< Isaya 4 >

1 Siku hiyo wanawake saba watamchukua mwanaume mmoja na kusema, ''Tutakula chakula chetu wenyewe, tutavaa nguo zetu wenyewe. lakini tunahitaji kuchukua jina lako ili tuondoe haibu zetu.''
And they will take hold seven women on a man one in the day that saying own food our we will eat and own clothing our we will wear only let it be called name your on us remove reproach our.
2 Na siku hiyo tawi zuri la Yahwe na utukufu, na matunda yatakuwa na ladha nzuri na kupendeza kwa wale wanaoishi Israeli.
In the day that it will become [the] branch of Yahweh beauty and glory and [the] fruit of the land exaltation and honor for [the] escaped remnant of Israel.
3 Itatokea kwa yule aliyeachwa Sayuni na wale waliobakia Yerusalemu wataitwa watakatifu, yeyeto aliyeandikwa chini anaishi Yerusalemu.
And it will be - who remains in Zion and [one who is] left behind in Jerusalem holy it will be said of him every [one] recorded for life in Jerusalem.
4 Hii itatokea pale ambapo Bwana atasafisha uchafu wa mabinti wa Sayuni, na atasafisha madoa ya damu kutoka kati ya Yerusalemu, kwa namna ya roho ya hukumu na roho ya kuungua na moto.
If - he has washed away [the] Lord [the] excrement of [the] daughters of Zion and [the] blood of Jerusalem he will cleanse from midst its by a spirit of judgment and by a spirit of burning.
5 Tena juu ya mlima wote wa Sayuni na mahali pakuksanyikia, Yahwe atafanya wingu na moshi kwa wakati wa mchana na moto unaong'a wakati wa usiku; na itakuwa dari juu ya utukufu wote.
And he will create Yahweh over all [the] place of [the] mountain of Zion and over convocations its a cloud - by day and smoke and brightness of fire a flame night for [will be] over all [the] glory a canopy.
6 kutakuwa na kivuli kwenye makazi wakati mchana kuzuia jua, na kimbilio na mfuniko kutoka kwenye mawimbi na mvua.
And a shelter it will be for shade by day from [the] heat and for refuge and for shelter from [the] storm and from [the] rain.

< Isaya 4 >