< Isaya 4 >

1 Siku hiyo wanawake saba watamchukua mwanaume mmoja na kusema, ''Tutakula chakula chetu wenyewe, tutavaa nguo zetu wenyewe. lakini tunahitaji kuchukua jina lako ili tuondoe haibu zetu.''
At that time seven women will grab hold of one man and tell him, “We'll eat our own food and we can provide our own clothes. Just let us take your name by being married to you. Please take away our disgrace!”
2 Na siku hiyo tawi zuri la Yahwe na utukufu, na matunda yatakuwa na ladha nzuri na kupendeza kwa wale wanaoishi Israeli.
But at that time, the “branch of the Lord” will be attractive and glorious; the fruit the land produces will be the pride and glory of the survivors who are left in Israel.
3 Itatokea kwa yule aliyeachwa Sayuni na wale waliobakia Yerusalemu wataitwa watakatifu, yeyeto aliyeandikwa chini anaishi Yerusalemu.
Everyone who remains in Zion will be called holy—all of those who are recorded among the living in Jerusalem—
4 Hii itatokea pale ambapo Bwana atasafisha uchafu wa mabinti wa Sayuni, na atasafisha madoa ya damu kutoka kati ya Yerusalemu, kwa namna ya roho ya hukumu na roho ya kuungua na moto.
once the Lord has washed away the excrement of the daughters of Zion, and cleaned the bloodstains from Jerusalem by a spirit of judgment and a spirit of fire.
5 Tena juu ya mlima wote wa Sayuni na mahali pakuksanyikia, Yahwe atafanya wingu na moshi kwa wakati wa mchana na moto unaong'a wakati wa usiku; na itakuwa dari juu ya utukufu wote.
Then the Lord will create over the whole of Mount Zion and over the assembly of those who meet there a cloud of smoke during the day and a blazing flame of fire during night—over everything there will be this glorious canopy.
6 kutakuwa na kivuli kwenye makazi wakati mchana kuzuia jua, na kimbilio na mfuniko kutoka kwenye mawimbi na mvua.
It will provide a place to stay in the shade of the daytime heat, and a shelter to hide from storm and rain.

< Isaya 4 >