< Isaya 39 >

1 Katika mda ule Merodaki mtoto wa Baladani, mfalme wa Babeli, alituma zawadi na barua kwa Hezekia; maana alisikia Hezekia alikuwa anaumwa na amepona.
Te vaeng tue ah Hezekiah tlo tih koep a thoh te Babylon manghai Baladan capa Merodachbaladan loh a yaak tih ca neh khocang a pat.
2 Hezekia alifurahishwa na hivi vitu; alimuonyesha mjumbe nyumba ya ghala la vitu vya thamani- vitu kama fedha, dhahabu, viungo, na mafuta ya thamani, ghala la kuwekea silaha zake, na vitu vyote vilivyopatikana kwenye stoo yake. Hapakuwa na kitu katika nyumba yake, wala ufalme wake wote, Hezekia hakuwaonyesha wao.
Hezekiah loh te te a kohoe tih a anhoi im khaw, a likmal khaw, cak neh sui khaw, botui neh situi then khaw, a im kah hnopai boeih te amih a tueng. A thakvoh khuikah a cungkuem te khaw a hmuh sak. A im neh a khohung pum kah aka om te Hezekiah loh amih a tueng pawh hno pakhat khaw om pawh.
3 Basi Isaya nabii alikuja kwa mfalme Hezekia na kumuuliza, ''Je watu hawa wamekuambia nini? wametoka wapi?, ''Wamekuja kwangu kutoka mbali nchi ya Babeli.''
Te phoeiah tonghma Isaiah loh manghai Hezekiah te a paan tih, “Hekah hlang rhoek he balae a thui uh? Me lamkah lae nang taengla ha pawk uh,” a ti nah. Te dongah Hezekiah loh, “Khohla hmuen Babylon lamloh kai taengla ha pawk uh dae he,” a ti nah.
4 Isaya akamuuliza je ni vitu gani walivyoviona katika nyumba yako? Hezekia akajibu, ''Wameona kila kitu katika nyumba nyangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha.''
Te phoeiah, “Na im ah balae a hmuh uh,” a ti nah hatah Hezekiah loh, “Ka im kah te boeih a hmuh uh. Ka thakvoh khuikah te amih ka tueng pawh hno pakhat khaw om pawh,” a ti nah.
5 Basi Isaya akamwambia Hezekia, ''Sikiliza neno la Yahwe wa majeshi:
Te vaengah Isaiah loh Hezekiah te, “caempuei BOEIPA kah ol he hnatun lah.
6 'Tazama siku inakaribia kuja pale kila kitu katika nyumba yako, vitu ambavyo mababu zako wamevihifadhi mbali mpaka mda huu wa sasa Vitapelekwa Babeli. Hakuna kitakachobakizwa, asema Yahwe.
A khohnin ha pawk vaengah na im kah aka om boeih neh na pa rhoek loh tihnin duela a kael te khaw a phueih ni. Babylon loh hno pakhat khaw caknoi mahpawh, BOEIPA loh a thui.
7 Na watoto watazaliwa kutoka kwako, ambao wewe mwenyewe utawazaa- watachukuliwa mbali, na watakuwa matoashi katika jumba la mfalme wa Babeli.''
Namah lamkah na sak na ca rhoek lamloh aka thoeng rhoek te khaw a khuen uh vetih Babylon manghai bawkim ah imkhoem la poeh uh ni,” a ti nah.
8 Basi Hezekia akamwambia Isaya, ''Neno la Yahwe alilolizunumza ni zuri.'' Maana alifikiria, ''Patakuwa na amani na utulivu katika siku zangu.''
Hezekiah loh Isaiah taengah, “BOEIPA kah ol then ni na thui coeng te. Kamah tue vaengah ngaimong neh uepomnah om sak ham ni a thui dae,” a ti nah.

< Isaya 39 >