< Isaya 4 >
1 Siku hiyo wanawake saba watamchukua mwanaume mmoja na kusema, ''Tutakula chakula chetu wenyewe, tutavaa nguo zetu wenyewe. lakini tunahitaji kuchukua jina lako ili tuondoe haibu zetu.''
and to strengthen: hold seven woman in/on/with man one in/on/with day [the] he/she/it to/for to say food: bread our to eat and mantle our to clothe except to call: call by name your upon us to gather reproach our
2 Na siku hiyo tawi zuri la Yahwe na utukufu, na matunda yatakuwa na ladha nzuri na kupendeza kwa wale wanaoishi Israeli.
in/on/with day [the] he/she/it to be branch LORD to/for beauty and to/for glory and fruit [the] land: country/planet to/for pride and to/for beauty to/for survivor Israel
3 Itatokea kwa yule aliyeachwa Sayuni na wale waliobakia Yerusalemu wataitwa watakatifu, yeyeto aliyeandikwa chini anaishi Yerusalemu.
and to be [the] to remain in/on/with Zion and [the] to remain in/on/with Jerusalem holy to say to/for him all [the] to write to/for life in/on/with Jerusalem
4 Hii itatokea pale ambapo Bwana atasafisha uchafu wa mabinti wa Sayuni, na atasafisha madoa ya damu kutoka kati ya Yerusalemu, kwa namna ya roho ya hukumu na roho ya kuungua na moto.
if to wash: wash Lord [obj] filth daughter Zion and [obj] blood Jerusalem to wash from entrails: among her in/on/with spirit justice: judgement and in/on/with spirit to burn: burn
5 Tena juu ya mlima wote wa Sayuni na mahali pakuksanyikia, Yahwe atafanya wingu na moshi kwa wakati wa mchana na moto unaong'a wakati wa usiku; na itakuwa dari juu ya utukufu wote.
and to create LORD upon all foundation mountain: mount Zion and upon assembly her cloud by day and smoke and brightness fire flame night for upon all glory canopy
6 kutakuwa na kivuli kwenye makazi wakati mchana kuzuia jua, na kimbilio na mfuniko kutoka kwenye mawimbi na mvua.
and booth to be to/for shadow by day from drought and to/for refuge and to/for shelter from storm and from rain