uimara wa nguvu zake, hakuna hata mmoja atakayekosa.
Levez les regards vers les cieux et voyez! Qui les a appelés à l’existence? Qui fait défiler leur armée en bon ordre? Tous, il les appelle par leur nom, et telle est sa puissance et son autorité souveraine que pas un ne fait défaut.
27 Kwa nini unasema, Yakobo, na kutangaza, Israeli, ''Njia yangu imefichwa Yahwe asione, na Mungu wangu hakuwekwa wazi kuhusiana na uthibitisho wangu''?
Pourquoi dis-tu, ô Jacob, t’écries-tu, ô Israël: "Ma voie est inconnue à l’Eternel, mon droit échappe à mon Dieu?"
28 Je hakufahamu? Mungu wa milele, Yahwe, Muumbaji wa miisho ya nchi, apatwi na uchovu wala hachoki; hakuna mipaka katika ufahamu wake.
Ne le sais-tu donc pas? Ne l’as-tu pas ouï dire? Le Seigneur est le Dieu de l’Eternité, le Créateur des dernières limites du monde; il n’éprouve ni fatigue, ni lassitude: il n’est point de bornes à son intelligence!
29 Anawapa nguvu waliochoka; na atawapa nguvu mpya waliowadhaifu.
Il redonne la vigueur au courbaturé et double le courage de celui qui est à bout de forces.
30 Hata vijana wadogo watapatwa na uchovu na kuchoka, vijana wadogo watapata mashaka na kuanguka:
Que les adolescents soient las et harassés, que les jeunes gens tombent en défaillance!
31 Lakini wale watakao mngojea Yahwe watapewa nguvu mpya; na watapaa kwa mbawa kama malaika; watakimbia wala hawatachoka; watatembea wala hawatazimia.
Ceux qui mettent leur espoir en Dieu acquièrent de nouvelles forces, ils prennent le rapide essor des aigles; ils courent et ne sont pas fatigués, ils vont et ne se lassent point.

< Isaya 40 >