< Isaya 4 >

1 Siku hiyo wanawake saba watamchukua mwanaume mmoja na kusema, ''Tutakula chakula chetu wenyewe, tutavaa nguo zetu wenyewe. lakini tunahitaji kuchukua jina lako ili tuondoe haibu zetu.''
در آن زمان تعداد مردان به قدری کم خواهد بود که هفت زن دست به دامن یک مرد شده، خواهند گفت: «ما خود خوراک و پوشاک خود را تهیه می‌کنیم. فقط اجازه بده تو را شوهر خود بخوانیم تا نزد مردم شرمگین نشویم.»
2 Na siku hiyo tawi zuri la Yahwe na utukufu, na matunda yatakuwa na ladha nzuri na kupendeza kwa wale wanaoishi Israeli.
در آن روز شاخهٔ خداوند زیبا و پرشکوه خواهد بود و ثمری که خداوند در اسرائیل تولید نموده است مایۀ فخر و زینت نجات یافتگان آن سرزمین خواهد گردید.
3 Itatokea kwa yule aliyeachwa Sayuni na wale waliobakia Yerusalemu wataitwa watakatifu, yeyeto aliyeandikwa chini anaishi Yerusalemu.
کسانی که برگزیده شده‌اند تا در اورشلیم زنده بمانند، در امان خواهند بود و قوم پاک خدا نامیده خواهند شد.
4 Hii itatokea pale ambapo Bwana atasafisha uchafu wa mabinti wa Sayuni, na atasafisha madoa ya damu kutoka kati ya Yerusalemu, kwa namna ya roho ya hukumu na roho ya kuungua na moto.
خداوند نجاست دختران صهیون را خواهد شست و لکه‌های خون اورشلیم را با روح داوری و روح آتشین پاک خواهد کرد.
5 Tena juu ya mlima wote wa Sayuni na mahali pakuksanyikia, Yahwe atafanya wingu na moshi kwa wakati wa mchana na moto unaong'a wakati wa usiku; na itakuwa dari juu ya utukufu wote.
سایهٔ خداوند بر سر همهٔ ساکنان اورشلیم خواهد بود و او مانند گذشته، در روز با ابر غلیظ و در شب با شعلهٔ آتش از ایشان محافظت خواهد کرد.
6 kutakuwa na kivuli kwenye makazi wakati mchana kuzuia jua, na kimbilio na mfuniko kutoka kwenye mawimbi na mvua.
جلال او در گرمای روز سایبان ایشان خواهد بود و در باران و طوفان پناهگاه ایشان.

< Isaya 4 >