< Isaya 40 >
1 ''Faraja, faraja watu wangu,'' amesema Mungu.
Our God says, “Encourage my people! Encourage them!
2 ''Ongea kwa upole kwa Yerusalemu; na tangaza vita vimeisha, maana maovu yao yamesamehewa, maana alipokea mara mbili kutoka kwa mkono wa Yahwe kwa dhambi zao.''
Speak kindly to [the people of] Jerusalem; tell them that their suffering is ended, and that I have forgiven them for the sins that they have committed; I [SYN] have fully punished them for their sins.”
3 Sauti inalia nje, ''Katika jangwa tengeneza njia ya Yahwe; njoosha njia ya Araba katika njia kuu ya Mungu.''
I hear someone who is shouting, “Prepare in the desert a way for Yahweh to come [to you]; make a smooth road for our God (OR, Prepare yourselves to receive Yahweh when he comes, like people make a straight road for an important official [MET]).
4 Kila bonde litanyanyuliwa juu, kila mlima na kilima kitasawazishwa; na aridhi ya mwinuko itasawazishwa, mahali palipokwaruzwa patakuwa na usawa;
Fill in the valleys; flatten every hill and every mountain. Make the uneven ground smooth, and make the rough places smooth.
5 na utukufu wa Mungu utafunuliwa, na watu wote wataona kwa pamoja; maana mdomo wa Yahwe umezungumza.
[If you do that], it will become known that Yahweh is glorious/great, and all people will realize it at the same time. [Those things will surely happen] because it is Yahweh who has said [MTY] it.”
6 Sauti inasema, ''Lia.'' Jibu lingine, ''Kwa nini nilie?'' ''Mwili wote ni nyasi na maagano yaliyoaminika ni kama ua kwenye shamba.
Someone said to me, “Shout!” I replied, “What should I shout?” [He replied], “[Shout that] people are like [SIM] grass; their influence fades as quickly as flowers in the field.
7 Nyasi zinanyauka na maua yanaperuka pale Yehwe atakapo puliza punzi yake juu yake; hakika ubinadamu ni nyasi.
Grass withers and flowers dry up when Yahweh causes a hot wind from the desert to blow on them. And people are [MET] like that.
8 Nyasi hunyauka, maua hupepea, lakini neno la Yahwe litasimama daima.''
The grass withers and the flowers dry up, but what our God promises will last forever.”
9 Nenda juu ya mlima mrefu, Sayuni, mbeba taarifa njema. waambie miji ya Yuda, ''Hapa ni Mungu wako!''
You [people of] Jerusalem, you have good news to tell to people, so, shout it from the top of a high mountain! Shout it loudly, and do not be afraid! Tell the people in the towns of Judah, “Your God is coming here!”
10 Angalia, Bwana Yahwe anakuja kama mpiganaji shujaa na jeshi imara linatawa juu yake. Ona, zawadi yako iko kwake, na wale walikombolewa wataenda mbele yake.
Yahweh your God will be coming with power; he will rule powerfully [MTY]. And when he comes, he will bring with him the people whom he has freed [MET] [from being slaves in Babylonia].
11 Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya kondoo katika jeshi lake, na kulichukua karibu na moyo wake, kwa upole atawongoza wake kuwauuguza watoto wao.
He will take care of his people like [SIM] a shepherd takes care of his sheep, and carries the young lambs in his arms. He carries them close to his chest and he gently leads the female sheep that are nursing their young lambs.
12 Ni nani aliyepima maji ya mashimo kwa mkono wake, anayepima anga kwa urefu wa mkono wake, na kuweka vumbi za nchi katika kikapu, kupima milima kwa mizani, au vilima kwa usawa?
[There is no one like Yahweh]! (Who else has measured the water in the oceans in the palm of his hand?/No one else has measured the water in the oceans in the palm of his hand!) [RHQ] (Who else has measured the sky with his fingers?/No one else has measured the sky with his fingers!) [RHQ] (Who else knows how much the earth weighs?/No one else knows how much the earth weighs!) [RHQ] (Who else has weighed the mountains and hills on scales?/No one else has weighed the mountains and hills on scales!) [RHQ]
13 Ni nani aliyeelewa akili za Yahwe, au kumuelekeza yeye kama mshauri?
And (who else can advise Yahweh’s Spirit?/No one else can advise Yahweh’s Spirit!) [RHQ] (Who can teach him or advise/tell him what he should do?/No one can teach him or advise/tell him what he should do!) [RHQ]
14 Ni kutka kwa nani alipokea maelekezo milele? Nani alikufundisha njia sahihi ya kufanya vitu, kumfundisha yeye maarifa, au kumuonyesha njia ya ufahamu?
(Has Yahweh consulted anyone else to get advice?/Yahweh has certainly not consulted anyone else to get advice!) [RHQ] (Does he need someone to tell him what is right to do and how to act justly?/He certainly does not need someone to tell him what is right to do and how to act justly!) [RHQ]
15 Tazama, Mataifa ni kama tone katika ndoo, na kama mavumbi kwenye mizani; ona, na alipima kisiwa kama tundu.
[Yahweh considers that] the nations are [as insignificant as] [MET] one drop from a bucket [full of water]. They are [as insignificant as] dust on scales. He is able to weigh islands [as though they weighed no more than] grains of sand.
