< Isaya 39 >

1 Katika mda ule Merodaki mtoto wa Baladani, mfalme wa Babeli, alituma zawadi na barua kwa Hezekia; maana alisikia Hezekia alikuwa anaumwa na amepona.
Hiche phat chomkhat jouvin, Baladan chapa Merodach-baladan Babylon lengpan, Hezekiah chu deisahna thuthot leh thilpeh ho athotnin ahi. Aman Hezekiah chu nasatah in anadam mon, tun adamdoh tai tithu ana jah ahi.
2 Hezekia alifurahishwa na hivi vitu; alimuonyesha mjumbe nyumba ya ghala la vitu vya thamani- vitu kama fedha, dhahabu, viungo, na mafuta ya thamani, ghala la kuwekea silaha zake, na vitu vyote vilivyopatikana kwenye stoo yake. Hapakuwa na kitu katika nyumba yake, wala ufalme wake wote, Hezekia hakuwaonyesha wao.
Babylon akon'a hung palai ho chunga Hezekiah akipah lheh jengin, athikhol na mun jouse avetsah soh keijin-sana, dangka, gouho leh thao namtiu ho. Gal manchah kikoina ho vedin apui kitnin, leng thilkholna jouse avetsah soh keijin ahi! Hezekiah in leng inpi sung hihen lang, lenggam sung hijong leh avetsah lou a umpon ahi.
3 Basi Isaya nabii alikuja kwa mfalme Hezekia na kumuuliza, ''Je watu hawa wamekuambia nini? wametoka wapi?, ''Wamekuja kwangu kutoka mbali nchi ya Babeli.''
Hichun themgao Isaiah chu Hezekiah lengpa kom'a achen, a dongtan ahi. “Hiche miho hin ipi angaichat uham? Hoilai akon'a hung hiuva ham? Hezekiah in adonbut in, “Amaho hi gamla tah aum Babylon'a kon hung ahiuve.”
4 Isaya akamuuliza je ni vitu gani walivyoviona katika nyumba yako? Hezekia akajibu, ''Wameona kila kitu katika nyumba nyangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha.''
“Leng inpi sunga chu ipi pi amu uvem?” tin Isaiah in adongin ahi. “Imajouse amu soh keijuve,” tin Hezekiah in adonbut in, “Kanei jouse- thilkholna jouse kavetsah soh keijin ahi: ati.
5 Basi Isaya akamwambia Hezekia, ''Sikiliza neno la Yahwe wa majeshi:
Hichun Isaiah in Hezekiah hnga aseitan, “Van Janel Pakai in thuhil nahin thot hi ngaijin:
6 'Tazama siku inakaribia kuja pale kila kitu katika nyumba yako, vitu ambavyo mababu zako wamevihifadhi mbali mpaka mda huu wa sasa Vitapelekwa Babeli. Hakuna kitakachobakizwa, asema Yahwe.
'Phat ahung lhunge, leng inpi a'um umajouse-napu napa gou anakhol jouse leh tua na kikhol tup jouseu, Babylon'a poh doh gam ding ahitai. Imacha kidalha lou ding ahi, tin Pakai in aseije.
7 Na watoto watazaliwa kutoka kwako, ambao wewe mwenyewe utawazaa- watachukuliwa mbali, na watakuwa matoashi katika jumba la mfalme wa Babeli.''
'Na chateu pasal phabep puimang umdiu ahi. Amaho chu Babylon lengpa insunga nukiso'a pangu va, mi jenle'a umdiu ahi.”
8 Basi Hezekia akamwambia Isaya, ''Neno la Yahwe alilolizunumza ni zuri.'' Maana alifikiria, ''Patakuwa na amani na utulivu katika siku zangu.''
Hichun Hezekiah in Isaiah henga aseijin “Hichu thuhil Pakai'a kon'a neipeh hi aphaleh jenge.” Ajehchu lengpan ageldan chu, “Ka hin sunga hi chamna leh bitna umding ahinai,” ti ahi.

< Isaya 39 >