16 Lebanoni sio mafuta ya kutosha, wala wanyama pori wake hawatoshi kwa dhabihu ya kuteketezwa.
There would be [not] enough wood from all the trees in Lebanon to make a suitable fire for [sacrificing animals to] him, and there are not enough animals in Lebanon to offer as sacrifices to him.
17 Mataifa yote hayatochelezi mbele yake; wanachukuliwa na yeye kama hakuna kitu.
The nations of the world are completely insignificant/unimportant to him; he considers that they are worthless and less than nothing [HYP, DOU].
18 Ni nanibasi utayemlingalisha na Mungu? Ni kwa sanamu ipi utakayomfananisha nayo?
So, to whom can you compare God? What image resembles him?
19 Sanamu! ambayo fundi ameitupa: Mfua dhahabu ameka pamoja na mikufu bandi ya fedha.
Can you compare him to an idol that is made in a mold, and then is covered with [a thin sheet of] gold and decorated with silver chains?
20 Kuafanya sadaka hii mtu atachagua kuni ambayo haiozi; anamtafuta fundi mwenye ujuzi wa kutengeneza sanamu ambayo haitaanguka.
A man who is poor [cannot buy silver or gold for his idol]; [so] he selects a piece of wood that will not rot, and he gives it to a craftsman to carve an idol that will not fall down!
21 Je hamkujua? Je hamjasikia? Je hamkuambiwa tokea mwanzo? Je hamkuelewa toka misingi ya nchi?
Have you(pl) not heard this? Do you not understand it? Are you unable to hear what God said long ago— [messages that he gave] before he created the earth?
22 Yeye ndiye aketie juu ya upeo wa macho ya nchi? na wenyeji wake ni kama panzi mbele yake. Akijinyoosha nje ya mbingu ni kama pazia na kutawnya nje kama hema la kuishi.
God sits [on his throne] above the earth, and the people [on the earth] below seem to be [as small] as [SIM] grasshoppers. He spreads out the sky like a curtain; it is like [SIM] a tent for him to live in.
23 Anawapunguza viongozi kuwa si kitu na amewafanya viongozi wa nchi kwa sio wenye umuhimu.
He causes kings to have no more power, and he causes the rulers to be worth nothing.
24 Tazama wamekuwa wagumu kuotesha; tazama wamekuwa wagumu kupanda; imekuwa ni vigumu kuchukua mzizi katika nchi, kabla ajapuliza juu yao, na wakanyauka, na upepo unawaondosha mbali kama majani.
They start to rule, like small plants start to grow and form roots; but then [he gets rid of them] as though [MET] they withered when he blew on them, like [SIM] chaff that is blown away by the wind.
25 Ni nani tena utakayemfananisha na mimi, ni nani ninayefanan nae?'' amesema mtakatifu.
The Holy One asks, “To whom will you compare me? Is anyone equal to me?”
26 Tazama juu kwenye anga! Nani aliyeziumba nyota hizi zote? Analileta nje jeshi na anawaita kwa majina yote. Kwa ukuu wa nguvu zake na kwa uimara wa nguvu zake, hakuna hata mmoja atakayekosa.
Look up toward the sky: Consider who [RHQ] created all the stars. [Yahweh created them], and at night he causes them to appear; he calls each one by its name. Because he is extremely powerful [DOU], all of the stars are there [LIT] [when he calls out their names].
27 Kwa nini unasema, Yakobo, na kutangaza, Israeli, ''Njia yangu imefichwa Yahwe asione, na Mungu wangu hakuwekwa wazi kuhusiana na uthibitisho wangu''?
You people of Israel [DOU], why do you complain that Yahweh does not see the [troubles that you are experiencing]? Why do you say that he does not act fairly toward you?
28 Je hakufahamu? Mungu wa milele, Yahwe, Muumbaji wa miisho ya nchi, apatwi na uchovu wala hachoki; hakuna mipaka katika ufahamu wake.
Have you never heard and have you never understood that Yahweh is the everlasting God; he is the one who created the earth, [even the] most distant places on the earth. He never becomes weak or weary, and no one can find out how much he understands.
29 Anawapa nguvu waliochoka; na atawapa nguvu mpya waliowadhaifu.
He strengthens [DOU] those who feel weak and tired.
30 Hata vijana wadogo watapatwa na uchovu na kuchoka, vijana wadogo watapata mashaka na kuanguka:
Even youths become faint and weary, and young men will fall when they are exhausted.
31 Lakini wale watakao mngojea Yahwe watapewa nguvu mpya; na watapaa kwa mbawa kama malaika; watakimbia wala hawatachoka; watatembea wala hawatazimia.
But those who trust in Yahweh will become strong again; [it will be as though] they will soar/fly high like [SIM] eagles do. They will run [for a long time] and not become weary; they will walk [long distances] and not faint.